China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

Ahsante Mkuu kwa msaada Wako usio na tamaa, choyo na ghilba.
Naomba nikuulize, mimi nahitaji used construction equipments je Una taarifa kamili?

Hizo machine zinapatikana kwa urahisi mji wa Shanghai, Beijing na Tianjin.

1. Machine nyingi zinakuwa chinese brand, kwa udhoefu wangu zinakuwa zimechoka sana
2. Chache zilizopo ni za makampuni ya nje ya nchi, hizi atleast ziko durable kuliko zile za kichina
 
biashara ya auto spare parts used ni mji gan huko china

Used autoparts ?

Kwa udhoefu wangu wa hapa China, magari mengi ni brand za kichina na nchi chache za ulaya.
Sasa kupata used autoparts lazima zitakuwa zina reflect magari ya aina hayo. Huwezikupata used parts za magari yetu ya hapo Tanzania kirahisi ivo.

Nakushauri ununue brand new autoparts, kwani hata bei zake siyo kubwa kama unavyodhani.
 
Duh! ushauri mzr sn mtoa mada, napata mawazo mapya yenye mashiko kila ninapo log in JF. Asanten sn.
 
Tafadhali naomba ushauri jinsi ya kuexport products zetu kwenda China; ni hatua zipi za kufuata ili na sisi tuwauzie bidhaa zetu.
 
Tafadhali naomba ushauri jinsi ya kuexport products zetu kwenda China; ni hatua zipi za kufuata ili na sisi tuwauzie bidhaa zetu.

1. Unataka ku export kitu gani?
2. Una uwezo wa ku supply kwa kiasi gani? I mean QUANTITY ya hicho kitu

Ku export kwenda china siyo kazi rahisi hata kidogo, lakini ukifanikiwa ku export basi wewe utakuwa na pesa ya nguvu.

Nadhani ukishatoa hayo majibu mawili basi nitakupa watu au details za kuanza nazo. (Kama hupendi ku expose biashara yako au majibu yako basi nitumie kwa PM)
 
1. Unataka ku export kitu gani?
2. Una uwezo wa ku supply kwa kiasi gani? I mean QUANTITY ya hicho kitu

Ku export kwenda china siyo kazi rahisi hata kidogo, lakini ukifanikiwa ku export basi wewe utakuwa na pesa ya nguvu.

Nadhani ukishatoa hayo majibu mawili basi nitakupa watu au details za kuanza nazo. (Kama hupendi ku expose biashara yako au majibu yako basi nitumie kwa PM)

Huwezi kutoa hizo details mpaka nijibu hayo maswali? Mbona mtoa mada ametupa details bila kuuliza tunataka kununua nini China. Naomba details za kuexport kama mtoa mada alivyotoa details za kuimport . Ndo mana dola inashuka kwa sababu za kukatishana tamaa; tusaidiane mawazo ya kuexport bidhaa zetu ili nasi tuone jinsi gani dola tutaipandisha. Mleta mada ametoa mfano wa bidhaa ambazo tunaweza kuwauzia waChina. Mimi nina shida ya details za kuexport kama mleta mada alivyotuelimisha kuhusu kuimport bidhaa za China. Anatefahamu tafadhali tuelimishe; hakuna kisichowezekana ukiweka nia.
 
Huwezi kutoa hizo details mpaka nijibu hayo maswali? Mbona mtoa mada ametupa details bila kuuliza tunataka kununua nini China. Naomba details za kuexport kama mtoa mada alivyotoa details za kuimport . Ndo mana dola inashuka kwa sababu za kukatishana tamaa; tusaidiane mawazo ya kuexport bidhaa zetu ili nasi tuone jinsi gani dola tutaipandisha. Mleta mada ametoa mfano wa bidhaa ambazo tunaweza kuwauzia waChina. Mimi nina shida ya details za kuexport kama mleta mada alivyotuelimisha kuhusu kuimport bidhaa za China. Anatefahamu tafadhali tuelimishe; hakuna kisichowezekana ukiweka nia.


Mimi ni mmoja ya watu wanatoa info za china hapa JF. Sijawahi bana information kama hizo.

Nimekuuliza kwa sababu majibu yako yangerahisisha upatikanaji wa specific procedures za task unayotaka kufanya.

Anyway, ili uweze ku export zingatia yafuatayo
1. Chagua bidhaa unayotaka ku export
2. Cheki soko kupitia mitandao au wadau walioko china wakusaidie kutafuta mteja wa china
3. Utapokea viwango vya bidhaa toka kwa mteja
4. Utampa sample za bidhaa zako
5. Mteja atatupa offer ya bei yake, na wewe utatoa bei yako kama yake haina maslahi, mara nyingi wanataka CIF
4. Mtakubaliana port ya kushusha huo mzigo, mara nyingi mzigo unashushwa Guangzhou, Ningbo au Qingdao port
5. Mteja atakupa terms na kiwango cha mzigo anachotaka kila mwezi, so inabidi ujipime kama unaweza supply kiwango hicho
6. Mtakubaliana na mteja terms za malipo. Alipeje? kiasi cha mwazo ni asilimia ngapi? When alipe? Kiasi cha mwisho alipeje.
7. Itabidi utafute watu wa quality assurance walioko china au hongkong wakupe details za viwango vya nchi yao. Hii huduma lazima ulipie. Watakuelekeza a to z, cha muhimu uwe mkweli. Ukidanganya itakula kwako mzigo ukifika unaweza kuwa blocked bandarini.

Mambo ya msingi
1. Wachina ni wagumu sana ktk kulipa hela, hivyo basi hakikisha mzigo unapokuwa loaded kuondoka tz wawe wameshalipa asilimia fulani ya mzigo. Mara nyingi wanazingua mzigo wako ukishafika bandarini au warehouse wanazungusha kukamilisha malipo. Zipo kesi zishatokea na hadi mahakamani wameenda. Kibaya zaidi communication ni issue.Chinese Chinese everywhere

2. Export kitu chenye quality nzuri. Fuata makubaliano. Usiforge vitu kibongo kibongo. Akisema nyama iwe grade A basi hakikisha inakuwa grade A not B. Hii itaepusha usumbufu bandarini.

3. Katika hatua zoooote, hatua ya kutoa mzigo bandarini china ndiyo nzito. Hata hivyo vishoka wapo. Cha muhimu kujipanga tuu. Lakini quality ya mzigo ikiwa mbovu vishoka ni useless.



Nadhani inatosha kwa leo.
 
Huwezi kutoa hizo details mpaka nijibu hayo maswali? Mbona mtoa mada ametupa details bila kuuliza tunataka kununua nini China. Naomba details za kuexport kama mtoa mada alivyotoa details za kuimport . Ndo mana dola inashuka kwa sababu za kukatishana tamaa; tusaidiane mawazo ya kuexport bidhaa zetu ili nasi tuone jinsi gani dola tutaipandisha. Mleta mada ametoa mfano wa bidhaa ambazo tunaweza kuwauzia waChina. Mimi nina shida ya details za kuexport kama mleta mada alivyotuelimisha kuhusu kuimport bidhaa za China. Anatefahamu tafadhali tuelimishe; hakuna kisichowezekana ukiweka nia.

Bidhaa hotcake
1. Mbao aina ya redwood from brasil, India na Madagascar
2. Samaki, jina limepotea, wapo lake Victoria
3. Kuna raw material fulani ya kutengeneza nyuzi za kushonea watu wapofanyiwa operation
4. Ngozi za ng`ombe
5. Mchele, kwa kiasi kikubwa unatoka Thailand na Malaysia. Wao upo kama kitumbo rice.
6. Korosho
7. Ufuta
8. Alizeti
9. Nyama ya ng`ombe. Kuna wachina wanataka kufungua kiwanda cha kuchinjia ngo'mbe hapo tz kisha wana export mzima mzima. Ni hatari. Watz mmelala.
 
Huwezi kutoa hizo details mpaka nijibu hayo maswali? Mbona mtoa mada ametupa details bila kuuliza tunataka kununua nini China. Naomba details za kuexport kama mtoa mada alivyotoa details za kuimport . Ndo mana dola inashuka kwa sababu za kukatishana tamaa; tusaidiane mawazo ya kuexport bidhaa zetu ili nasi tuone jinsi gani dola tutaipandisha. Mleta mada ametoa mfano wa bidhaa ambazo tunaweza kuwauzia waChina. Mimi nina shida ya details za kuexport kama mleta mada alivyotuelimisha kuhusu kuimport bidhaa za China. Anatefahamu tafadhali tuelimishe; hakuna kisichowezekana ukiweka nia.

Mkuu naona kwenye dollar hapo umeongea vice versa. Ni kwamba tusipo-export kwa wingi dollar inapanda thamani.
 
Mimi ni mmoja ya watu wanatoa info za china hapa JF. Sijawahi bana information kama hizo.

Nimekuuliza kwa sababu majibu yako yangerahisisha upatikanaji wa specific procedures za task unayotaka kufanya.

Anyway, ili uweze ku export zingatia yafuatayo
1. Chagua bidhaa unayotaka ku export
2. Cheki soko kupitia mitandao au wadau walioko china wakusaidie kutafuta mteja wa china
3. Utapokea viwango vya bidhaa toka kwa mteja
4. Utampa sample za bidhaa zako
5. Mteja atatupa offer ya bei yake, na wewe utatoa bei yako kama yake haina maslahi, mara nyingi wanataka CIF
4. Mtakubaliana port ya kushusha huo mzigo, mara nyingi mzigo unashushwa Guangzhou, Ningbo au Qingdao port
5. Mteja atakupa terms na kiwango cha mzigo anachotaka kila mwezi, so inabidi ujipime kama unaweza supply kiwango hicho

Aisee hii inakudhihirisha jinsi ulivyo makini.
Pamoja sana endelea na moyo huohuo
 
Kampuni ipi nzuri nataka container langu lipakiliwe kutokea China na nilipokee kwenye ghala zao, pre inspection, pre payments za taxes na custom duties, TFDA, zinahusika.

Biashara endelevu.
 
Ahsante sana Software Engineer; yan details ulizotoa ni msaada mkubwa. Ubarikiwe
 
Mimi ni mmoja ya watu wanatoa info za china hapa JF. Sijawahi bana information kama hizo.

Nimekuuliza kwa sababu majibu yako yangerahisisha upatikanaji wa specific procedures za task unayotaka kufanya.

Anyway, ili uweze ku export zingatia yafuatayo
1. Chagua bidhaa unayotaka ku export
2. Cheki soko kupitia mitandao au wadau walioko china wakusaidie kutafuta mteja wa china
3. Utapokea viwango vya bidhaa toka kwa mteja
4. Utampa sample za bidhaa zako
5. Mteja atatupa offer ya bei yake, na wewe utatoa bei yako kama yake haina maslahi, mara nyingi wanataka CIF
4. Mtakubaliana port ya kushusha huo mzigo, mara nyingi mzigo unashushwa Guangzhou, Ningbo au Qingdao port
5. Mteja atakupa terms na kiwango cha mzigo anachotaka kila mwezi, so inabidi ujipime kama unaweza supply kiwango hicho
6. Mtakubaliana na mteja terms za malipo. Alipeje? kiasi cha mwazo ni asilimia ngapi? When alipe? Kiasi cha mwisho alipeje.
7. Itabidi utafute watu wa quality assurance walioko china au hongkong wakupe details za viwango vya nchi yao. Hii huduma lazima ulipie. Watakuelekeza a to z, cha muhimu uwe mkweli. Ukidanganya itakula kwako mzigo ukifika unaweza kuwa blocked bandarini.

Mambo ya msingi
1. Wachina ni wagumu sana ktk kulipa hela, hivyo basi hakikisha mzigo unapokuwa loaded kuondoka tz wawe wameshalipa asilimia fulani ya mzigo. Mara nyingi wanazingua mzigo wako ukishafika bandarini au warehouse wanazungusha kukamilisha malipo. Zipo kesi zishatokea na hadi mahakamani wameenda. Kibaya zaidi communication ni issue.Chinese Chinese everywhere

2. Export kitu chenye quality nzuri. Fuata makubaliano. Usiforge vitu kibongo kibongo. Akisema nyama iwe grade A basi hakikisha inakuwa grade A not B. Hii itaepusha usumbufu bandarini.

3. Katika hatua zoooote, hatua ya kutoa mzigo bandarini china ndiyo nzito. Hata hivyo vishoka wapo. Cha muhimu kujipanga tuu. Lakini quality ya mzigo ikiwa mbovu vishoka ni useless.



Nadhani inatosha kwa leo.

🙏🙏🙏🙏 ubarikiwe sana
 
Mimi ni mmoja ya watu wanatoa info za china hapa JF. Sijawahi bana information kama hizo.

Nimekuuliza kwa sababu majibu yako yangerahisisha upatikanaji wa specific procedures za task unayotaka kufanya.

Anyway, ili uweze ku export zingatia yafuatayo
1. Chagua bidhaa unayotaka ku export
2. Cheki soko kupitia mitandao au wadau walioko china wakusaidie kutafuta mteja wa china
3. Utapokea viwango vya bidhaa toka kwa mteja
4. Utampa sample za bidhaa zako
5. Mteja atatupa offer ya bei yake, na wewe utatoa bei yako kama yake haina maslahi, mara nyingi wanataka CIF
4. Mtakubaliana port ya kushusha huo mzigo, mara nyingi mzigo unashushwa Guangzhou, Ningbo au Qingdao port
5. Mteja atakupa terms na kiwango cha mzigo anachotaka kila mwezi, so inabidi ujipime kama unaweza supply kiwango hicho
6. Mtakubaliana na mteja terms za malipo. Alipeje? kiasi cha mwazo ni asilimia ngapi? When alipe? Kiasi cha mwisho alipeje.
7. Itabidi utafute watu wa quality assurance walioko china au hongkong wakupe details za viwango vya nchi yao. Hii huduma lazima ulipie. Watakuelekeza a to z, cha muhimu uwe mkweli. Ukidanganya itakula kwako mzigo ukifika unaweza kuwa blocked bandarini.

Mambo ya msingi
1. Wachina ni wagumu sana ktk kulipa hela, hivyo basi hakikisha mzigo unapokuwa loaded kuondoka tz wawe wameshalipa asilimia fulani ya mzigo. Mara nyingi wanazingua mzigo wako ukishafika bandarini au warehouse wanazungusha kukamilisha malipo. Zipo kesi zishatokea na hadi mahakamani wameenda. Kibaya zaidi communication ni issue.Chinese Chinese everywhere

2. Export kitu chenye quality nzuri. Fuata makubaliano. Usiforge vitu kibongo kibongo. Akisema nyama iwe grade A basi hakikisha inakuwa grade A not B. Hii itaepusha usumbufu bandarini.

3. Katika hatua zoooote, hatua ya kutoa mzigo bandarini china ndiyo nzito. Hata hivyo vishoka wapo. Cha muhimu kujipanga tuu. Lakini quality ya mzigo ikiwa mbovu vishoka ni useless.



Nadhani inatosha kwa leo.

Mkuu umekuwa msaada mkubwa sana kwa wengi, na hili ndio lengo hasa la huu uzi(kuwasaidia wafanyabiashara). Niombe wengine wajitokeze zaidi ili kutoa nyongeza ya maelezo na uzoefu. Barikiwa sana mkuu
 
Back
Top Bottom