China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

Michina ni mchina tu hata atengeneze nini ni fake fake tu,atamuua USkwa lipi?
Hizo vitu ni kwa ajili ya dunia ya 3 hasa Africa sio soko kimataifa
Wewe ndiye wasema kwasababu tumezoea nunua products daraja la mwisho.
BYD ilichofanya ulaya hadi magari yao ya umeme yamekosa soko hadi wameamua kuweka kodi kubwa kwa magari ya china. Jana ufaransa kaanza kwa kuyawekea kodi kubwa. Na hii si kwa BYD hata magari ya tesla ambayo yanazalishwa kiwanda cha china
 
Kama China anaikimbiza Marekani kwa tech.
Anashindwaje kuunda Operating system yenye Software inayojitegemea?
China anatumia tech ya Marekani kupata hela na siyo suala la ushindani ndiyo maana yupo radhi atumie OS ya android apige hela kuliko kutengeneza yake
Hakuna aliyesema anaikimbiz kwa tech tunachosema hapa ni kwamba vikwazo vya marekani havifanyi kasi anazidi kuipa presha kuwa anaweza kuendelea kuunda vitu bila kuitegemea
 
Mbona Red Star ni Linux?
Red Star ni tawi la Linux ambalo limezaa OS kama Ubuntu, Kali na wengine.
Hapo bado yupo kwenye Linux.
Ni sawa na Harmony inayotumia application za android.
Ndio maana nakwambua kuna vitu huvielewi.
Hata android ni linux based OS.
And by the way muunzi wa linux ni mufinnish wala si mmarekani.
Mac Os ni unix based.
Hebu jaribu kusoma vitu na kuvielewa
 
Sasa researchers wakubwa ktk kampuni za Wamarekani ni Watu wenye asili ya China. What do you expect?

Wanafunzi wa kichina wako busy na math na Science wakati wale wa kimarekani wako busy kuparty.

Marekani bila kuimport vichwa na talents kutoka sehemu mbalimbali duniani hamna kitu!
 
Huawei yenyewe ameshindwa kumeet demand.
Presha ya US siyo mauzo ya apple. Presha ya US ni kwamba china ame break through technology ambayo hakutaka awe nayo.
Lengo lake aliajua akikosa hivyo vifaa hawezi kuunda silaha kali, hawezi kuoenya kwenye AI, maana kila kitu wnow kinategemea hivyo vifaa.
Sasa kwa kuweza kuviunda mwenyewe hofu ni kwamba atazidi kuunda silaha, atazidi kutoboa kwenye AI na mambo menginr ambayo kwake anaona ni tishio

Huawei ni sehem ndogo tu ya over glorified local tech. China ana AI muda mrefu sana, tena ameanza kuitumia waay back. anaunda silaha zake for a while now
Imeitisha america ?
Yes yuko kwenye good track but not yet there
 
Huawei ni sehem ndogo tu ya over glorified local tech. China ana AI muda mrefu sana, tena ameanza kuitumia waay back. anaunda silaha zake for a while now
Imeitisha america ?
Yes yuko kwenye good track but not yet there
Najua mkuu na hofu ni kwamba hata hizo soc zinaundwa na SMIC. Sasa hajafika huko ila kiwewe ni kwamba walitegemea walau ili aweze kutengeneza soc zenye uwezo wa miaka mitatu iliyopita ingewachukua ahdi 2029, lakini hata hakuchukua miaka 3. Sasa nini kitaenda kutokea baada ya hapa ndio shida ilipo.
Ndio maana anazidi walima ban hapa ameuzuia ile kampuni ASML isiwauzie mashine za kuundia processors.
Wakati huo huo Canon which is a Japanese company wamesema wana tech mpya kufanya hivyo pasipo kutumia tech ya photolithography.
Technology iko kasi sana, one mistake many goals.
 
Utashangaa hiyo computer yake mpya itatumia Windows ya kampuni ya Microsoft (Marekani) au naye atatengeneza OS yake?
Nilipenda sana hizi battle za Linux na Windows, hapa nilitegemea mchina atakuja na Operating system yake lkn holaa mpaka leo.
Hapo ni sawa na kutengeneza gari halafu engine ni ya Marekani bado mchina anazidi kumnufaisha Marekani tu kwa software zake
O.S sio just piece of software tu ni Platform pia
Android na IOS tayari wana ecosystems imara ya tools & developers so ngumu au haina ulazima wa kushindana nao
 
Unajua wewe ndiye huelewi. Na nimekwambia tena na narudia, harmony OS si ipo si ndiyo anaitumia Huawei sasa na iko kwenye vifaa vyake vyote na nje ya huawei anataka itumike kwenye vifaa vingine au Harmony Os sio OS?
Sasa turudi pale pale OS bila softwares ni bure kabisa.
Sasa unaanzaje kushawishi makampuni kama Adobe, microsoft, na makampuni mengine yanayounda software mashuhuri kuunda softwares kwa ajili ya OS mpya? Hapo ndipo shughuli ilipo. Ndio maana OS nyingi nje ya hizi maarufu utakuta ni watoto wa kinux kwa ajili ya matumizi tu ya ndani kama vile ulinzi, kurusha.
sijui rockets, kuongoza mabomu maana hizo shughuli hazihutaji commercial softwares unakuta kila kitu kinatumia inbuilt softwares.
Wanazo Os kama
OpenKylin 1.0
Deepin na nyingine nyingi tu.
Nakuongezea mfano mwingine. Germany ni maarufu katika kuund OS za kuongeza mashines za viwanda yani embeded OS lakini huku kwingine hagusi maana huku OS bila softwares ambazo nyingi huzitengenezi wewe hutoboi.
Ni vigumu kuwapiku magiants uliowakuta tayari hivyo kibiashara utajikuta unakula hasara
Achana nae huyo, anajifanya mjuaji kumbe hajui kitu, umejitahidi kumuelewesha.
 
Kwenye sakata la Marekani na Huawei bado Huawei ndio loser

Sanction za Mmarekani zimeiathiri sana Huawei, haijalishi Huawei ataendelea kutengeneza product bora au la.

Huwezi shindana na Mmarekani
Huawei in short time ni loser lakini in the long run ameanza kurudi kwa kasi sana na bila wasiwasi maana anajitegemea. And by the way China ban za Huawei aliichukulia kama shambulio kwa nchi si kampuni ndio maana wamewekeza sana katika utafiti na kujitegemea.
Break through alizofanya zinaonyesha coming yake kwa kasi.
 
Harmony inatumia application gani?
Mfano. Huwezi kuchukua software ya windows ya exe ukainstall kwenye Linux au Mac OS. Sasa km utatengeneza OS halafu inatumia EXE halafu unasema ni OS hapo inakuwa Clone ya Windows.
Mchina ameshazoea kucopy na kupaste ndiyo maana kwenye suala la kutengeneza OS linakuwa gumu maana
1. Inahitaji akili nyingi sana
2. Inahitaji muda
3. Inahitaji uwe na developer
4. Unatakiwa uwe mbunifu haswaa
Ambavyo una amini mchina hana hayo mambo manne?
 
Huawei anazidi kuishangaza dunia na kuonyesha kuwa sanctions hazifanyi kazi.
Baada ya kuwashangaza na simu zenye socks alizounda mwenyewe na ambazo demand ni kubwa kuliko hata uzalishaji wake kitu ambacho kilifanya US azidi kukaza vikwazo na watu wabaki midomo wazi maana walitegemea kwa nguvu zake mwenyewe itamchukua labda hadi 2029, sasa juzi katangaza ujio wa Kirin 9006C yenye 5nm technology.

US atajuta kwa sanctions kwa sababu alichojaribu kuzuia ni kama ametia petrol kwenye moto. Sanctions hazifanyi kazi kwa China.
View attachment 2845584
Ata kuja zuzu mmoja wa Mbagala akuambie eti China wanacopy technology na kutengeneza vitu feki
 
Hata gari za umeme anafanya maajabu, aisee tuanzeni kujifunza kichina hali ni mbaya sana.
Umeona test ya Nio ya CEO wake jana. Gari lao la umeme la ET7 limeenda kilomita 1000 bila kuwa recharged na likabaki na kachaji kidogo. Yani unaweza toka Dar hadi Mwanza bila kuchaji na gari lenyewe sijui ilikuwa sedan, crossover au SUV. Sio truck
 
Back
Top Bottom