Acha uongo DNA sio Malaria kwamba unaenda pima hovyoWanasemaga UKIWA na ela ndio utapata mapenzi ya dhati ni big NO Nina ushuhuda WA bro wangu mmoja ivi alichomekewa MIMBA watu wakamtonya Sio wako HUYO....siku kachukua kile kiumbe kamdanganya mama yake natoka NAYE out mwanagu kumbe kaenda KUCHEKI DNA NASHUKURU hakumuua yule mwanamke zaidi ya kumfukuza na KITOTO kishaanzaga chekechea za mamilioni izi dah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aache double standards bhanaa.Bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi, utakuja uumbuka Kama hivyo tayari kuna Mtu kesha umbuka!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabongooo nawa mwagaaa khaaaahYani hiyo kukirii tu alitoka na nengaa inatosha kabisaa kuprove kuwa mtoto ni wa nengaaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuhusu wakati gani anaweza kudanganyaaa
Dah! kumbe huyo jamaa hua ni wakiume? Nmechelewa kufika mjinihomeboy nikiwa na maana ya mtu tunaejuana mtaani,, na sio ndugu kwa damu, mtaani kwetu haturuhusu mtu apumuliwe kisogoni ila mwana ndo kashaleft group sasa sie tutafanyaje.
Mobetto na Nenga wamekulanaaa sanaaa, tena hata kabla Nenga hajatua kwa Linah, wala sio story mpyaa mjini. Labda hukuwa unafatilia udaku mwayaaa.Hamisa na nenga? Hapana.hamisa alichosema zamani alisema alikuwa.kwenye.mahusiano na diamond muda mrefu akapata.mimba ikatoka, wakajaribu sana ndo akatokea huyu mtoto sasa nenga kaingiaje humu au ndo mimi sielewi?
Hamisa alipofikia nenga sio type yake labda awe chawa.
Ipi hiyoooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe haya nyooosha maelezo kwanini lakini ile crown unayo ujue ooohhh..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawaendani na nan? Mbna Nenga yuko fresh sanaaaa. Tena naona kwa wasanii wa kiume ukimtoa Kiba anaefata yeye kwa muonekano wa kuwa ktk mahusiano.Kuna watu wana roho ngumu sana...mbona hawaendani kabisa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lulu, vunjabei, DC, Linah, uwiiiiiiiih.Hatari sana ,wasanii wanakulana wenyewe kwa wenyewe na chain ni ndefu.
Huwa mnanitukana ili ninune? Sio shida zangu mbna.Ila we jamaa we hujuagi kununa kabisa pamoja na mitusi yote tunayokutukana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahUkiwa masikini mwanamke hata mtoto atapewa mwingine ukiwa tajiri utasingiziwa hadi watoto.Mungu anakuoneni
Sasa na Vunjabei tofauti yao ni nini wakati wote ni wanaume.Nasnza kuielewa maana mmoja angekuwa hana asingeweza kunioa wameamua kubebana ili walindane maana dah
Kale ka nenga na kile ki mdomo? Kha si bora hata akina vunja bei ni mwanaume hata wakimkuta nae sawa tu. Nenga? 🤣🤣
Nimekupa Somo tu maana comments zako ni za kugeneralize mambo ,sio humu ndani wote wamepigika maana kila mtu anayetoa mawazo tofauti na wewe basi amepigika ,watu wapo njema.Umeandika kwa uchungu hadi nimehisi huruma jamani, pole sikupanga niumize hisia zako, 🥲
Ila si ungesema tu hua mnachukua wote ndio maana mnajuana? [emoji848]
Noma sana.
Sawa Baba Levo,Jobless
Wazo langu hivyo vidonge vianzwe kutolewa kwa usiri ili msiumbuane, [emoji849]Nimekupa Somo tu maana comments zako ni za kugeneralize mambo ,sio humu ndani wote wamepigika maana kila mtu anayetoa mawazo tofauti na wewe basi amepigika ,watu wapo njema.
Biashara ya kuuza mwili wake kajaribu imegoma Sasa naona anatafuta wanaume hukuNimekupa Somo tu maana comments zako ni za kugeneralize mambo ,sio humu ndani wote wamepigika maana kila mtu anayetoa mawazo tofauti na wewe basi amepigika ,watu wapo njema.
Mzee wangu nipe jina la hii nyimbo nimeikumbukaRuge-->Nandy ----Jizzo-->Betto --->Nandy-->Nenga --->Betto-Nenga.
Ni Kazeze Ni Kazeze Ni Kazeze ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akihadhini allahu akbar allahu akbar akiwa anamaanisha Mungu mkubwa Mungu Mkubwa.