Chemistry ya waandamizi wateule CCM ni moto mkali kwa upinzani dhaifu sana nchini

Chemistry ya waandamizi wateule CCM ni moto mkali kwa upinzani dhaifu sana nchini

wanajuana vizuri, wana mtindo wa uongozi unaofanana, wana uwezo wa kuongea, wanaijua vyema CCM, wanawajua vyema upinzani na kwakweli wana uwezo wa kuwajibu wapinzani visingizio na malalamiko yao..

Na Chini ya Katibu mkuu DR. Emanuel Nchimbi, kiongozi mtendaji wa chama, muawajibikaji sana, mwanamikakati mbobevu, moto utakua mkali zaidi hata ndani ya CCM yeyewe....

Makundi yote ndani CCM hivi sasa, kama yalikuepo basi yatakua yamenywea na kurudi kwenye drawing table zao, kujipanga upya na kwakweli kujificha kabisa, la sivyo watajikuta upinzani....

The SG Dr.Emanual Nchimbi, can never ever tolerate or hastate to take sevear displinary measure, against any party members, who will in any way try, to interfear with party focus, programs and objectives 🐒

Kidumu chama cha Mapinduzi
RIP English!
 
I repeat, CCM will continue to stay in power with this election commission, and the available constitution in the backup of State organs. But you don't have any power to stay in power legally, and you won't be able to. Your days are over.
keep on dreaming 🐒

I can confirm to without fear of contradictions kwamba, free organs of the State of Tanzania will continue performing their activities arconding to the law, without pressure, intimidations or interference from any party or person 🐒

The ruling party and its government is there to make sure peace, security and stability of the country is maintained, and then people and their properties are safe, always 🐒
 
Mda wowote unaweza sikia steve mengele au shilole katibu uenezi mbogamboga...kiongozi wenu uwezo mdogo sana
kwan kuna ubaya gani,
nadhani kiwango cha gubu na mihemko ya upinzani kitakua juu mno right?🐒

mwana CCM yeyote anaweza kua kiongozi. Kua deal na watu wenye mihemko unadhani inahitaji nguvu au kiongozi mkali basi 🐒
 
jipya liko upinzani dhaifu sio 🐒

wana CCM wanaongozwa na wana CCM wenyewe...

haiwezekani msitu uwe ule ule halafu nyani watoke chadema 🐒
Kama upinzani dhaifu kwanini ccm inapenyeza kura feki kwenye chaguzi
 
Kama upinzani dhaifu kwanini ccm inapenyeza kura feki kwenye chaguzi
kura feki ni excuse na sababu yako ya kuwaplease wapiga kura ulowadanganya 🐒

yaani CCM iache kuconcentrate kujua imepata ushindi wa kishindo kwa kiasi gani ianze kubabaika na maigizo na sababu yako ilioyozoeleka kila uchaguzi,
kweli 🐒

wew ni zuzu kiasi gani unaibiwa kila uchaguzi, si uache kushiriki uchaguzi sasa 🤣
 
keep on dreaming 🐒

I can confirm to without fear of contradictions kwamba, free organs of the State of Tanzania will continue performing their activities arconding to the law, without pressure, intimidations or interference from any party or person 🐒

The ruling party and its government is there to make sure peace, security and stability of the country is maintained, and then people and their properties are safe, always 🐒
No free organs in this country when it comes of political parties. I have no doubt of my concern.
 
umesema kweli na wengi hapo wanapewa nafasi kama fadhila au zawadi
unadhani hawa ni kama viti maalumu wa chama Fulani 🐒

CCM ina hazina ya viongozi mahiri na wenye uwezo mkubwa sana wa kuongoza...
Na ndio maana yaani CCM inapanga safu yake ya uongozi gubu na mihemko wanapata upinzani🤣
 
kura feki ni excuse na sababu yako ya kuwaplease wapiga kura ulowadanganya 🐒

yaani CCM iache kuconcentrate kujua imepata ushindi wa kishindo kwa kiasi gani ianze kubabaika na maigizo na sababu yako ilioyozoeleka kila uchaguzi,
kweli 🐒

wew ni zuzu kiasi gani unaibiwa kila uchaguzi, si uache kushiriki uchaguzi sasa 🤣
Hiyo ya kura za wizi sio jambo ambalo linahitaji endorsement yako, ni jambo lililo na ushahidi wa 100%. Ndio maana tunasema wajinga, ama wanaofaidika na chaguzi hizo za kishenzi ndio wataendelea kushiriki chaguzi hizo za kipuuzi.
 
unadhani hawa ni kama viti maalumu wa chama Fulani 🐒

CCM ina hazina ya viongozi mahiri na wenye uwezo mkubwa sana wa kuongoza...
Na ndio maana yaani CCM inapanga safu yake ya uongozi gubu na mihemko wanapata upinzani🤣
we bure kabisa bora niangalie mechi ya makolo
 
No free organs in this country when it comes of political parties. I have no doubt of my concern.
your concerns are personal and it's ur right 🐒

but for the broad interests of the country, all organs of the state, are free and they are carrying their duties and responsibilities arconding to the constitution, for the benefits of all citizens 🐒
 
Mpo kwenye chemistry wahuni wapo kwenye metaphysics
pole pole ndio mwendo,
CCM inajihimiza na kujisahihisha yenyewe 🐒 🐒

united and vibrant opposition ina nafasi kubwa sana, katika kusukuma, kuchochea uwajibikaji na uwazi serikalini but hakuna ...
 
Hiyo ya kura za wizi sio jambo ambalo linahitaji endorsement yako, ni jambo lililo na ushahidi wa 100%. Ndio maana tunasema wajinga, ama wanaofaidika na chaguzi hizo za kishenzi ndio wataendelea kushiriki chaguzi hizo za kipuuzi.
ushahidi wa kubuni, utengeneze mwenyewe halafu uwe na mashaka kwako mwenyewe tena 🐒

ati kuna ushahidi 100%🤣

ushahidi wako baki nao na vyama vingine ambavyo havijaibiwa viendelee na mambo yao 🐒

we vyama vinashiriki uchaguzi zaidi ya 20, chama chako pekeyake ndio kinaibiwa kila uchaguzi 🤣
hicho chama kitakua na tatizo
 
Hivi nchi ambayo pamoja na yenye utajiri wa rasilimali na wananchi wako katika masikini wa kupindukia, rushwa imetamaliki kila kona unaweza kujisifia una hazina viongozi kweli au ni unafiki
 
Hivi nchi ambayo pamoja na yenye utajiri wa rasilimali na wananchi wako katika masikini wa kupindukia, rushwa imetamaliki kila kona unaweza kujisifia una hazina viongozi kweli au ni unafiki
kwa sehemu kubwa tumepiga hatua kubwa sana kiuchumi, utajiri wetu umetunufaisha sana na kiwango cha rushwa na umaskini kimepungua pakubwa 🐒

yafaa kutembea kifua mbele, uelekeo ni mzuri sana na matumaini ya kupiga hatua muhimu mbele zaidi kiuchumi, kijamii na kisiasa dilili ziko wazi kabisaaaa 🐒

hata hivyo tunakosa kitu kimoja muhimu sana.
united and vibrant opposition block.

hii kitu ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi,si Tz pekee, duniani kote...
lakini tatizo apa kwetu nadhani hawajui umuhimu wao, mbaya zaidi hawajui majukumu yao katika kuifanya serikali kuwajibika, kuifanya ifanye kazi kwa uwazi, usawa na haki....

wanambwlambwela tu na mihemko kutukana na malalamiko kwa kubwekabweka bila mpangilio 🐒
 
kura feki ni excuse na sababu yako ya kuwaplease wapiga kura ulowadanganya 🐒

yaani CCM iache kuconcentrate kujua imepata ushindi wa kishindo kwa kiasi gani ianze kubabaika na maigizo na sababu yako ilioyozoeleka kila uchaguzi,
kweli 🐒

wew ni zuzu kiasi gani unaibiwa kila uchaguzi, si uache kushiriki uchaguzi sasa 🤣
Utakuwa kichaa wewe
 
Back
Top Bottom