China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

Ahsante sana mkuu.
Ni kweli living cost za HK ziko juu mno kuanzia makazi hadi malazi.

Suala la usafiri linaumiza sana kichwa hasa ukizingatia jamaa wa pale "Njia panda ya ulaya"walivyo na "njaa". Pale hata uwe na laptop moja sometimes wanakukomalia hasa wakiiona ina upya kidogo...yani ni shida.

Kutokana na changamoto ya usafiri niliamua kushift na kununua bidhaa ambazo hata nikizitia kwenye meli mwezi zinakuwa bado ziko kwenye soko ,sio kama nguo ambazo ikipita mwezi ujue kariakoo waeza ukaziuza kama mtumba.
ni kweli tatizo biashara hii ya simu haitaji hivo alafu ukizingatia mtaji mdogo ela inatakiwa izunguke fasta,sema mbona wakinga nguo wao wanatuma kwa meli tu,sababu hao jamaa ndo nilikua nawapa sana simu maana wakija bongo wanakua hawana mizgo mizigo yao yote kwenye meli
 
Ahsante sana mkuu.
Ni kweli living cost za HK ziko juu mno kuanzia makazi hadi malazi.

Suala la usafiri linaumiza sana kichwa hasa ukizingatia jamaa wa pale "Njia panda ya ulaya"walivyo na "njaa". Pale hata uwe na laptop moja sometimes wanakukomalia hasa wakiiona ina upya kidogo...yani ni shida.

Kutokana na changamoto ya usafiri niliamua kushift na kununua bidhaa ambazo hata nikizitia kwenye meli mwezi zinakuwa bado ziko kwenye soko ,sio kama nguo ambazo ikipita mwezi ujue kariakoo waeza ukaziuza kama mtumba.

Safi sana Mkuu Kplpl

Nifahamishe kuhusu utaratibu wa VISA, kwa mfano niko nje ya TZ naweza pata VISA kupitia Ma-agent walioko TZ au China? au ni lazima nifike ubalozi.

Otherwise the thread is very useful and constructive; ni-inbox number yako mkuu
 
Nataka kujua gharama za nauli kwenda China na kirudi Tafadhali naomba msaada
 
Hope yangu kubwa ni kuona wachangiaji wengi wanaofanya biashara china wanakuja na kufunguka zaidi!,natanguliza shukrani
 
Safi sana Mkuu Kplpl

Nifahamishe kuhusu utaratibu wa VISA, kwa mfano niko nje ya TZ naweza pata VISA kupitia Ma-agent walioko TZ au China? au ni lazima nifike ubalozi.

Otherwise the thread is very useful and constructive; ni-inbox number yako mkuu

Mkuu, huko "nje" uliko hakuna ubalozi wa china? Kama upo nenda ubalozini huko watakupa utaratibu.
 
Nataka kujua gharama za nauli kwenda China na kirudi Tafadhali naomba msaada

Mkuu nauli zinategemea season na pia unataka kusafiri lini. Kipindi cha high season kama june,july, august bei zinakuwa juu. Kama kwa mfano unatarajia kusafiri July basi ikifika april kata tiketi mapema . Mara nyingi kunakuwa na offer kwenye mashirika ya ndege kwa hiyo pendelea kutembelea website zao.
Pia nauli inategemea na shirika la ndege unalotaka kusafiria na pia daraja unalotaka kukaa.
Kwa wafanyabiashara wengi hutumia ethiopian airline kwa sababu huwa wanatoa kg nyingi kuliko wengine.
Pita kwa mawakala posta na kariakoo au search google kupata bei mbalimbali za nauli. Unaweza kutenga bajeti ya USD 900-1200 Kwa nauli kwa economy class
 
Huu ndio ujinga usiotakiwa kwenye thread kama hii, unatumia internet ni kwa nini usisearch bei za ticket za ndege? Kwa hili hapana huu ni uzembe uliopitiliza.

Breath in, breath out.....Relax! Mkuu , tunatofautiana watanzania, tuelimishane taratibu! Kuna wengine japo anatumia internet eg. JF lakini ukimwambia habari ya kusearch yaani umeshamvuruga, twende nao mdogo mdogo its a matter of time wataelewa tu.
Asante
 
Mkuu nauli zinategemea season na pia unataka kusafiri lini. Kipindi cha high season kama june,july, august bei zinakuwa juu. Kama kwa mfano unatarajia kusafiri July basi ikifika april kata tiketi mapema . Mara nyingi kunakuwa na offer kwenye mashirika ya ndege kwa hiyo pendelea kutembelea website zao.
Pia nauli inategemea na shirika la ndege unalotaka kusafiria na pia daraja unalotaka kukaa.
Kwa wafanyabiashara wengi hutumia ethiopian airline kwa sababu huwa wanatoa kg nyingi kuliko wengine.
Pita kwa mawakala posta na kariakoo au search google kupata bei mbalimbali za nauli. Unaweza kutenga bajeti ya USD 900-1200 Kwa nauli kwa economy class

Asante sana
 
Mkuu Watu8 tafadhali pita mtaa huu

Samahani mkuu nilichelewa kuja huku...

Naona mambo mengi umeyafafanua vizuri tu...

Kwa kuongezea naona watu wanauliza sana habari ya bei...

Ungeweka link ya mtandao wa made-in-china pale juu au alibaba huko wataona bei za jumla...
 
Last edited by a moderator:
Samahani mkuu nilichelewa kuja huku...

Naona mambo mengi umeyafafanua vizuri tu...

Kwa kuongezea naona watu wanauliza sana habari ya bei...

Ungeweka link ya mtandao wa made-in-china pale juu au alibaba huko wataona bei za jumla...

Usijali mkuu. Ndio mana nilikuita , wazo lako limekuwa zuri mno. Nimelifanyia kazi tayari. Asante
 
Back
Top Bottom