China itapata wakati mgumu sana kwa Taiwan kuliko Russia kwa Ukraine

China itapata wakati mgumu sana kwa Taiwan kuliko Russia kwa Ukraine

China kwanza wamechelewa sana kuivamia Taiwan ,wamezembea hadi US kajenga base yake pale,US ana marine combat's zaid ya 20,000 ,ndege za kivita zaid ya 200 ,manowari ,pia ana base nyingine kisiwa cha japani ambacho ni karibu sana na Taiwan ,yani kiufupi Taiwani wamejiweka sawa.

Changamoto nyingine ni kwamba kisiwa hicho kipo umbali wa km 175 kutoka China, hivyo China akitaka kukivamia itabidi awe na meli kubwa zenye uwezo wa kubeba vifaa na zana za vita ,na hiz meli zitakua zinatembea taratibu hii itakua rahisi kushambuliwa na morden ant-ship messile ,pia Taiwan wameshatega mabomu ya kwenye maji kuzunguka kisiwa kizima ,mabomu haya yaliyotengenezewa UK yana uwezo wa kuharibu hadi submarine za kisasa.

Changamoto nyingine kuna kakisiwa kadogo ka Taiwan ambacho kiko umbali wa km 70 toka China haka kakisiwa kamejazwa wanajeshi na zana za kivita na ulinzi mkali hivyo kabla China hajafika Taiwan kwenyewe itamgharimu sana hapa.

Changamoto nyingine ni geography ya hichi kisiwa cha Taiwan aisee mji na mji kumetengwa na misitu mikubwa na mabonde mengi hii nayo. changamoto.

Changamoto nyingine ni jinsi ya kufanya uvamizi wa kushtukiza,unjua kwenye vita ukitaka ushindi wa asubuhi kamata anga la mpinzani aisee kwa Taiwan siyo rahisi maana anga lake linaendeshwa kisasa ,sawa na anga la France au German ,siyo choka mbaya Ukraine wasio na hata rada za maana

Lingine ni kuwa hichi kisiwa sio choka mbaya kama Ukraine wao wamenunua ndege za kisasa,technology zilizoenda shule ,ni wataalamu wa udukuz,wakisaidiwa na japani na US.

Changamoto ya mwisho ni kwamba kisiwa hichi kimeingia makubaliano na US ya kulindana hivyo hapa US anaingia direct, siyo kule kwa zelesky anatumiwa kifaa kimojakimoja tena kwa tabu.

Sitegemei kama China wataivamia Taiwan ,itaishia kupiga mikwara tuu.

Mama anatinga huko next week ngoja tuone ,yajayo yanafurahisha
Pamoja na tambo zote hizi
1. Jeshi la China ndilo linalolinda ndani ya kisiwa hiki

2. Kiongozi wa Wataiwan wanaotaka kujitenga anaishi ukimbizini zaidi ya miaka 30 sasa

3. Ukitaka kusema uongo uwe umefanya utafiti kwanza maana hayo yote uliyoyasema hayapo hivyo. Kisiwa kipo chini ya China na hakuna majeshi ya kigeni huko ndani. Mwaka juzi walijaribu kuleta uasi wakadhibitiwa mpaka jumuiya ya Kimataifa ikalalama.
 
Kwa jinsi Biden alivyo dhaifu hiyo safari ya Pelosi kwenda Taiwan sitashangaa ikisitishwa
 
Pamoja na tambo zote hizi
1. Jeshi la China ndilo linalolinda ndani ya kisiwa hiki

2. Kiongozi wa Wataiwan wanaotaka kujitenga anaishi ukimbizini zaidi ya miaka 30 sasa

3. Ukitaka kusema uongo uwe umefanya utafiti kwanza maana hayo yote uliyoyasema hayapo hivyo. Kisiwa kipo chini ya China na hakuna majeshi ya kigeni huko ndani. Mwaka juzi walijaribu kuleta uasi wakadhibitiwa mpaka jumuiya ya Kimataifa ikalalam

Pamoja na tambo zote hizi
1. Jeshi la China ndilo linalolinda ndani ya kisiwa hiki

2. Kiongozi wa Wataiwan wanaotaka kujitenga anaishi ukimbizini zaidi ya miaka 30 sasa

3. Ukitaka kusema uongo uwe umefanya utafiti kwanza maana hayo yote uliyoyasema hayapo hivyo. Kisiwa kipo chini ya China na hakuna majeshi ya kigeni huko ndani. Mwaka juzi walijaribu kuleta uasi wakadhibitiwa mpaka jumuiya ya Kimataifa ikalalama.
Ndo maana jina lako msanii kweli we msanii eti Taiwan haina rais na inalindwa na China
Hii hapa habari ya tarehe 26.7.2022

SUAO, Taiwan, July 26 (Reuters) - Taiwan President Tsai Ing-wen boarded a naval warship on Tuesday for only the second time in her six years in office, where she lauded the military's determination to defend the island while overseeing its largest annual naval and air exercises.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]india ni bora kuliko china kijeshi? huu ni upuuzi
Chuplichupli hawawez kuwazid mashaolin.

Hata ukiangalia stail zao za kupigana ktk mapicha yao ambayo yanaakisi tamadun zao ktk mapambano chuplichupli hawajawah kuwa sirias kias cha kuwashinda mashaolin.
 
Brilliant!! Mkuu thanks a lot kwa hoja yako yenye mshiko - kinacho nishangaza mimi ni watu kushindwa au kupuuzia kuangalia ramani wakatafakari umbali wa kutoka mashariki au magharibi ya pwani ya Merikani kuja kwenye bahari ya Uchina kuna umbali gani? Tukiwekea maanani kwamba Uchina ya sasa sio ya mwaka 47 Wachina siku hizi wamejizatiti sana katika masuala ya Navy, hasa hasa their formidable anti ship missiles especially: air craft carrier killer missiles type DF-36 zenye uwezo mkubwa wa kuzamisha aircraft carriers hata zikiwa in mid Pacific or Atlantic oceans, hapo hatujazungumzia MACH 15/20 Hypersonic Missiles ambazo US na UK hawana kinga dhidi ya makombora hayo hatari yenye uwezo vile vile wa kuzamisha aina zote za meli za kivita-sasa swali hapa ni: hivi US/UK watapitisha wapi meli za kuwezesha kuiwekekea blockade Uchina kwenye eneo la Taiwan Strait au strait of Malacca-kwa maneno mengine meli za NATO specifically US zitapitia wapi kabla hazijazamishwa na Uchina wakati teknolojia ya siku hizi ni rahisi kuiwezesha Uchina ku-track nyenendo za Meli za kijeshi za USA in real time kwa kutumia satellites za aidha Uchina au Urusi au Iran au zote kwa pamoja zikawezesha missiles ku-zero on US/UK Naval ships na kuzizamiswa katikati ya Bahari za Pacific au Atlantic kabla hazijafika Uchina.

Haya tuje kwenye suala la idadi ya Military bases ambazo Merikani anamiliki mashariki ya mbali, binafsi naona hiyo si hoja ya kuzitia wasi wasi Uchina au Urusi kambi hizo zote zinaweza kushambuliwa na kuchakazwa vibaya kwa makombora hatari ya Kichina na Urusi hata Korea ya Kasikazini uwezo huo wanao sana,na kusema kweli ukichunguza kwa umakini military bases hizo za kimerikani wala hazina military assets/materiel nyingi kivile na idadi ya wanajeshi wanao ishi kwenye makambi hayo niya kawaida kabisa, hivyo maadui wake ni rahisi kuzi-contain bases hizo in no time.

Ebu sasa tuangalie mfano mmoja kuhusu umakini pamoja na Ulinzi in general wa Military bases za Wamerikani around the World: kama nakumbuka vizuri miaka miwili/mitatu iliyo pita kambi mbili za jeshi la Merikani zilishambuliwa na roketi za Wairan, zikaharibu majengo kadhaa ya kambi na kutifua runways za ndege - wanajeshi kadhaa wa Merikani walipata madhara licha ya kujichimbia/jificha kwenye mahandaki yaliyo imarishwa kwa zege, walipo tonywa mapema kwamba Iran hiko mbioni kushambulia military bases mbili za jeshi la Merikani, hilo alikusaidia kitu ndio maana wanajeshi wengi ilibidi wakimbizwe Kuwait, Ujerumani na Merikani kupewa matibabu,kutokana na kupata madhara ya ubongo kutikiswa na shockwave ya mlipuko, binafsi huwa najiuliza: hivi kama Iran ingerusha roketi zilizo sheheni thermobaric payloads si wanajeshi wote wangekufa kutokana kukosa hewa na mapafu kuwa punctured, kwa bahati nzuri kutokana na UTU Iran hakufanya ukatiri wa kurusha roketi zenye madhara mkubwa kwa binadamu wenzake, badala yake Wairan walirusha roketi zilizo sheheni conventional high explosives tu na sio fuel air bombs/termobaric bombs

Tukirudi kuzungumzia uwezo wa Wachina ku-track movement za meli za Vita na submarine za USA in real time kwa kutumia satellite na sonars, wala hilo halishangazi hata kidogo maana siku hizi nyaja ya sayansi na teknolojia ime-grow sana na haihodhiwi na Taifa moja tu, hilo likumbukeni sana - ukweli ni kwamba linapo kuja suala la silaha - Uchina na Urusi zimekwisha ipiku USA kwenye silaha za kisasa kabisa, mfano: Hypersonic missiles and glide Vehicles, Submarine Drones, Supercavitation torpedoes za kuzamisha meli na submarine at high speed huku ikiwa imezama ndani ya Bahari.

Kuna watu watakupinga jomba ila umeandika facts tupu
 
China kwanza wamechelewa sana kuivamia Taiwan ,wamezembea hadi US kajenga base yake pale,US ana marine combat's zaid ya 20,000 ,ndege za kivita zaid ya 200 ,manowari ,pia ana base nyingine kisiwa cha japani ambacho ni karibu sana na Taiwan ,yani kiufupi Taiwani wamejiweka sawa.

Changamoto nyingine ni kwamba kisiwa hicho kipo umbali wa km 175 kutoka China, hivyo China akitaka kukivamia itabidi awe na meli kubwa zenye uwezo wa kubeba vifaa na zana za vita ,na hiz meli zitakua zinatembea taratibu hii itakua rahisi kushambuliwa na morden ant-ship messile ,pia Taiwan wameshatega mabomu ya kwenye maji kuzunguka kisiwa kizima ,mabomu haya yaliyotengenezewa UK yana uwezo wa kuharibu hadi submarine za kisasa.

Changamoto nyingine kuna kakisiwa kadogo ka Taiwan ambacho kiko umbali wa km 70 toka China haka kakisiwa kamejazwa wanajeshi na zana za kivita na ulinzi mkali hivyo kabla China hajafika Taiwan kwenyewe itamgharimu sana hapa.

Changamoto nyingine ni geography ya hichi kisiwa cha Taiwan aisee mji na mji kumetengwa na misitu mikubwa na mabonde mengi hii nayo. changamoto.

Changamoto nyingine ni jinsi ya kufanya uvamizi wa kushtukiza,unjua kwenye vita ukitaka ushindi wa asubuhi kamata anga la mpinzani aisee kwa Taiwan siyo rahisi maana anga lake linaendeshwa kisasa ,sawa na anga la France au German ,siyo choka mbaya Ukraine wasio na hata rada za maana

Lingine ni kuwa hichi kisiwa sio choka mbaya kama Ukraine wao wamenunua ndege za kisasa,technology zilizoenda shule ,ni wataalamu wa udukuz,wakisaidiwa na japani na US.

Changamoto ya mwisho ni kwamba kisiwa hichi kimeingia makubaliano na US ya kulindana hivyo hapa US anaingia direct, siyo kule kwa zelesky anatumiwa kifaa kimojakimoja tena kwa tabu.

Sitegemei kama China wataivamia Taiwan ,itaishia kupiga mikwara tuu.

Mama anatinga huko next week ngoja tuone ,yajayo yanafurahisha
Km 175 mbona anapigwa kutokea china moja kwa moja haina haja ya kusogeza meli
 
Brilliant!! Mkuu thanks a lot kwa hoja yako yenye mshiko - kinacho nishangaza mimi ni watu kushindwa au kupuuzia kuangalia ramani wakatafakari umbali wa kutoka mashariki au magharibi ya pwani ya Merikani kuja kwenye bahari ya Uchina kuna umbali gani? Tukiwekea maanani kwamba Uchina ya sasa sio ya mwaka 47 Wachina siku hizi wamejizatiti sana katika masuala ya Navy, hasa hasa their formidable anti ship missiles especially: air craft carrier killer missiles type DF-36 zenye uwezo mkubwa wa kuzamisha aircraft carriers hata zikiwa in mid Pacific or Atlantic oceans, hapo hatujazungumzia MACH 15/20 Hypersonic Missiles ambazo US na UK hawana kinga dhidi ya makombora hayo hatari yenye uwezo vile vile wa kuzamisha aina zote za meli za kivita-sasa swali hapa ni: hivi US/UK watapitisha wapi meli za kuwezesha kuiwekekea blockade Uchina kwenye eneo la Taiwan Strait au strait of Malacca-kwa maneno mengine meli za NATO specifically US zitapitia wapi kabla hazijazamishwa na Uchina wakati teknolojia ya siku hizi ni rahisi kuiwezesha Uchina ku-track nyenendo za Meli za kijeshi za USA in real time kwa kutumia satellites za aidha Uchina au Urusi au Iran au zote kwa pamoja zikawezesha missiles ku-zero on US/UK Naval ships na kuzizamiswa katikati ya Bahari za Pacific au Atlantic kabla hazijafika Uchina.

Haya tuje kwenye suala la idadi ya Military bases ambazo Merikani anamiliki mashariki ya mbali, binafsi naona hiyo si hoja ya kuzitia wasi wasi Uchina au Urusi kambi hizo zote zinaweza kushambuliwa na kuchakazwa vibaya kwa makombora hatari ya Kichina na Urusi hata Korea ya Kasikazini uwezo huo wanao sana,na kusema kweli ukichunguza kwa umakini military bases hizo za kimerikani wala hazina military assets/materiel nyingi kivile na idadi ya wanajeshi wanao ishi kwenye makambi hayo niya kawaida kabisa, hivyo maadui wake ni rahisi kuzi-contain bases hizo in no time.

Ebu sasa tuangalie mfano mmoja kuhusu umakini pamoja na Ulinzi in general wa Military bases za Wamerikani around the World: kama nakumbuka vizuri miaka miwili/mitatu iliyo pita kambi mbili za jeshi la Merikani zilishambuliwa na roketi za Wairan, zikaharibu majengo kadhaa ya kambi na kutifua runways za ndege - wanajeshi kadhaa wa Merikani walipata madhara licha ya kujichimbia/jificha kwenye mahandaki yaliyo imarishwa kwa zege, walipo tonywa mapema kwamba Iran hiko mbioni kushambulia military bases mbili za jeshi la Merikani, hilo alikusaidia kitu ndio maana wanajeshi wengi ilibidi wakimbizwe Kuwait, Ujerumani na Merikani kupewa matibabu,kutokana na kupata madhara ya ubongo kutikiswa na shockwave ya mlipuko, binafsi huwa najiuliza: hivi kama Iran ingerusha roketi zilizo sheheni thermobaric payloads si wanajeshi wote wangekufa kutokana kukosa hewa na mapafu kuwa punctured, kwa bahati nzuri kutokana na UTU Iran hakufanya ukatiri wa kurusha roketi zenye madhara mkubwa kwa binadamu wenzake, badala yake Wairan walirusha roketi zilizo sheheni conventional high explosives tu na sio fuel air bombs/termobaric bombs

Tukirudi kuzungumzia uwezo wa Wachina ku-track movement za meli za Vita na submarine za USA in real time kwa kutumia satellite na sonars, wala hilo halishangazi hata kidogo maana siku hizi nyaja ya sayansi na teknolojia ime-grow sana na haihodhiwi na Taifa moja tu, hilo likumbukeni sana - ukweli ni kwamba linapo kuja suala la silaha - Uchina na Urusi zimekwisha ipiku USA kwenye silaha za kisasa kabisa, mfano: Hypersonic missiles and glide Vehicles, Submarine Drones, Supercavitation torpedoes za kuzamisha meli na submarine at high speed huku ikiwa imezama ndani ya Bahari.
Urusi alionekana bora ila cha ajabu sana akakimbizwa Kyiv
 
Na wewe unaichukulia poa sana US
Huyo USA atapigana na wangapi sasa,ukimbuke kikinuka kati ya USA na CHINA- obviously USA ata loose tu maana kakaliwa kooni na Russia,Irani & north Korea.Mbaya zaidi washirika wake UE sana hali mbaya za kiuchumi.
Huyo Japani unayemtegema lazima atamgeuka tu maana wakikumbuka Wananchi wake wamepata vilema sababu ya USA
 
Kwamba China ina biggest navy in the world uwongo uliotukuka,mpe ban huyu
Naingilia ugomvi
Screenshot_20220730-102715.png
 
Mtoa mada hebu jiulize kwa nini huu mgogoro wa China na Taiwani imeibuka wakati hui,USA anatafutwa wanamtegeshea ajae watu wamu delete kama superpower.
 
Huyo USA atapigana na wangapi sasa,ukimbuke kikinuka kati ya USA na CHINA- obviously USA ata loose tu maana kakaliwa kooni na Russia,Irani & north Korea.Mbaya zaidi washirika wake UE sana hali mbaya za kiuchumi.
Huyo Japani unayemtegema lazima atamgeuka tu maana wakikumbuka Wananchi wake wamepata vilema sababu ya USA

Japan hawezi kuingia vitan alipata somo kubwa sana.
 
Km 175 mbona anapigwa kutokea china moja kwa moja haina haja ya kusogeza meli
Mbona Russia km hizohizo hakupiga toka mbali ,vita tofaut na kupiga mbali kuna kuingia ground,maana ujue kuna ant-missile pale,na antiaircraft missiles ,hivyo mbinu hiyo siyo reliable sana,
 
Back
Top Bottom