juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,924
- 5,406
Chance tunazopata na kushindwa kuzitumia zitaendelea kututafuna.
Maresca hiv karibun amekuwa muoga sana kufanya mabadiliko.
Maresca hiv karibun amekuwa muoga sana kufanya mabadiliko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WachezajiNaendelea kuwasisitiza tafuteni midfielder wa kueleweka. Huyu caicedo hakuna mchezaji humo .
Sio siri Caseido anakuuma mpaka leo. Yaani hata ukikosa hela ya kula utasema tatizo ni CaseidoNaendelea kuwasisitiza tafuteni midfielder wa kueleweka. Huyu caicedo hakuna mchezaji humo .
[emoji23][emoji23][emoji23]ilikua point 2 tuu muikute LiverpoolKuna kila namna Manchester United atajipata alafu sisi na wao tutaanza kugombea nafasi ya kucheza europa , mechi 4 points 2 (12) team zenyewe ni daraja la kati sio top 6
SawaUna matatizo kichwani
Shenzi kabisaSawa
Dah 😅Sio top 10 ndiye best defensive midfilder in epl right now
🤣🤣🤣🤣Kumbe ndio maana Lavia aliikataa Liverkuku akakimbilia Chelsea
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Naitwa Wesley Fofana nimesajiliwa THE BLUES kuja kula mshahara wa bure. Mshahara wa bure ni mtamu nyamnyam
Ijieni Nunez kwa £120 wakuuAliyesema jackson takataka namuunga mkono