Chemistry ya waandamizi wateule CCM ni moto mkali kwa upinzani dhaifu sana nchini

Chemistry ya waandamizi wateule CCM ni moto mkali kwa upinzani dhaifu sana nchini

Nasubiri waliokwapua kwenye ripoti za CAG wafungwe
Yaani mpaka watu wale mvua za kutosha na hata wengine kuhukumiwa vifo ( ingawa hakuna) lakini pia inatosha maana yake ni jela maisha mpaka kufa
Mnabebana sana yaani hiyo list ya watendaji ambayo iko mezani kwa Rais tangu Nyerere bora ingechanwa maana wateule ni wale wale na majizi ni wale wale
Wizi unaanza udogoni mkuu asikuambie mtu
Mtoto anaanza la kwanza tu anarudi home na kalamu isiyokuwa yake
Hapo tegemea hata awe waziri atatusumbua tu

Wazuri wapo wengi ila ni wajibu kuwatafuta sio wapiga debe huku qakipora mali
pole pole ndio mwendo,
CCM inajihimiza na kujisahihisha yenyewe 🐒 🐒

united and vibrant opposition ina nafasi kubwa sana, katika kusukuma, kuchochea uwajibikaji na uwazi serikalini but hakuna ...
 
wanajuana vizuri, wana mtindo wa uongozi unaofanana, wana uwezo wa kuongea, wanaijua vyema CCM, wanawajua vyema upinzani na kwakweli wana uwezo wa kuwajibu wapinzani visingizio na malalamiko yao..

Na Chini ya Katibu mkuu DR. Emanuel Nchimbi, kiongozi mtendaji wa chama, muawajibikaji sana, mwanamikakati mbobevu, moto utakua mkali zaidi hata ndani ya CCM yeyewe....

Makundi yote ndani CCM hivi sasa, kama yalikuepo basi yatakua yamenywea na kurudi kwenye drawing table zao, kujipanga upya na kwakweli kujificha kabisa, la sivyo watajikuta upinzani....

The SG Dr.Emanual Nchimbi, can never ever tolerate or hastate to take sevear displinary measure, against any party members, who will in any way try, to interfear with party focus, programs and objectives 🐒

Kidumu chama cha Mapinduzi
Hakuna jipya watakalofanya kwenye mustakabali wa uchumi, Arya, elimu,ufisadi, zaidi ya political shows za kipuuzi tu,
Nyani wapya msitu uleule.
 
Hakuna jipya watakalofanya kwenye mustakabali wa uchumi, Arya, elimu,ufisadi, zaidi ya political shows za kipuuzi tu,
Nyani wapya msitu uleule.
jipya liko upinzani dhaifu sio 🐒

wana CCM wanaongozwa na wana CCM wenyewe...

haiwezekani msitu uwe ule ule halafu nyani watoke chadema 🐒
 
ni vigumu mno kwa Upinzani kua na first class brain kama za CCM kwenye vyama vyao....

na kwahivyo upinzani hawawezi kua imara bali dhaifu na vibogoyo daima, hususani hapa Tz🐒
Uwe na first class brain, kisha utegemee vyombo vya Dola! Uza ubongo huo 🌈 maana unakaa nao kwa hasara.
 
pole pole ndio mwendo,
CCM inajihimiza na kujisahihisha yenyewe 🐒 🐒

united and vibrant opposition ina nafasi kubwa sana, katika kusukuma, kuchochea uwajibikaji na uwazi serikalini but hakuna ...
Very true 👍🏿 👌
 
Uwe na first class brain, kisha utegemee vyombo vya Dola! Uza ubongo huo 🌈 maana unakaa nao kwa hasara.
kwahiyo dola ifutwe right?🐒

ama kusiwe na chama Tawala 🤣

CCM inategemea na kutumia zaidi upinzani dhaifu na kibogoyo, kujizatiti mamlakani 🐒

yaani CCM inatawala with completely no pressure, inatawala with peace all over the corners of the country 🐒🐒
 
kwahiyo dola ifutwe right?🐒

ama kusiwe na chama Tawala 🤣

CCM inategemea na kutumia zaidi upinzani dhaifu na kibogoyo, kujizatiti mamlakani 🐒

yaani CCM inatawala with completely no pressure, inatawala with peace all over the corners of the country 🐒🐒
Ni kweli, pale mjinga anapojisifia ana akili kisa anafaulu kwa kuiba mtihani!
 
Ni kweli, pale mjinga anapojisifia ana akili kisa anafaulu kwa kuiba mtihani!
you think that reason will interfear CCM from clinching into power?🐒

that is useless and none sense to CCM.
You just continue using it, if helps you getting relief 🐒
 
Nasubiri waliokwapua kwenye ripoti za CAG wafungwe
Yaani mpaka watu wale mvua za kutosha na hata wengine kuhukumiwa vifo ( ingawa hakuna) lakini pia inatosha maana yake ni jela maisha mpaka kufa
Mnabebana sana yaani hiyo list ya watendaji ambayo iko mezani kwa Rais tangu Nyerere bora ingechanwa maana wateule ni wale wale na majizi ni wale wale
Wizi unaanza udogoni mkuu asikuambie mtu
Mtoto anaanza la kwanza tu anarudi home na kalamu isiyokuwa yake
Hapo tegemea hata awe waziri atatusumbua tu

Wazuri wapo wengi ila ni wajibu kuwatafuta sio wapiga debe huku qakipora mali
Thubutuuuuuuh !!!!
 
you think that reason will interfear CCM from clinching into power?🐒

that is useless and none sense to CCM.
You just continue using it, if helps you getting relief 🐒
I repeat, CCM will continue to stay in power with this election commission, and the available constitution in the backup of State organs. But you don't have any power to stay in power legally, and you won't be able to. Your days are over.
 
Kama mnajiamini, kwanini hamruhusu tume huru ya uchaguzi?
 
Mkuu,
Labda kwa WIZI WA KURA tu, nje ya hapo hakuna kitu kabisa
Mkuu uchaguzi hata usimamiwe na muungwana wa viongozi wa andamizi wa upinzani mathalani, Chadema, cuf ACT, TLP, UDP n.k halafu mwenyekiti wa Tume awe MBOWE hawezi kuishinda CCM imara namna hii, yenye sera na viongozi madhubuti kama waliopo sasa, coz

upinzani hakuna sera, hakuna dira, hakuna ofisi, hakuamini, hakuna wangombea makini, wamejazana vibaraka tu 🐒

yaan kiufupi upinzani hawachaguliki na malalamiko na visingizio vyao 🐒
 
Umekuja kupima upepo?. Ccm bila wizi wa kura na mabavu ya kutumia nguvu ya dola ni hamna kitu
hata msemeje,
CCM will never ever loose concentrations to its vision, goals and objectives of winning elections and lead the government 🐒
 
Kama mnajiamini, kwanini hamruhusu tume huru ya uchaguzi?
tume huru ya uchaguzi kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi ipo, na kama una shida nayo, basi hilo ni jambo lako binafsi tafuta namna binafsi ya kulishughulikia🐒

Lakini tume huru ya Taifa ya uchaguzi ipo na inafanya kazi zake vizuri na kwa uwazi kabisa 🐒
 
wanajuana vizuri, wana mtindo wa uongozi unaofanana, wana uwezo wa kuongea, wanaijua vyema CCM, wanawajua vyema upinzani na kwakweli wana uwezo wa kuwajibu wapinzani visingizio na malalamiko yao..

Na Chini ya Katibu mkuu DR. Emanuel Nchimbi, kiongozi mtendaji wa chama, muawajibikaji sana, mwanamikakati mbobevu, moto utakua mkali zaidi hata ndani ya CCM yeyewe....

Makundi yote ndani CCM hivi sasa, kama yalikuepo basi yatakua yamenywea na kurudi kwenye drawing table zao, kujipanga upya na kwakweli kujificha kabisa, la sivyo watajikuta upinzani....

The SG Dr.Emanual Nchimbi, can never ever tolerate or hastate to take sevear displinary measure, against any party members, who will in any way try, to interfear with party focus, programs and objectives [emoji205]

Kidumu chama cha Mapinduzi
Mda wowote unaweza sikia steve mengele au shilole katibu uenezi mbogamboga...kiongozi wenu uwezo mdogo sana
 
Back
Top Bottom