Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Wala hata sidhani kama alipanga, nilichoona ni watu huko walikuwa hawamtaki tu lissu awakaribie na ndio maana hutaona picha wala video ya mkutano wa lissu huko chato.Magufuli kaishiwa kupanga watu wakupiga mgombea tishio lake mawe
Wewe ndio umekaririshwa zwazwa.Sibishani na wajinga wanaongea pumba bila fact
Lete proof inayoonesha Lowasa alishinda au ndio umekaririshwa stori za mtaani!
Magufuli ni mgombea aliyezoea kushinda kwa figisuHadi uchaguzi wa serikali za mitaaa
Mwaka jana Mwenyekiti wa kijiiji chato na asilimia kubwa ya wenyeviti chato walikua Chadema na mara zote Mbunge amekua anapita kwa hila kama kuteka ; kupora fomu na kuziba barabara ili kumzuia kurudisha fomu ; hajawahi kupigiwa kura
Kimsingi mbinu alizokiwa anatumia chatto ndio Kaleta nchi nzima kama Rais na kuimaliza ccm kwenye mioyo ya watu
Kama mama yako asivyojielewa mpaka analiwa na vitoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kutembelea uwanja wa ndege Chato ni kichekesho. CHADEMA bana, hata hawajielewi.
Wala hata sidhani kama alipanga, nilichoona ni watu huko walikuwa hawamtaki tu lissu awakaribie na ndio maana hutaona picha wala video ya mkutano wa lissu huko chato.
Kila siku lissu anawatukana watu wa chato, leo naona wameamua kumuonyesha pengine hawapendi dharau
Toa maujinga yako leo aibu yenu mngekuwa na watu hayo yangewapata CHATO hawatakagi ujinga.
Taa za barabarani hata wewe unaweza kuweka nyumbani kwako. Tanzania ni nchi tajiri ina uwezo wa kuweka kiwanja cha ndege/airstrip popote pale nchini. Mbona hamlalamiki kuhusu viwanja vya ndege/airstrip 38 zilizo kwenye hifadhi ya Mwalimu JK Nyerere? Sababu kubwa ni kwamba vinatumika na makuwadi wenu?Leo mwanachato watuambie je Chato international airport imewanufaisha vipi?
Je tangu 2017 mwanachato gani ameutumia huo uwanja? barafu alipiga kelele sana humu JF kuhusu huu uwanja tangu 2016.
Usije baadae ukageuka ni malisho ya mifugo.
Watumbie je taa za barabarani zimewaletea vip maendeleo au zimekuwa kama sehemu ya kuongozea maguta ya punda?
Vipaumbele binafsi vya mtu kuvifanya kuwa ndo vibaumbele vya Taifa ni hatari kwa kuwa huzaa "white elephant project"
Magufuli acha uoga wewe unapanga vijana kupiga mawe wagombea wenzako baada ya kudharilishwa kwenu kwa kukataliwaLissu ulifikiri CHATO ni pa kispotispot ??Nilikuonya tangu asubuhi kuwa makini unavyoingiw CHATO Umeona sasa yaliyokukuta ???
Yaani umepopolewa na mawe ya kutosha shenzitype yaani ulikuwa unatafuta kick CHATO.
Twambie kuhusu haya kabla hajaingilia ya nchi?Ningewaona wa maana kama mngemzuia asikanyage Geita na sio Chato tu tena kwenye kijiji chake
Lengo lake limefikiwa Kafanya mkutano na kaondoka Kadiri ya ratiba na muhimu kawafanya walioandaa ya chato kuonekana wajinga na yeye ndio alitaka hilo
Ha ha bashite hujawahi kuwa na akili wewe huyo fisadi magufuli aache uoga hakuna kupanga warusha mawe pumzi imekata imekata tuHuyo kibaraka angepigwa mawe ya kutosha
Wala hata sidhani kama alipanga, nilichoona ni watu huko walikuwa hawamtaki tu lissu awakaribie na ndio maana hutaona picha wala video ya mkutano wa lissu huko chato.
Kila siku lissu anawatukana watu wa chato, leo naona wameamua kumuonyesha pengine hawapendi dharau
Magufuli acha uoga wewe unapanga vijana kupiga mawe wagombea wenzako baada ya kudharilishwa kwenu kwa kukataliwa
Ulivo Mjinga Utaelewa nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kutembelea uwanja wa ndege Chato ni kichekesho. CHADEMA bana, hata hawajielewi.
Usituletee mambo ya sita hapa alivyokuraruwa marinda basi ndoto zako unataka kusuguliwa tu mpuuziHahahahaha yaani leo aibu yenu mtaongea mengi hadi mtamalija, iko hivi CHATO siyo sehemu ya mashoga.
Labda hiyo Hard talk alifanya kwa lugha ya kichina, lakini ile ya kiingereza hajasema ulichoandika.We usinipe tabu, ingia google andik "Lissu on bbc hard talk" kisha rudi haraka unipe shkamoo yangu
Hajui hiloChato ni strong hold ya chadema walikuwa na wenyeviti wa serikali za mitaa zaidi ya ccm kwa taarifa yako
Ndio kaccoordinate maana huwa anahuwa chato hawampendi kwa miaja 15 hawajawahi kumchaguwa magufuli anateka wagombea kuuwa kuwafichia fomu mazoea hayana dawa mchezo ameufanya chato miaka yote hiyo analeta nchi nzima sasa ndio kiama chakeKwani alikuwepo hapo kwenye tukio?
Magufuli abamsikiliza bani ntu anavunja sheria hajali wstu ana matusi ya nguoni kwa wananchiMuugopeni lissu kama ukoma. Anataka nchi isiyotii chochote. Ni mtu mbishi na mkorofi kwa kuzaliwa. Sijawahi kusikia akisema anakubaliana na nini.