China itapata wakati mgumu sana kwa Taiwan kuliko Russia kwa Ukraine

China itapata wakati mgumu sana kwa Taiwan kuliko Russia kwa Ukraine

China kwanza wamechelewa sana kuivamia Taiwan ,wamezembea hadi US kajenga base yake pale,US ana marine combat's zaid ya 20,000 ,ndege za kivita zaid ya 200 ,manowari ,pia ana base nyingine kisiwa cha japani ambacho ni karibu sana na Taiwan ,yani kiufupi Taiwani wamejiweka sawa.

Changamoto nyingine ni kwamba kisiwa hicho kipo umbali wa km 175 kutoka China, hivyo China akitaka kukivamia itabidi awe na meli kubwa zenye uwezo wa kubeba vifaa na zana za vita ,na hiz meli zitakua zinatembea taratibu hii itakua rahisi kushambuliwa na morden ant-ship messile ,pia Taiwan wameshatega mabomu ya kwenye maji kuzunguka kisiwa kizima ,mabomu haya yaliyotengenezewa UK yana uwezo wa kuharibu hadi submarine za kisasa.

Changamoto nyingine kuna kakisiwa kadogo ka Taiwan ambacho kiko umbali wa km 70 toka China haka kakisiwa kamejazwa wanajeshi na zana za kivita na ulinzi mkali hivyo kabla China hajafika Taiwan kwenyewe itamgharimu sana hapa.

Changamoto nyingine ni geography ya hichi kisiwa cha Taiwan aisee mji na mji kumetengwa na misitu mikubwa na mabonde mengi hii nayo. changamoto.

Changamoto nyingine ni jinsi ya kufanya uvamizi wa kushtukiza,unjua kwenye vita ukitaka ushindi wa asubuhi kamata anga la mpinzani aisee kwa Taiwan siyo rahisi maana anga lake linaendeshwa kisasa ,sawa na anga la France au German ,siyo choka mbaya Ukraine wasio na hata rada za maana

Lingine ni kuwa hichi kisiwa sio choka mbaya kama Ukraine wao wamenunua ndege za kisasa,technology zilizoenda shule ,ni wataalamu wa udukuz,wakisaidiwa na japani na US.

Changamoto ya mwisho ni kwamba kisiwa hichi kimeingia makubaliano na US ya kulindana hivyo hapa US anaingia direct, siyo kule kwa zelesky anatumiwa kifaa kimojakimoja tena kwa tabu.

Sitegemei kama China wataivamia Taiwan ,itaishia kupiga mikwara tuu.

Mama anatinga huko next week ngoja tuone ,yajayo yanafurahisha
Naamini china ashindwi kitu akitaka anaisambalatisha Taiwan na washiliki wake wote
 
Naona umesahau Korean War mwaka 1950. Wakati wa Vita vya Korea,Korea Kaskazini Chini ya Mkomunist Kim ILL Sung wakiungwa mkono na China na Usoviet(Russia) waliivamia Korea Kusini ambayo ilikataa kufuata Mifumo ya Kikomunist badala Yake ikafuata Mifumo ya Kibepari. Matokeo ya Vita Ni Vifo vya Wanajeshi 450,000 wa China,400 wa Usoviet ,4,500 wa Marekani,320,000 wa Korea Kusini na 730,000 wa Korea Kaskazini.

Licha ya Korea Kusini kuwa Mlangoni mwa China na Maelfu ya Kilometer Kutoka Marekani lakini China alishindwa kuikalia Korea Kusini mpaka Sasa. Marekani ikiamua kwenda Vitani China haiwezi kufua dafu. Shida Ni Wanasiasa wa Marekani kuliingilia Jeshi la Marekani ili kujitafutia Kura. Mfano Ni Biden kuamua kuondoa Jeshi la Marekani Chini Afghanistan na Taliban kuchukua Madaraka,Kila mtu anasema Eti Taliban waliifurusha Marekani Kitu ambacho sio sahihi kabisa.
Mwaka 1950 cyo mwaka 2022
US anazidi kupoteana hatakama mnaumia ila hakuna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo USA atapigana na wangapi sasa,ukimbuke kikinuka kati ya USA na CHINA- obviously USA ata loose tu maana kakaliwa kooni na Russia,Irani & north Korea.Mbaya zaidi washirika wake UE sana hali mbaya za kiuchumi.
Huyo Japani unayemtegema lazima atamgeuka tu maana wakikumbuka Wananchi wake wamepata vilema sababu ya USA
US can fight many wars on different fronts
 
Naona umesahau Korean War mwaka 1950. Wakati wa Vita vya Korea,Korea Kaskazini Chini ya Mkomunist Kim ILL Sung wakiungwa mkono na China na Usoviet(Russia) waliivamia Korea Kusini ambayo ilikataa kufuata Mifumo ya Kikomunist badala Yake ikafuata Mifumo ya Kibepari. Matokeo ya Vita Ni Vifo vya Wanajeshi 450,000 wa China,400 wa Usoviet ,4,500 wa Marekani,320,000 wa Korea Kusini na 730,000 wa Korea Kaskazini.

Licha ya Korea Kusini kuwa Mlangoni mwa China na Maelfu ya Kilometer Kutoka Marekani lakini China alishindwa kuikalia Korea Kusini mpaka Sasa. Marekani ikiamua kwenda Vitani China haiwezi kufua dafu. Shida Ni Wanasiasa wa Marekani kuliingilia Jeshi la Marekani ili kujitafutia Kura. Mfano Ni Biden kuamua kuondoa Jeshi la Marekani Chini Afghanistan na Taliban kuchukua Madaraka,Kila mtu anasema Eti Taliban waliifurusha Marekani Kitu ambacho sio sahihi kabisa.
History ya vita ya Korea imekupita kushoto
 
Wako wapi wale pro-america?

It's official, Marekani imeiogopa China.

Nancy Pelosi haendi Taiwan. Cheki tweet yake. Atapenda Singapore, Malaysia, South Korea na Japan tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Vurugu ilionyesha China siku ngapi hizi si za kitoto.

Sasa sijui wana waakikishia vipi usalama wakati vitisho vya China vimewafanya wabadili njia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20220731-094104_Twitter.jpg
 
Wako wapi wale pro-america?

It's official, Marekani imeiogopa China.

Nancy Pelosi haendi Taiwan. Cheki tweet yake. Atapenda Singapore, Malaysia, South Korea na Japan tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Vurugu ilionyesha China siku ngapi hizi si za kitoto.

Sasa sijui wana waakikishia vipi usalama wakati vitisho vya China vimewafanya wabadili njia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2309663
Kwani imekuaje mkuu. Maana siku ya ijumaa china walipeleka air defense zakutosha na vifaru vingi sana eneo la fujian linalo karibiana na Taiwan na reporter wa GLOBAL TIMES ya China bwana Hu Xijin akasema PLA wataitungua ndege ya spika wa marekani endapo tu itaingia kwenye anga la China [ Taiwan ] kwa hiyo unataka kusema safari imepigwa u-turn kutokana na tambo hizo za PLA😀
 
Wako wapi wale pro-america?

It's official, Marekani imeiogopa China.

Nancy Pelosi haendi Taiwan. Cheki tweet yake. Atapenda Singapore, Malaysia, South Korea na Japan tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Vurugu ilionyesha China siku ngapi hizi si za kitoto.

Sasa sijui wana waakikishia vipi usalama wakati vitisho vya China vimewafanya wabadili njia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2309663
Vita ya Urusi haijakaa vyema, China walikuwa washasema liwalo na liwe... Ila ngoja tuone, huwa kuna emergency trips
 
Kwani imekuaje mkuu. Maana siku ya ijumaa china walipeleka air defense zakutosha na vifaru vingi sana eneo la fujian linalo karibiana na Taiwan na reporter wa GLOBAL TIMES ya China bwana Hu Xijin akasema PLA wataitungua ndege ya spika wa marekani endapo tu itaingia kwenye anga la China [ Taiwan ] kwa hiyo unataka kusema safari imepigwa u-turn kutokana na tambo hizo za PLA[emoji3]
Jambo la kwanza, China walifunga Air space ya Taiwan kwa kisingizio cha mazoezi ya kivita kutumia silaha za moto.

Hivyo ina maanisha, ndege yoyote itakayo pita kwenye anga ya Taiwan, ina weza tunguliwa na kwa kuwa walisha tangaza na kutoa tahadhari huwezi kuwa laumu.

Then wakaanza mazoezi yao ya kurusha makombora mfululizo mpaka hivi sasa kuelekea baharini kama mazoezi.

Yaani ilikuwa ni shughuli. Alafu repoti zinaonyesha wachina wengi wanataka vita na Marekani. Wanaona Marekani imewakosea heshima muda mrefu sana na mara nyingi wanaleta dharau kwa wachina.
 
Jambo la kwanza, China walifunga Air space ya Taiwan kwa kisingizio cha mazoezi ya kivita kutumia silaha za moto.

Hivyo ina maanisha, ndege yoyote itakayo pita kwenye anga ya Taiwan, ina weza tunguliwa na kwa kuwa walisha tangaza na kutoa tahadhari hawezi kuwa laumu.

Then wakaanza mazoezi yako ya kurusha makombora mfululizo mpaka hivi sasa kuelekea baharini kama mazoezi.

Yaani ilikuwa ni shughuli. Alafu repoti zinaonyesha wachina wengi wanataka vita na Marekani. Wanaona Marekani imewakosea heshima muda mrefu sana na mara nyingi wanaleta dharau kwa wachina.
Ni kweli hii ishu ya Taiwan na China ninataka kuona wale wanao issuport Ukraine dhidi ya Russia waisupport China maana malalamiko yao siku zote wanasema wao Wana pinga maeneo ndani ya Ukraine kujitenga na kujitangazia Uhuru je hapa watawasupport China kwenye kulinda eneo lao la Taiwan lisijitangazie Uhuru ba kuwa na mamlaka binafsi ? Ninataka kuona unafki wao hapa. Marekani mda mwingine huwa ni mpumbavu na mjinga Sana anapoona uchumi wake unakimbizwa na taifa lengine wivu na chiku vinamjaa kinachobaki ni yeye kuchochea vita baina yao au yeye mwenyewe na washirika wake kuishambulia hiyo nchi kwa vita Ila kwa china Moto utawaka
 
Juzi kati marekani ameanza kulalamika kuwa jeshi la china ni hatari kwa usalama wa marekani baada ya mchina kuwakorogea mawasiliano baina yao hapo taiwan
 
Ni kweli hii ishu ya Taiwan na China ninataka kuona wale wanao issuport Ukraine dhidi ya Russia waisupport China maana malalamiko yao siku zote wanasema wao Wana pinga maeneo ndani ya Ukraine kujitenga na kujitangazia Uhuru je hapa watawasupport China kwenye kulinda eneo lao la Taiwan lisijitangazie Uhuru ba kuwa na mamlaka binafsi ? Ninataka kuona unafki wao hapa. Marekani mda mwingine huwa ni mpumbavu na mjinga Sana anapoona uchumi wake unakimbizwa na taifa lengine wivu na chiku vinamjaa kinachobaki ni yeye kuchochea vita baina yao au yeye mwenyewe na washirika wake kuishambulia hiyo nchi kwa vita Ila kwa china Moto utawaka
Putin alisema wiki iliyo pita. Marekani hawana mbinu wala mikakati ya kujenga uchumi.

Utajiri wao unatokana na kuiba, kupora na kufyonza rasilimali za nchi nyingine.

Nakubaliana na hili kabisa.
 
Putin alisema wiki iliyo pita. Marekani hawana mbinu wala mikakati ya kujenga uchumi.

Utajiri wao unatokana na kuiba, kupora na kufyonza rasilimali za nchi nyingine.

Nakubaliana na hili kabisa.
Nadhani mataifa ya mataifa ya Asia yapo vizuri kwenye kujenga uchumi na teknolojia bila kusababisha Vita kwa mataifa mengine.
 
Back
Top Bottom