Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii point kubwa mkuu, hawakumpata mshauri mzuri, wamepoteza mabilioni yao mengi kumbe walikuwa wakitaka timu kama Brighton ya euro milioni 300 tu
Pesa waliyomwaga kununua wachezaji ikapotea bora wangeipeleka kupanua uwanja, halafu wakachukua makinda kutoka academy yetu.
 
Wastani wa umri wa mchezaji wa Feyenoord Rotterdam ni miaka 23.8, huku Chelsea FC wastani wa umri wa miaka 23.9. Licha ya hayo, Maresca anadai kwamba hawawezi kushindana katika Kombe la Carabao, Kombe la FA, au kumaliza katika nne bora. Tuna kocha wa hovyo sana.
 
Maisha yako kasi sana, Leo hii hamumtaki maresca ambaye mlimpamba sana humu ?
 
Wastani wa umri wa mchezaji wa Feyenoord Rotterdam ni miaka 23.8, huku Chelsea FC wastani wa umri wa miaka 23.9. Licha ya hayo, Maresca anadai kwamba hawawezi kushindana katika Kombe la Carabao, Kombe la FA, au kumaliza katika nne bora. Tuna kocha wa hovyo sana.
Nilimtetea Pochetino nikasimangwa sana juan david akiongoza mashambulizi. Mkamleta kocha wenu wa ball Maresca mkamsifia kwa mapambio yote. Haya sasa amekuwa kocha wa ovyo. Tulieni azamishe chombo zaidi, mechi zilizobaki mbele kiza kingi kwake. Kuwa na upara sio kushinda mechi.
 
Nilimtetea Pochetino nikasimangwa sana juan david akiongoza mashambulizi. Mkamleta kocha wenu wa ball Maresca mkamsifia kwa mapambio yote. Haya sasa amekuwa kocha wa ovyo. Tulieni azamishe chombo zaidi, mechi zilizobaki mbele kiza kingi kwake. Kuwa na upara sio kushinda mechi.
Kipindi cha Poche muda kama huu Chelsea ilikuwa nafasi ya ngapi? Poche hakuwa kocha yule...alitoka kwenye fashion mapema kama Morinyo
 
Kipindi cha Poche muda kama huu Chelsea ilikuwa nafasi ya ngapi? Poche hakuwa kocha yule...alitoka kwenye fashion mapema kama Morinyo
Kuna sehemu kule X nilijibu swali kama hili na naweka hayo majibu hapa:

Mlinganisho wa Mwenendo wa msimu haufai kwa Maresca kwa sababu tabia za kuongeza kasi ya matokeo aun ubora wa uchezaji ni tofauti.

Chukua, kwa mfano, tabia za kuongeza kasi za msimu za Pochettino na Maresca.

Mwenendo wa uchezaji wa Pochettino ulikuwa ukiongezeka kwenda juu na kumaliza msimu kwa pointi 63.

Mwenendo wa uchezaji wa Maresca unashuka kwenda chini, na ni Mungu pekee ndiye anayejua tutaishia wapi Mei—pointi 53 au pointi 60?

Kwa kuzingatia mwenendo wa sasa wa Chelsea, wanatarajiwa kupata pointi 13 kati ya 39 zinazowezekana, na kufanya jumla ya pointi 56 kufikia Mei. Uwiano huu wa pointi hautatosha kwa Chelsea kupata nafasi katika 4, 5, 6, au hata 7 za juu. Nina shaka hilo. Hii ni projection tu, Mungu anaweza ingilia form ya timu ikapanda wakashinda point zaidi ya 20 kati ya 39 ili wazidi zile 63 za Pochettino, ILA NINA WASIWASI MKUBWA KAMA HIYO ITAWEZEKANA
 
Nilimtetea Pochetino nikasimangwa sana juan david akiongoza mashambulizi. Mkamleta kocha wenu wa ball Maresca mkamsifia kwa mapambio yote. Haya sasa amekuwa kocha wa ovyo. Tulieni azamishe chombo zaidi, mechi zilizobaki mbele kiza kingi kwake. Kuwa na upara sio kushinda mechi.
Hata Mimi nilitaka sana Pochetino afukuzwe, ilikuwa ni makosa japo Pochettino sio kocha tuliyemtaka ila namuona kama afadhali kuliko Maresca kwenye vitu vingi. Maresca ana mfumo ambao ungekubali ni mzuri kulkiko wa Pochettino ila tatizo la Maresca hawezi kufanya TWEAKING ili aweze kuwachezesha wachezaji muhimu. Hata wale waliokuwa wakifanya vizuri wakati wa Maresca sasa hawafanyi vizuri tena.

Pia Maresca ni mkatili sana kwa wachezaji asiowataka. Huo ukatili unaweza kuharibu mahusiano hata kwa wale anaowapenda na nahisi ndio maana m orale imeshuka sana.
The way alivyowakataa wacheza muhimu kama Chilwel, Chalobah, Sterling, Chukwuemeka an wengineo. Hasa Chilwell na Sterling ni wachezaji wanaoheshimika kwenye dressing room, kuwatreat vibaya inaweza ikachefua dressing room. Nawaza tu
 
Kuna sehemu kule X nilijibu swali kama hili na naweka hayo majibu hapa:

Mlinganisho wa Mwenendo wa msimu haufai kwa Maresca kwa sababu tabia za kuongeza kasi ya matokeo aun ubora wa uchezaji ni tofauti.

Chukua, kwa mfano, tabia za kuongeza kasi za msimu za Pochettino na Maresca.

Mwenendo wa uchezaji wa Pochettino ulikuwa ukiongezeka kwenda juu na kumaliza msimu kwa pointi 63.

Mwenendo wa uchezaji wa Maresca unashuka kwenda chini, na ni Mungu pekee ndiye anayejua tutaishia wapi Mei—pointi 53 au pointi 60?

Kwa kuzingatia mwenendo wa sasa wa Chelsea, wanatarajiwa kupata pointi 13 kati ya 39 zinazowezekana, na kufanya jumla ya pointi 56 kufikia Mei. Uwiano huu wa pointi hautatosha kwa Chelsea kupata nafasi katika 4, 5, 6, au hata 7 za juu. Nina shaka hilo. Hii ni projection tu, Mungu anaweza ingilia form ya timu ikapanda wakashinda point zaidi ya 20 kati ya 39 ili wazidi zile 63 za Pochettino, ILA NINA WASIWASI MKUBWA KAMA HIYO ITAWEZEKANA
Mungu akiwasaidia nyny na wengine nao atawasaidia....Sasa wale wengine na wao watajisaidia baada ya kupata msaada wa Mungu ila nyny hamtajisaidia baada ya kupata msaada wa Mungu....tabu Iko palepale....nafasi ya pili mlifikajefikaje kipindi kile
 
Kuna sehemu kule X nilijibu swali kama hili na naweka hayo majibu hapa:

Mlinganisho wa Mwenendo wa msimu haufai kwa Maresca kwa sababu tabia za kuongeza kasi ya matokeo aun ubora wa uchezaji ni tofauti.

Chukua, kwa mfano, tabia za kuongeza kasi za msimu za Pochettino na Maresca.

Mwenendo wa uchezaji wa Pochettino ulikuwa ukiongezeka kwenda juu na kumaliza msimu kwa pointi 63.

Mwenendo wa uchezaji wa Maresca unashuka kwenda chini, na ni Mungu pekee ndiye anayejua tutaishia wapi Mei—pointi 53 au pointi 60?

Kwa kuzingatia mwenendo wa sasa wa Chelsea, wanatarajiwa kupata pointi 13 kati ya 39 zinazowezekana, na kufanya jumla ya pointi 56 kufikia Mei. Uwiano huu wa pointi hautatosha kwa Chelsea kupata nafasi katika 4, 5, 6, au hata 7 za juu. Nina shaka hilo. Hii ni projection tu, Mungu anaweza ingilia form ya timu ikapanda wakashinda point zaidi ya 20 kati ya 39 ili wazidi zile 63 za Pochettino, ILA NINA WASIWASI MKUBWA KAMA HIYO ITAWEZEKANA
Maresca na wachezaji wake ni MATAPELI
 
Humu ndani watu wanachekesha sana, kipindi nilikuwa nawambia kuwa huyu kocha ni takataka na hafai kuwa kocha wa klabu kama Chelsea mlinijia juu sana, leo naona nyote mnamponda na kusema ni tatizo. Mimi nikiwambia jambo muwe mna elewa, kwenye ukweli tuwe tunasema tu ata kama ni mchungu.

Nawambia tena huyu Palmer ni takataka tu, bisheni tena ila ipo siku mtakubali.
 
Na nilipo kwambia huyu Maresca ni takataka ulimtetea sana, tatizo lako una mihemko.
Wastani wa umri wa mchezaji wa Feyenoord Rotterdam ni miaka 23.8, huku Chelsea FC wastani wa umri wa miaka 23.9. Licha ya hayo, Maresca anadai kwamba hawawezi kushindana katika Kombe la Carabao, Kombe la FA, au kumaliza katika nne bora. Tuna kocha wa hovyo sana.
 
Humu ndani watu wanachekesha sana, kipindi nilikuwa nawambia kuwa huyu kocha ni takataka na hafai kuwa kocha wa klabu kama Chelsea mlinijia juu sana, leo naona nyote mnamponda na kusema ni tatizo. Mimi nikiwambia jambo muwe mna elewa, kwenye ukweli tuwe tunasema tu ata kama ni mchungu.

Nawambia tena huyu Palmer ni takataka tu, bisheni tena ila ipo siku mtakubali.
Na wewe ndg uko too extreme🙄, kila mtu kwako ni takataka, nawasiwasi hata mimi unaniona takataka😀😀😀😀
Sote binadamu, kuna vitu vingine huwezi jua hadi itokee. Ukweli ni kwamba Maresca alifanya vizuri hadi December tulipocheza na Everton ndio jahazi likaanza kuyumba hadi leo.
Madhaifu ya kocha tuliyojua tangu mwanzo ila matokeo yalitubumbaza.
 
Sio kila mtu, mtu kama Maresca sio kocha wa kuwa Chelsea. Mimi ni mdau wa michezo pengine ata kuliko wewe, nafuatilia sana michezo sio mpira wa miguu pekee. Kwahiyo huyo Kocha niliona ni takataka ata kabla ya kuja ndio maana nilishauri angalau Hans Flick na alikuwa available.
Na wewe ndg uko too extreme🙄, kila mtu kwako ni takataka, nawasiwasi hata mimi unaniona takataka😀😀😀😀
Sote binadamu, kuna vitu vingine huwezi jua hadi itokee. Ukweli ni kwamba Maresca alifanya vizuri hadi December tulipocheza na Everton ndio jahazi likaanza kuyumba hadi leo.
Madhaifu ya kocha tuliyojua tangu mwanzo ila matokeo yalitubumbaza.
 
Sio kila mtu, mtu kama Maresca sio kocha wa kuwa Chelsea. Mimi ni mdau wa michezo pengine ata kuliko wewe, nafuatilia sana michezo sio mpira wa miguu pekee. Kwahiyo huyo Kocha niliona ni takataka ata kabla ya kuja ndio maana nilishauri angalau Hans Flick na alikuwa available.
Kwa kweli ujio wa Maresca sikucomment chochote kwa sababu nilitoka kurushiwa madongo ya Pochetino.

Mara nasikia huko pre season Maresca ni hatare, mara msimu umeanza unapigwa mpira mwingi, sasa hivi Maresca amekuwa fuko.
 
Kwa kweli ujio wa Maresca sikucomment chochote kwa sababu nilitoka kurushiwa madongo ya Pochetino.

Mara nasikia huko pre season Maresca ni hatare, mara msimu umeanza unapigwa mpira mwingi, sasa hivi Maresca amekuwa fuko.

Tusubiri amalize msimu, maana huko ndani wanamsifia sana na wanadai ndiye mkombozi waliyekuwa wanamtarajia. Mfumo wake wa uchezaji ndio wamiliki wanaupenda. Sisi mashabiki tutabaki na kelele zetu tu.

Taarifa za ndani zinadai kuwa hatafanyiwa tathmini msimu huu wa kiangazi hadi 2026.

Watajitajidi kumsajilia wachezaji anaowataka msimu ujao, na ndio wataanza kumpima kwa sababu Chelsea inatakiwa ipate UEFA Championship msimu ujao. Msimu huu ni kujirusha tu bwerere, na ndio maana kelele za mashabiki hazimnyimi usingizi.
 
Tusubiri amalize msimu, maana huko ndani wanamsifia sana na wanadai ndiye mkombozi waliyekuwa wanamtarajia. Mfumo wake wa uchezaji ndio wamiliki wanaupenda. Sisi mashabiki tutabaki na kelele zetu tu.

Taarifa za ndani zinadai kuwa hatafanyiwa tathmini msimu huu wa kiangazi hadi 2026.

Watajitajidi kumsajilia wachezaji anaowataka msimu ujao, na ndio wataanza kumpima kwa sababu Chelsea inatakiwa ipate UEFA Championship msimu ujao. Msimu huu ni kujirusha tu bwerere, na ndio maana kelele za mashabiki hazimnyimi usingizi.
Zitamnyima usingizi kwa maandamano kesho kutwa. Wote kuanzia wamiliki tunawafurusha virago vyao. Hatutaki tena kusikia neno project uchwara.
 
CASH-money-forever
Inaonekana leo Maresca ameamua kuweka ulinzi shirikishi
1740243788666.png

Bench
1) Sanchez
2) Tosin
3) Sancho
4) KDH
5) George
6) Asheampong
7) Amougou
8) Samuels-Smith
9) Mheuka
 
Back
Top Bottom