Chawa wa mama yazinduliwa Rasmi

Chawa wa mama yazinduliwa Rasmi

Chama kubwa CHAMA CHA MAPINDUZI CCM wameshasema nani apinge😋😋😋

Ndugu zangu chuki na makasiriko tuweke pembeni tufanye siasa za afya




Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan

Kazi iendelee

Mnatambua hadi leo hii kuna shule hazina madawati watoto wanakaa chini?
 
Chama kubwa CHAMA CHA MAPINDUZI CCM wameshasema nani apinge[emoji39][emoji39][emoji39]

Ndugu zangu chuki na makasiriko tuweke pembeni tufanye siasa za afya




Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan

Kazi iendelee
NJAA MBAYA SANA MPAKA KWENYE VISIGINO ama kweli mnahangaika sana
 
Hilo neno CHAWA litamgharimu kipenzi chetu Dr. Samia kisiasa. Akae mbali nalo.
 
CHADEMA watoe tamko kuwa chama na viongozi wao hawana na hawaungi mkono uwepo wa chawa kwenye chama chao.

Nilisikia kiongozi wa CCM akikiri kuwa ana chawa wake, ambao naona ndiyo hawa waliojitambulisha na akasema na upande wa pili pia wana chawa. Nadhani CHADEMA wakane na wakae mbali na neno hili. Chawa ni mtu anayejipendekeza kwa mtu fulani ili apate kitu, sioni CHADEMA inawezaje kuwa na hao chawa.

Wawaachieni uchafuu huu waumiliki wenyewe maana chawa wanakaa kwenye uchafu.

Erythrocyte
 
Chama kubwa CHAMA CHA MAPINDUZI CCM wameshasema nani apinge[emoji39][emoji39][emoji39]

Ndugu zangu chuki na makasiriko tuweke pembeni tufanye siasa za afya




Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan

Kazi iendelee
Sasa rasmi CCM( CHAMA CHA MACHAWA) wamejitambulisha Leo nafikiria na tabia ya chawa hupenda kukaaa kwa mtu mchafu Sasa hawo chawa wa nani. Hii inamanisha huyo nani ni mchafu ndo maana anachawa kibao
 
Wewe unayejitambua umefanya nini🤣🤣🤣🤣
Acha makasiriko😂😂😂
Ni kweli hamjitambui zama hizi mnaendesha nchi kwa mipasho wakat kila kona wananchi wana makasiriko miyoni mwao dhidi ya maisha yalivyo magumu alfu mnabinuabinua viuno hapo et machawa wa nani????
 
Ni kweli hamjitambui zama hizi mnaendesha nchi kwa mipasho wakat kila kona wananchi wana makasiriko miyoni mwao dhidi ya maisha yalivyo magumu alfu mnabinuabinua viuno hapo et machawa wa nani????

Wenye makasiriko wapo na wenye furaha wapo
 
Sina makasiriko nimemjibu jamaa yako kutoka na kile alichoniambia ili tuelewane vizuri
Nillikuwa nakukubali mama D kwenye philosophy za chuma ila kuwa chawa wa mizinga ya nyuki hapana .
 
Nchi yetu ina uhuru wa kidemokrasia hata huko pia naweza kuja boss

Sema chadema dishi linayumba sana, acha tuendelee kubaki tulivyo maana kule nako upinzani usioelewekaa

Tanzania ccm bado ipo sana vinginevyo chadema iache siasa za kitapeli
Ulitapeliwa nn my sister... chadema hatunaga utapeli
 
CHADEMA watoe tamko kuwa chama na viongozi wao hawana na hawaungi mkono uwepo wa chawa kwenye chama chao.

Nilisikia kiongozi wa CCM akikiri kuwa ana chawa wake, ambao naona ndiyo hawa waliojitambulisha na akasema na upande wa pili pia wana chawa. Nadhani CHADEMA wakane na wakae mbali na neno hili. Chawa ni mtu anayejipendekeza kwa mtu fulani ili apate kitu, sioni CHADEMA inawezaje kuwa na hao chawa.

Wawaachieni uchafuu huu waumiliki wenyewe maana chawa wanakaa kwenye uchafu.

Erythrocyte
Kutoa tamko ni kuupaisha huo uchafu ...acha waendelee kufuga hao chawa maana siku zote chawa anaishi kwa binadamu mchafu ... chadema haina mtu mchafu wa kuwafuga hao chawa
 
CHADEMA watoe tamko kuwa chama na viongozi wao hawana na hawaungi mkono uwepo wa chawa kwenye chama chao.

Nilisikia kiongozi wa CCM akikiri kuwa ana chawa wake, ambao naona ndiyo hawa waliojitambulisha na akasema na upande wa pili pia wana chawa. Nadhani CHADEMA wakane na wakae mbali na neno hili. Chawa ni mtu anayejipendekeza kwa mtu fulani ili apate kitu, sioni CHADEMA inawezaje kuwa na hao chawa.

Wawaachieni uchafuu huu waumiliki wenyewe maana chawa wanakaa kwenye uchafu.

Erythrocyte
Chadema haina Chawa
 
Back
Top Bottom