China kuisaidia Tanzania ujenzi wa SGR na mradi wa umeme Mto Rufiji

Kabisa ! Yaani ikibidi ni mwendo wa hela za bandia kwa cheni feki ! Hilo JPM yuko makini sana !!!! Wachina wajipange, hakuna cha kuvishana mikenge hapa !!
Njaa haina baunsa wewe unataka msaada halafu uje na masharti? Masharti ni ya mchina maana hela za ndani zimeisha.
 
pesa zimebana😂 “ tutatumia pesa ya ndani”. Magufuli atauza bandari yetu kwa miaka 100😂
 
Wachina twende nao kwa umakini mkubwa sidhani kama wana dini hawa!

Mkuu nimekupa [emoji106]
Twende nao kwa umakini sana ila kiukweli hatuwafikii jwa kufikiri....
Wachina wanataka Bandari ya Bagamoyo kwa udi na Uvumba?
Wanataka wapi watapata watapiga rasilimali.....
Hata hiyo Miradi wanaweza kukupa Mikopo au mikataba ili wao waendeshe halafu baada ya muda fulani wakisharudisha chao ndo wakupe Miradi yao....
Wachina ni wajanja sana tena kuliko hata Wazungu aisee!
Mzungu yuko Straight forward mchina janja janja nyingi anaweza kukuingiza kingi!
Ukashangaa anaondoka na Rasilimali au unaingia mkataba wa muda mrefu na faida kwake na sio 50/50!
 
The Chinese now know we’re desperate. They will surely make us play on their terms. This is getting interesting!
 

Yaani hapo wana port ya Mombasa. Unganisha na SGR ya Bongo. Wanakua wamemaliza kazi.
 
The Chinese now know we’re desperate. They will surely make us play on their terms. This is getting interesting!
Mtu anakuwaje desperate wakati anataka kukopa? Vigezo vya ukopeshaji viko wazi.
 
THITHI NI MATAJIRIII , DONA KANTREEE!! TUNAJENGA KWA FEZWA ZWETU WENYEWE!!
 
Wachina twende nao kwa umakini mkubwa sidhani kama wana dini hawa!

Wewe unaongelea ya zambia mbali huko?uliza gesi ya mtwara inaenda wapi!!

Mkuu fafanua acha kutulisha Matango pori wakati kila siku kwenye TV TBC tunaona umeme unaozalishwa na Gesi ya Mtwara kutoka Mtwara na bomba hadi Dar es salaam Kinyerezi!
Au Kuna Bomba Linaenda China?
Au Inasindikwa na Meli kwenda china?
Na tunaambiwa Umeme zaidi ya 50%ni wa Gesi
Na tunaona wewe hebu tupe data hapa si hadithi za Alinacha @Cap Tamar
 
Wachina twende nao kwa umakini mkubwa sidhani kama wana dini hawa!

Mkuu ni Kweli kumbuka wanatamani Sana Bandari ya bagamoyo hawa watu!
Ni janja janja mnooo... Mchina ni mjanja kuliko hata Mzungu aisee... Anaweza kukuingiza mkataba ukajikuta anaendesha hiyo miradi yeye mpaka apate faida ndo akupe na mateso kwa watu wako juu unaweza laaniwa ujue. Huyu anaitwa Mchina...[emoji3][emoji3]
 
Hivi dunia hii ya leo, nchi ngapi zimesaidiwa na China? Jirani yake Korea Kaskazini kashindwa kumsaidia, Venezuela ilisaini mikataba mingi na China lakini mpaka leo hali ngumu kule, Cuba, Sudan, Zimbabwe, na nchi zingine za Afrika hali ni ile ile. Linganisha na nchi zilizosaidiwa kiuchumi na Marekani kama Ujerumani, Austria, UK, Japan, Korea Kusini, Phillipines, na nchi zingine za Ulaya magharibi ambazo ziko mbali kiuchumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…