Kipilipili nimekuwa nikifatilia hii mada toka 2015, nimeishajipanga kimtaji nahitaji msaada wako, kwa kuanzia naomba unipatie no yako. Hongera sana kwa kutupatia maarifa.Asante Mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipilipili nimekuwa nikifatilia hii mada toka 2015, nimeishajipanga kimtaji nahitaji msaada wako, kwa kuanzia naomba unipatie no yako. Hongera sana kwa kutupatia maarifa.Asante Mkuu!
Da Sabrina unachukua madera Bongo na kupeleka China au kutoa China kuleta bongo. Ama ndo yametimia ya kuwauzia wao mitumbaHabar yako kaka, samahan kwa usumbufu mm ni msichana naitwa Sabrina,Naishi tz ila juz kat nimepata fursa ya biashara China, yan kuchukua madera tz kupeleka China kuuza ,shida yangu ni moja jinsi ya kupeleka mzigo China na changamoto zake zipoje,na je ktk pita pita zako ushawai ona biashara ya madera huko China ,na wanauza kwa yuan ngapi?
Si anasema amepata fursa.Da Sabrina unachukua madera Bongo na kupeleka China au kutoa China kuleta bongo. Ama ndo yametimia ya kuwauzia wao mitumba
Nimefrah San kuona hii pin
M naomba muongozo wa biashara ya viatu ndo nataka nianze na je hizi kampuni za alibaba ni waaminifu kweli kufanya nao biashara? Na Je ni kampuni gani ya shipping iko vizuri kuna hyo silence ocean naonaga watu wanacomplain San kuhus kucheleweshew mizigo, mtandao was taobao mzuri sema n kichina tuuu....
Msaada plz kama una link ya wauza viatu plz mkuu
Sasa hivi ni mapumziko ya chinese spring festival, hakuna shipping line zinazofanya kazi na baadhi ya viwanda vimefunga. Kawaida kiuzoefu usafiri wa meli ni siku 45-60. atakaekwambia ni siku 25 muogope kama ukoma (makampuni mengi husema ni siku 25 ila utasubiri na zitapita na utaishia kulalamika tu).Mkuu Kipilipili, naweza kupata plastic pollen traps baada ya muda gani kutoka kwa jamaa zako? Naomba namba yako ya simu tafadhali.
Mkuu, hii NAHISI kama ni kinyumenyume, ni sawa na kutoa korosho DSM kupeleka mtwara kuuza.Habar yako kaka, samahan kwa usumbufu mm ni msichana naitwa Sabrina,Naishi tz ila juz kat nimepata fursa ya biashara China, yan kuchukua madera tz kupeleka China kuuza ,shida yangu ni moja jinsi ya kupeleka mzigo China na changamoto zake zipoje,na je ktk pita pita zako ushawai ona biashara ya madera huko China ,na wanauza kwa yuan ngapi?
Kipilipili nimekuwa nikifatilia hii mada toka 2015, nimeishajipanga kimtaji nahitaji msaada wako, kwa kuanzia naomba unipatie no yako. Hongera sana kwa kutupatia maarifa.
Kuhusu shipping, HAKUNA kampuni isiyo chelewesha mizigo. HAKUNA! Narudia tena HAKUNA. Unachotakiwa kufanya ni kama una mzigo mkubwa ugawanye na utume kwenye kampuni tofauti ili hawa wakichelewa, hawa wamewahi unakuwa hupotezi wateja . Don't put all your eggs in one basket. Kampuni zipo nyingi sasa hivi na kila siku zinaongezeka. Silent ocean, GNM, Mapembeleo Cargo, Mokha Agency, Hawaii nk nk.Nimefrah San kuona hii pin
M naomba muongozo wa biashara ya viatu ndo nataka nianze na je hizi kampuni za alibaba ni waaminifu kweli kufanya nao biashara? Na Je ni kampuni gani ya shipping iko vizuri kuna hyo silence ocean naonaga watu wanacomplain San kuhus kucheleweshew mizigo, mtandao was taobao mzuri sema n kichina tuuu....
Msaada plz kama una link ya wauza viatu plz mkuu
wadau, naitaji maelekezo ya wapi ntapata chupi za kike na boxer za kiume zenye ubora nje ya nchi hususani china.
SoyaSwali zuri hill. Je wachina hupenda bidhaa gani kutoka kwetu ?