Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

27:4Kwa hakika wale wasioiamini akhera tumewapambia vitendo vyao,kwa hivyo wanatangatanga ovyo.

UFAFANUZI WANGU:
Kuna watu hawaamini kuwa Mungu yupo,lakini ni wazma wa afya,wanakula,wanalala vizuri.
Kwa mawazo yako wangedhani Mungu angewapa adhabu wakiwa hapa duniani.
Ndo Mungu anasema tumewapambia vitendo vyao hivyo wanatanga tanga.
Yaani wao kutokuamini kwao Mungu wanaona wako sahihi kumbe wanakosea.View attachment 2037731
Wasio muamini Allah na alkhera ni watenda dhambi au sio watenda dhambi
 
Wewe unataka story za vijiweni wakati Mimi nipo makini , umeseme ni mbora , nimekuuliza ubora na ukamilifu wa binadamu ni kuto kuwa na meno yote ya mbele? Na alikuwa anaimbaje Koran bila meno?
“The Messenger of Allah (ﷺ) was wounded on the Day of Uhud. His molar was broken and his helmet was crushed on his head. Fatimah was washing the blood from him and ‘Ali was pouring water on him from a shield....Sunan Ibn Majah 3464
[emoji706][emoji706][emoji706]
 
hlf Qur'an haitafsiriwi na aya moja wala hadithi moja tuulize sisi waislamu wenyewe sio unaleta aya unayoona inakufavour ww tuu
Kwa hiyo unataka kusema Aya sio ya kweli au? Alafu wewe upo hapa kwa nini usieleweshe na kuipinga

Hapa allah anasema adhabu ya wale wanaompinga Muhammad na Allah ni kuuliwa ,au kusulubiwa au kukatwa mikono na miguu au kuwekwa gerezani
  • Koran 5.33 The punishment of those who wage war against Allah and Muhammad and strive to make mischief in the land is only this, that they should be murdered or crucified or their hands and their feet should be cut off on opposite sides or they should be imprisoned;
 
Logic si katika Sayansi kama ulivyo gusia hapo juu. Sababu logic ilikuwepo kabla ya kuwepo Sayansi bali kabla ya kuwepo hizo hizo "Scientific Precedures".

Msingi gani wa Logic una kubali hiyo proof ? Logic ya Wagiriki au kina nani ?

Nakukini kwa swali. Unaweza kukikataa kitu usichokijua ? Hili lijawezekana vipi ? Maana yake kawaida anaye pinga jambo huyo hulijua jambo hilo ndiyo maana analipinga. Ndiyo maana katika adabu za mijadala kaida hii ipo inayosema ya kuwa "Anaye kanusha huwa anatangulizwa kuthibitisha sababu huwa ana ziada ya elimu". Rejea kitabu "The etiquette of research and debate".

Yaani ukihoji pasi na kukanusha yule aliye sema anapaswa athibitishe ila unapokanusha wewe unaye kanusha ndiyo unatangulizwa uthibitishe.

Sasa shida yenu nyinyi mnakanusha mambo msiyo yajua ndiyo maana mnaptezea watu muda.

Nimekuuliza swali unaweza vipi kukanusha jambo usilo lijua ?

Hili haliwezekani na hiki ndicho kichochoro cha wakana Mungu wote ambao hudhani ya kuwa jukumu la kuthibitisha jambo ni la upande wa wanao kiri na si upande wao wanao kanusha,hii huonyesha ya kuwa mnauwezo mdogo sana wa kufikiri.

Nikikuuliza uchawi ni nini huwezi kujibu lakini hapo hapo unasema haupo ukiombwa ushahidi huna. Huku ni kuikosea adabu elimu na watu wake.
Kisichopo hakithibitishwi hakipo kwasababu hakipo, mwenye madai ya kwamba kitu fulani kipo ndio mwenye wajibu wa kuja na uthibitisho ambao unaweza kupimika

Unategemea kupata uthibitisho gani kwa kitu ambacho hakipo?

Hata wewe hapo unaweza kuthibitisha mimi sio Mungu?
 
Mjinga katika ubora wake
Ilitakiwa uone huruma , jamaa kapigwa jiwe kwa kombeo kidogo wamuue

“The Messenger of Allah (ﷺ) was wounded on the Day of Uhud. His molar was broken and his helmet was crushed on his head. Fatimah was washing the blood from him and ‘Ali was pouring water on him from a shield....Sunan Ibn Majah 3464
 
Muhammadi ni m'mbora wa mitume wa Mungu Allah.

Hilo halina ubishi wowote.
Ndio kipenzicha chake hicho Kiroja kipya katika mitume.
 
Allah kasema kawapambia hizo dhambi , hili nimeshamaliza,
Allah anawapambia dhambi wazione tamu na Lucifer nae anawapambia dhambi wazione tamu
Hata wewe unaona dhambi zako NI tamu
Ndo maana haumuamini Mungu
 
Kisichopo hakithibitishwi hakipo kwasababu hakipo, mwenye madai ya kwamba kitu fulani kipo ndio mwenye wajibu wa kuja na uthibitisho ambao unaweza kupimika

Unategemea kupata uthibitisho gani kwa kitu ambacho hakipo?

Hata wewe hapo unaweza kuthibitisha mimi sio Mungu?
Swali la msingi umejuaje hakipo ?
 
Ndio hivyo.mwisho wa siku mauuti yanakukuta.
Amka mapema na umrudie Mungu
Kumrudia Mungu Allah
Hilo hapana aisee.
Mungu wa Wapagani wa Kiarabu kabla ya Muhammadi.
Hilo ni Big No.

Sisi tuna mtiririko wa Mitume wetu tuka enzi za torati na walitabiriwa kabla.
Jina la Muhammadi halipo kabisa.
Huyo Allah ni Mungu wenu.
Na Muhammadi ni Mtume wenu.

Basi na tukubaliane hivyo.
 
spensa_e,
Asante sana kwa kuwapa somo hao janja janja.

Mwezi uliopita kulikuwa na mjadala.
Wayahudi wanasema wanamfahamu Yesu Kristo kwakuwa ni ndugu yao na familia yake ipo mpaka hii leo.
Na walimtesa wakamsuribisha akafa, akafufuka siku ya tatu na akapaa mbinguni mbele ya macho yao.
Ndio maana wakaruhusu filamu ya maisha ya Yesu, na haki zote zipo juu yao.
Yaani huwezi kutengeneza filamu ya Maisha ya Yesu bila idhini yao usije ukaipotosha jamii.
Sasa wanashangaa anatokea Kiroja mmoja toka Uarabuni miaka 500 baadae na anakanusha hizo taarifa.
Na mamilioni ya watu wanamwamini.
Yaani kaongopa na anaaminiwa.

Wakasema kuwa Muhammadi ni tapeli tu.
Na kushauri kwamba kama kuna Mwislamu anataka kuthibitisha hiyo hoja aende Israeli kwenye vithibitisho vyote juu ya maisha ya Yesu Kristo na vipo hadi hii leo maana ndio chimbuko lake huko Israeli.
Wanasema Muhammadi ni Nabii mwongo zaidi kupata kutokea duniani.
Anayebisha anakaribishwa Israeli kwenda kuthitisha kauli ya uwongo ya Muhammadi na Allah.
 
Back
Top Bottom