Mfumo ni ule ule tu kama CCM. Hakunaga haki kwenye vita vya maslahi ya kiuchumi.Kumbe free market iliyokuwa championed na US zilikuwa sanaa tu kwa kuwa yeye ndo alikuwa mzalishaji mkubwa ili a control soko la bidhaa na huduma kwa maslahi yake! Leo macho madogo kapindua meza US anapigania protectionism😀😀. Kwa kweli kama kuna mtu bado anawaamini wamarekani na sera zao basi anastahili kupimwa akili. Mzungu kawa exposed time hii
Angalia Mr.Moscowvitsch alichowafanyia Manazi mamboleo na tuvikwazo vyao uchwara🤪Ni kweli sanctions zinakomaza akili kwa wale wanao jitambua ila kwa wengine hugeuka maumivu yenye laana kubwa
Wameshikwa na hofu sana. Cha ajabu hata uzalishaji wa EVs kwao bado unasuasuaDuuh! Hatari wenda marekani wana hofu kubwa sana kuhusu kupinduliwa na wachina acha tuone namna sokombingo zitakavyoenda
Wewe lofa, jiheshimu.Hv umesoma kilichoandikwa au umekimbilia tu ku comments hili jukwaa sasa hv naona mpk wenye matatizo ya akili wanajiunga
Ni sisi tu waafrika tusiojitambua tunaoona fahari ku trade maslahi mapana ya nchi zetu kwa maslahi binafsi ya kifamilia.Tusubiri tuone ila wazungu kwenye maslahi yao wapo serious sana in short hawana utani hata kidogo
china aangalie tu nchi zingine za kuuza, kama ulaya, africa, uarabuni, south america na asia.Mkuu usiogope kwenye uchumi ukimpiga mtu ngumi ya jicho yeye atakupiga ya sikio."ukiuliza umeonaje naye anakuambia umesikije".
China anao uwezo wa kulipiza kwa kuwekea kodi kwa ukubwa huo huo baadhi ya bdhaa zitokazo marekani.
Kikubwa ni kwamba mareķani kazidiwa kwenye balance of trade na payment hivyo analazimisha kupunuza imports.
Hizi pia kuna njia mbili ya kukabiliana nazo punguza bei ili kupunguza makali ya kodi zilizowekwa. Pili serikali inatoa subsidy kwa expot companies
Mkuu kuna sehemu Babu amesema kuwa Marekani anataka kuja kuongoza kwenye uzalishaji wa hizo bidhaa?Huyo babu anasemaje? Eti Marekani ije kuongoza kwenye hizo sekta. Anaota ndoto za mchana
Kwa gap hili ni lini Marekani atampiga gap China? kama ameongea kisiasa sawa
●Steel:
China 54% global market share, vs US 4.3%
●Aluminum:
China 55% share, vs US 1.5%
●EVs:
China 60% share, vs US 8%
●Solar panels:
China 78% share, vs US 2%
Kasome vizuri tweet yakeMkuu kuna sehemu Babu amesema kuwa Marekani anataka kuja kuongoza kwenye uzalishaji wa hizo bidhaa?
Dah, hebu tupumzishe kwanza mkuu.Huku Tanganyika , viongozi wanapambana kuhakikisha hakuna kiongozi anayepewa sifa nyingi kuzidi Samia Hassan.
Sijui kwanini hili bara lina majitu ya hovyo hovyo duniani with zero focus.
Tsinghua Univ., moja ya chuo bora sana duniani kwenye sci-tech na engineeringHUAWEI na Tsinghua University nao they are working on EUV machines
Wana sera za kulinda mazingira ila wakati huo huo wanaongeza tarrif mara dufu kwa magari yenye zero emission na solar panels. Hawa jamaa kuwaelewa hadi kichwa kiwe kwapani.Wameshikwa na hofu sana. Cha ajabu hata uzalishaji wa EVs kwao bado unasuasua
Inashangaza sana mkuuWana sera za kulinda mazingira ila wakati huo huo wanaongeza tarrif mara dufu kwa magari yenye zero emission na solar panels. Hawa jamaa kuwaelewa hadi kichwa kiwe kwapani.
Inawezekana wewe ukikabidhiwa nchi hali ikawa mbaya zaidi ya hii.WWaafrica hawaendi Mpaka Fimbo na Viboko Na Viongozi Wao ndo Mambumbumbu Kabisa Mtu akishapata Hela anawaza kuongeza Mke Tuu
Uzuri Marekani kwenye hili yuko wazi sio unafikiMchina ana kazi nzito haswa dhidi ya marekani.
Hapa ni Biden amepitisha furushi hili.
View attachment 2990276
I just imposed a series of tariffs on goods made in China:
25% on steel and aluminum,
50% on semiconductors,
100% on EVs,
And 50% on solar panels.
China is determined to dominate these industries.
I'm determined to ensure America leads the world in them.
Trump naye amesema akipita atapiga ban kabisa EVs za China zinazo tengenezewa China na Mexico zisikanyange U.S
Ila China akitoboa hapa litakuwa pigo kubwa kwa U.S
Sio kweliChina ni taifa lenye influence kibiashara na kidiplomasia.
USA alishaachwa mbali sana.
Pia China ina purchasing power kubwa.
Pia Afrika ni miongoni mwa masoko makubwa na muhimu duniani maana unao uwezo wa kupata wateja aina zote.
Hukukaa ufuatilie mkuu,China is giant in every aspect surpassing USA.
Kaa ufuatilie influence ya China Africa,Middle and South east Asia,Carrebean and South America.Sio kweli
i Uone Hali Itakuwaje kwani Mifano Si Ipo Kwa Viongozi Vilaza na Viongozi majembe Mimi Ntafata Ntaongoza Kwa Mifano Ya Viongozi Majembe Na Najua Sio Wote Watakao nipenda Ila Wengi Ntawagusa Maisha Yao na kufurahia uongozi Wangu (Lete JingineInawezekana wewe ukikabidhiwa nchi hali ikawa mbaya zaidi ya hii.
Ukumbuke viongozi wetu ni zao la jamii yetu, nawe ni mwana jamii kwahiyo huna tofauti kubwa Sana ya kiakili na hao viongozi.
Vile vile tambua ya kwamba mwelevu hawezi ongozwa na mjinga,kama tumekubali basi sisi ni wajinga zaidi ya hao wanaotuongoza.
Hahahaha Mzee gharama ya maisha ya tajiri mmoja ni sawa na gharama za maisha ya watu laki moja. Nilijifunza miaka ile American inapitia kwenye msukosuko wa uchumi kipind cha Bush kuja obama. Mchina ilibid akawape hela za kununulia mizigo bila riba kule marekan ili waendelee kununua mizigo kwake ili viwanda vyake viendelee kufanya kaz na kulinda ajira. Kule viwandan Fujian mmarekan mmoja order yake ni sawa na order ya bidhaa hiyo hiyo kwa Afrika nzima. Ogopa nguvu ya hela na Market Mzee.Market size ya marekani ni ndogo sana 300m population, 1 8bn pple china 2bn pple Africa 1bn pple, kwahiyo hilo ni dogo sanaa aliwezi ku affect uchumi wake.
Africa itoe hapo purchase power yake ni ndogo sana ni kama hamna kabisaMarket size ya marekani ni ndogo sana 300m population, 1 8bn pple china 2bn pple Africa 1bn pple, kwahiyo hilo ni dogo sanaa aliwezi ku affect uchumi wake.