Chawa wa Mama wamemgeuka Salim Kikeke; wamempora nafasi yake wamempa Mobhare Matinyi

Hahaha msemaji anapika ugali kwenye kigeto London.Jamani si kila alieko Ulaya mambo safi. Kwanza mji wa London ni ghali sana tena sana.
Uafrika hasa utanzania ni laana

Salim kikeke alifanya makosa makubwa sana kurudi kwenye Laana.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mkataba ulikata,ulitaka afanye nini?Abaki London kufagia mitaa?Maana shule hana.BBC swahili walireview mikataba na waliobaki wamehamishiwa Nairobi.BBC swahili inarusha matangazo yake kutokea Nairobi.
 
Wakati BBC ina muajiri kikeke, Je walikuwa hawajui hana shule?

Kwa hiyo unasema kikeke katolewa BBC kwa vile Hana shule, Je BBC ili ajiri mtu asiye na shule?

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Unataka kuniambia Gerson Msigwa ni mtu makini sana?
Huyo nae aliwekwa tu hapo kwa vile Mama hakuwa na jinsi baada ya kumuondoa ukurugenzi wa mawasiliano ikulu,si unaona Samia kamuondoa. Zamani kabisa enzi ya JK ninakumbuka alikuwepo hapo mtoto wa Kawawa ambae shule ipo.Yule binti alisoma UDSM.
 
Mkuu achana na watanzania hawa wame laanika

Wana chuki na ma wivu tu...

Wanamponda kikeke eti hana shule, isitoshe wao hapo walipo ni maskini choka mbaya...!!!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Shule hana kivipi?

Hebu elezea elimu yake mpaka kufika BBC, unayosema shule hana.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ila sijafikia level ya kutojua mambo kama akili yako. Sasa unaongea nini? Unasema UK hawathamini elimu halafu unakuja na hoja tena watoto wako wasomi mpaka wamekuwa wakufunzi hauoni kama hauna mwelekeo. Nahisi wewe uzee unakusumbua. Tulia ulee wajukuu.
 
Du! Mkuu sasa si ujibu hoja tu mbona unajihami bila hoja?
 
Kikeke kaponzwa na vyeti tu,diploma haitoshi kuwa msemaji mkuu wa serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…