China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

Mkuu , huo mtaji wa 5000 USD( 5000X6.2 元= 31,000 &#20803😉huo ni mtaji mkubwa tu na unaweza kufanya biashara kwa baadhi ya vitu ikiwa tu hiyo itakuwa ni nje ya nauli na pesa ya kujikimu.
BACK TO YOUR QN. Sina current price ya baadhi ya machines lakini unaweza kununua machine zifuatazo kwa mtaji wako:
1. Machine ya kutengeza bisi(popcorn )
2. Machine ya kutengeneza ice cream/ barafu
3. mashine ya kutengenezea juice mbalimbali(juicer). kama machungwa(ninayo MPYA ambayo haitumii umeme, ukihitaji tuwasiliane)
4. Mashine ya kukaangia chips(ninayo MPYA,ukihitaji tuwasiliane)
5. Mashine ya kutotolea vifaranga
6. Mashine ya kubania glasi za juice km take away(ninayo MPYA, ntafute kama unahitaji )
Nk. Wengine wataongezea

Ni PM namba yako
 
Mimi naomba kusaidiwa kitu kimoja mfano nikanunua vitu online kama vile na Alibaba.com vip gharama za usafiri zinaendaje kama nitaagiza vitu wanacharge kiasi gani kwa meli????
 
Mimi naomba kusaidiwa kitu kimoja mfano nikanunua vitu online kama vile na Alibaba.com vip gharama za usafiri zinaendaje kama nitaagiza vitu wanacharge kiasi gani kwa meli????

Mkuu kuna link hapo juu ya jamaa wa silent ocean, pitia utaelewa mengi kuhusu usafirishaji. Hope itakusaidia
 
Mimi naomba kusaidiwa kitu kimoja mfano nikanunua vitu online kama vile na Alibaba.com vip gharama za usafiri zinaendaje kama nitaagiza vitu wanacharge kiasi gani kwa meli????
Kaka inategemea na ujazo wa mzigo wako.,meli hawaangalii kilo,bali ujazo.,kwa kukusaidia na uzoefu wsngu., silent ocean mpaka dsm cubic metre moja ni dollar 500
 
Thanks sana mkuu for sharing this. Nilikua naulizia juu ya modes of payments coz naamini watu hawasafiri na pesa mfukoni kwenda kuchukua mzigo. Njia rahisi ya kulipia ni ipi?
 
Thanks sana mkuu for sharing this. Nilikua naulizia juu ya modes of payments coz naamini watu hawasafiri na pesa mfukoni kwenda kuchukua mzigo. Njia rahisi ya kulipia ni ipi?

Mkuu kama nimekuelewa vizuri nadhani umekusudia kwa mfanyabiashara anaesafiri, if that is the case then huna haja ya kubeba pesa mfukoni. Weka pesa zako CRDB na ukifika china utazitoa kule, hakikisha kadi yako ni VISA CARD, na pia kama utaishiwa ukiwa kule unaweza muagiza mtu Tanzania akakuingizia pesa(TZS) kwenye CRDB account yako na ukatoa pesa kule(chinese Yuan).Kwa hiyo kule utawalipa wachina kwa YUAN as Cash, japo pia wapo wengine unaoweza kuwalipa kwa kudeposit kwenye bank acounts zao. Kama itakuwa sikukuelewa ulichokusudia, weka sawa maelezo ntarudi kukujibu
 
Mkuu kama nimekuelewa vizuri nadhani umekusudia kwa mfanyabiashara anaesafiri, if that is the case then huna haja ya kubeba pesa mfukoni. Weka pesa zako CRDB na ukifika china utazitoa kule, hakikisha kadi yako ni VISA CARD, na pia kama utaishiwa ukiwa kule unaweza muagiza mtu Tanzania akakuingizia pesa(TZS) kwenye CRDB account yako na ukatoa pesa kule(chinese Yuan).Kwa hiyo kule utawalipa wachina kwa YUAN as Cash, japo pia wapo wengine unaoweza kuwalipa kwa kudeposit kwenye bank acounts zao. Kama itakuwa sikukuelewa ulichokusudia, weka sawa maelezo ntarudi kukujibu

Thanks sana kiongozi, that's all I wanted to know. Barikiwe sana
 
mim bado mwanafunz wa chuo kikuu je naweza kuanz na kama mil.1 biashara huko china?naomba ushauri
 
mim bado mwanafunz wa chuo kikuu je naweza kuanz na kama mil.1 biashara huko china?naomba ushauri

Inawezekana lakini pia haiwezekani! Ntafafanunua.
Inawezekana IKIWA TU utapata mfanyabiashara mwaminifu ambaye utamuagizia bidhaa ndogo ndogo zinazoendana na mazingira yako ya chuo kama makava ya simu,memory sticks,empty cd, na akakuwekea katika mizigo yake na wewe ukampoza kidogo. Bidhaa kama hizi unaweza kuziuza ndani ya mazingira yako ya chuo bila kuathiri muda wako wa masomo. Pia waweza agiza bidhaa za urembo kwa wanawake kama mikufu,vikuku,pete nk.

Pia INAWEZEKANA kama utakua unauelewa mkubwa wa online shopping na kama una mtu ambaye yupo china kule unamfahamu akakusaidia baadhi ya mambo!

HAIWEZEKANI: Ukikosa mtu ambaye atakubalina na wewe kama nilivyoeleza hapo juu,itakuwa ngumu wewe kwenda china na kufanya biashara kwa hiyo 1M yako kwa sababu hiyo pesa hata nauli ya return ticket haitoshi.
 
Inawezekana lakini pia haiwezekani! Ntafafanunua.
Inawezekana IKIWA TU utapata mfanyabiashara mwaminifu ambaye utamuagizia bidhaa ndogo ndogo zinazoendana na mazingira yako ya chuo kama makava ya simu,memory sticks,empty cd, na akakuwekea katika mizigo yake na wewe ukampoza kidogo. Bidhaa kama hizi unaweza kuziuza ndani ya mazingira yako ya chuo bila kuathiri muda wako wa masomo. Pia waweza agiza bidhaa za urembo kwa wanawake kama mikufu,vikuku,pete nk.

Pia INAWEZEKANA kama utakua unauelewa mkubwa wa online shopping na kama una mtu ambaye yupo china kule unamfahamu akakusaidia baadhi ya mambo!

HAIWEZEKANI: Ukikosa mtu ambaye atakubalina na wewe kama nilivyoeleza hapo juu,itakuwa ngumu wewe kwenda china na kufanya biashara kwa hiyo 1M yako kwa sababu hiyo pesa hata nauli ya return ticket haitoshi.

ok nime kuelew vzuri sana,kiukweli sina mtu ninae mfaham aliye china pia hivyo ni ngumu,mim ninapend biashar hata ktk cm nina program nying za china mf.Alibaba,china rate na ninawasilian na baadhi ya maagent ila shida ni huku bandarin kama nitatumiw sifaham lolote huko pia uaminifu.naomba unishauri ktk hili
 
nilipo soma hii thread siku pata usingiz nili waza tu uwezekano wa kwend huko mpaka sasa ingawa natambua ni ngumu
 
Vip kuhusu living cost na gharama ya vitu Beijing?

'Mkwe Beijing wataka kwenda kununua nini? Kisera Beijing ni mji wa UTAWALA na si biashara kama ilivyo Guangzhou na Shenzhen au miji mengine. Wenzetu miji yao wameigawanya vizuri mf. Wuhan- mji wa vyuo(japo miji mengine ina vyuo) na una idadi kubwa ya vyuo na wanafunzi wageni, Beijing ni mji mkuu na ni wa kiutawala zaidi, Guanzhou ni mji wa biadhara, Shenzhen ni mji wa viwanda.
Kwa hiyo Beijing kwa kuwa ni capital city gharama za maisha ziko juu na kama ni kununua vitu sishauri sana huko
 
ok nime kuelew vzuri sana,kiukweli sina mtu ninae mfaham aliye china pia hivyo ni ngumu,mim ninapend biashar hata ktk cm nina program nying za china mf.Alibaba,china rate na ninawasilian na baadhi ya maagent ila shida ni huku bandarin kama nitatumiw sifaham lolote huko pia uaminifu.naomba unishauri ktk hili

hujanijibu hapa ndugu yangu kipilipil
 
ok nime kuelew vzuri sana,kiukweli sina mtu ninae mfaham aliye china pia hivyo ni ngumu,mim ninapend biashar hata ktk cm nina program nying za china mf.Alibaba,china rate na ninawasilian na baadhi ya maagent ila shida ni huku bandarin kama nitatumiw sifaham lolote huko pia uaminifu.naomba unishauri ktk hili

Mkuu mimi sikukatishi tamaa lakini nataka kukushauri kuwa kwa sasa mtaji huo ni mdogo, nashauri uangalie fursa hapo chuoni kwako ya kibiashara ili ukuze mtaji with focus kuwa mtaji ukue ili uanze biashara ya China.
Kujua business oportunity hapo chuoni angalia ni huduma gani inakuwa ngumu kuipata mpaka uende nje ya chuo? Ukishapata jibu basi hiyo ni fursa ya biashara ambayo unaweza kuanza nayo na ikakulipa kulingana na mtaji wako.
Baadhi ya wanachuo hasa kina dada hupenda kula chakula room, mkuu unaweza kutoa huduma ya "room delivery" ukawa unanunua chakula kwa bei ile ile kwenye cafteria ya chuo kisha ukaongeza hela kidogo kama huduma ya kuwafikishia. Ukiwa na vijana wako 5, na ukipata wateja 10 kwa kila mlo ie asubuhi,mchana na jioni hapo utakuwa na wateja 30 kwa siku. Kila mteja akikupa sh 500 then hiyo ni sh 15000 kwa siku. Kwa mwezi ni 450,000.
Nunua nguo, vipodozi, urembo na wapitishie kina dada vyumbani katika hosteli zao!mdogo mdogo tu mtaji utakuwa. Hii ni mifano tu nimetoa kuonesha kuwa kama utatafuta fursa maeneo yanayokuzunguka basi uwezekano wa kukuza mtaji upo na SI LAZIMA UFANYE NILICHOKISEMA HAPA! Kila la kheri mkuu
 
Mkuu mimi sikukatishi tamaa lakini nataka kukushauri kuwa kwa sasa mtaji huo ni mdogo, nashauri uangalie fursa hapo chuoni kwako ya kibiashara ili ukuze mtaji with focus kuwa mtaji ukue ili uanze biashara ya China.
Kujua business oportunity hapo chuoni angalia ni huduma gani inakuwa ngumu kuipata mpaka uende nje ya chuo? Ukishapata jibu basi hiyo ni fursa ya biashara ambayo unaweza kuanza nayo na ikakulipa kulingana na mtaji wako.
Baadhi ya wanachuo hasa kina dada hupenda kula chakula room, mkuu unaweza kutoa huduma ya "room delivery" ukawa unanunua chakula kwa bei ile ile kwenye cafteria ya chuo kisha ukaongeza hela kidogo kama huduma ya kuwafikishia. Ukiwa na vijana wako 5, na ukipata wateja 10 kwa kila mlo ie asubuhi,mchana na jioni hapo utakuwa na wateja 30 kwa siku. Kila mteja akikupa sh 500 then hiyo ni sh 15000 kwa siku. Kwa mwezi ni 450,000.
Nunua nguo, vipodozi, urembo na wapitishie kina dada vyumbani katika hosteli zao!mdogo mdogo tu mtaji utakuwa. Hii ni mifano tu nimetoa kuonesha kuwa kama utatafuta fursa maeneo yanayokuzunguka basi uwezekano wa kukuza mtaji upo!

ok shukran kwa hili ushauri mzuri, kuanza biashara ya huko niwe na mtaji kama kiasi gani?
 
Kaka umetufumbua macho wengi sana. Hasa mimi. Naomba nikuulize kitu. Nikiwa na mil.1.5 nitapata mashine gani ya kufanyia biashara kwa maeneo yaliyopo mipakani?

Mkuu unataka kufyatua visa na work permit??
 
Hahaa....mkuu naona umeweka na msisitizo hapo kwenye "TOTOZ", chonde chonde usije ukala mtaji(joking). By the way, karibu and share with us your valuable experience! Karibu sana!

Mkuu mashine kama za kutengeneza mikanda name wallet kutokana na ngozi za wanyama ambazo tunazo za kutosha hapa Tanzania inaweza kugharimu kiasi gani cha pesa?
 
Back
Top Bottom