Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Acha uongo DNA sio Malaria kwamba unaenda pima hovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani hiyo kukirii tu alitoka na nengaa inatosha kabisaa kuprove kuwa mtoto ni wa nengaaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuhusu wakati gani anaweza kudanganyaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabongooo nawa mwagaaa khaaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mobetto na Nenga wamekulanaaa sanaaa, tena hata kabla Nenga hajatua kwa Linah, wala sio story mpyaa mjini. Labda hukuwa unafatilia udaku mwayaaa.

Na ni kweli wakati ulee Dylan alikua ameshazaliwa kitambooooo, sijui labda walianzaa zaman hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wana roho ngumu sana...mbona hawaendani kabisa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawaendani na nan? Mbna Nenga yuko fresh sanaaaa. Tena naona kwa wasanii wa kiume ukimtoa Kiba anaefata yeye kwa muonekano wa kuwa ktk mahusiano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasnza kuielewa maana mmoja angekuwa hana asingeweza kunioa wameamua kubebana ili walindane maana dah

Kale ka nenga na kile ki mdomo? Kha si bora hata akina vunja bei ni mwanaume hata wakimkuta nae sawa tu. Nenga? 🤣🤣
Sasa na Vunjabei tofauti yao ni nini wakati wote ni wanaume.
 
Umeandika kwa uchungu hadi nimehisi huruma jamani, pole sikupanga niumize hisia zako, 🥲

Ila si ungesema tu hua mnachukua wote ndio maana mnajuana? [emoji848]
Nimekupa Somo tu maana comments zako ni za kugeneralize mambo ,sio humu ndani wote wamepigika maana kila mtu anayetoa mawazo tofauti na wewe basi amepigika ,watu wapo njema.
 
Mzee wangu nipe jina la hii nyimbo nimeikumbuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…