Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,564
Njaa haina baunsa wewe unataka msaada halafu uje na masharti? Masharti ni ya mchina maana hela za ndani zimeisha.Kabisa ! Yaani ikibidi ni mwendo wa hela za bandia kwa cheni feki ! Hilo JPM yuko makini sana !!!! Wachina wajipange, hakuna cha kuvishana mikenge hapa !!
Ha ha ha acha uchochezi walikuwa wanaambiwa wajinga na waliwapata kweliKwa hiyo hatujengi kwa pesa zetu za ndani tena?
pesa zimebana😂 “ tutatumia pesa ya ndani”. Magufuli atauza bandari yetu kwa miaka 100😂China imesema itaangalia namna ya kushirikiana na Tanzania katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (standard gauge railway) na bwawa la kuzalisha megawati 2,115 za umeme katika mto Rufiji (Bwawa la Mwl. Nyerere).
Hayo yamesemwa na Rais wa China, Xi Jinping alipompigia simu Rais wa Tanzania, Dkt. Magufuli ambapo viongozi hao wamezungumzia kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano hususani katika masuala ya uchumi.
Katika mazungumzo hayo yaliyodumu kwa muda wa saa moja, Rais Xi Jinping amempongeza Rais Magufuli kwa kuchaguliwa tena na kwamba anaiona Tanzania kuwa nchi itakayoongoza kwa ukuaji wa uchumi barani Afrika.
Kwa upande wake Rais Magufuli amemhakikishia Rais Xi Jinping kuwa Tanzania itaendeleza na kukuza zaidi uhusiano wake na China uliodumu kwa takribani miaka 55 baada ya kuasisiwa na Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere na Hayati Mwenyekiti Mao Zedong, na kwamba Tanzania itaendelea kuiunga mkono China katika masuala mbalimbali ya kimataifa.
Rais Magufuli ameiomba China kushirikiana na Tanzania katika uwekezaji wa miradi mikubwa kwa kutoa mikopo nafuu na ameitaja baadhi ya miradi hiyo kuwa ni wa kuzalisha megawati 358 za umeme katika mto Ruhudji, Megawati 222 za umeme katika mto Rumakali na ujenzi wa barabara visiwani Zanzibar.
Halikadhalika, Dkt. Magufuli ameiomba China kufungua zaidi masoko ya bidhaa mbalimbali kutoka Tanzania hususani mazao mbalimbali ya kilimo.
Rais Xi Jinping ameahidi kufanyia kazi maombi yaliyotolewa na Rais Magufuli ikiwemo ujenzi wa miradi ya kuzalisha umeme ya Ruhudji na Rumakali, ujenzi wa reli, Bwawa la Nyerere na ununuzi wa mazao ya Tanzania.
Wachina twende nao kwa umakini mkubwa sidhani kama wana dini hawa!
WACHINA!!! Wawekezaji? Waulize wazambia - airport wamechukua wanakusanya mapato wao yaani ni mali yao hadi walipe senti ya mwisho!! Waulize Kenya! Mombasa-
Nairobi standard gauge railway wamechukua wanakusanya mapato wao. Hadi wauza chai ni wachina!! Mchina hana dini wala demokrasia! Tegemeeni ukoloni mkorofi na wa kishenzi kuliko wazungu!
Wapiga ramli wa JF kama kawaida.Yaani hapo wana port ya Mombasa. Unganisha na SGR ya Bongo. Wanakua wamemaliza kazi.
Mtu anakuwaje desperate wakati anataka kukopa? Vigezo vya ukopeshaji viko wazi.The Chinese now know we’re desperate. They will surely make us play on their terms. This is getting interesting!
THITHI NI MATAJIRIII , DONA KANTREEE!! TUNAJENGA KWA FEZWA ZWETU WENYEWE!!China imesema itaangalia namna ya kushirikiana na Tanzania katika utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (standard gauge railway) na bwawa la kuzalisha megawati 2,115 za umeme katika mto Rufiji (Bwawa la Mwl. Nyerere).
Hayo yamesemwa na Rais wa China, Xi Jinping alipompigia simu Rais wa Tanzania, Dkt. Magufuli ambapo viongozi hao wamezungumzia kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano hususani katika masuala ya uchumi.
Katika mazungumzo hayo yaliyodumu kwa muda wa saa moja, Rais Xi Jinping amempongeza Rais Magufuli kwa kuchaguliwa tena na kwamba anaiona Tanzania kuwa nchi itakayoongoza kwa ukuaji wa uchumi barani Afrika.
Kwa upande wake Rais Magufuli amemhakikishia Rais Xi Jinping kuwa Tanzania itaendeleza na kukuza zaidi uhusiano wake na China uliodumu kwa takribani miaka 55 baada ya kuasisiwa na Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere na Hayati Mwenyekiti Mao Zedong, na kwamba Tanzania itaendelea kuiunga mkono China katika masuala mbalimbali ya kimataifa.
Rais Magufuli ameiomba China kushirikiana na Tanzania katika uwekezaji wa miradi mikubwa kwa kutoa mikopo nafuu na ameitaja baadhi ya miradi hiyo kuwa ni wa kuzalisha megawati 358 za umeme katika mto Ruhudji, Megawati 222 za umeme katika mto Rumakali na ujenzi wa barabara visiwani Zanzibar.
Halikadhalika, Dkt. Magufuli ameiomba China kufungua zaidi masoko ya bidhaa mbalimbali kutoka Tanzania hususani mazao mbalimbali ya kilimo.
Rais Xi Jinping ameahidi kufanyia kazi maombi yaliyotolewa na Rais Magufuli ikiwemo ujenzi wa miradi ya kuzalisha umeme ya Ruhudji na Rumakali, ujenzi wa reli, Bwawa la Nyerere na ununuzi wa mazao ya Tanzania.
Kukopa sio dhambi wala umasikini. Wanaokopeshwa ni matajiri peke yake.THITHI NI MATAJIRIII , DONA KANTREEE!! TUNAJENGA KWA FEZWA ZWETU WENYEWE!!
Wachina twende nao kwa umakini mkubwa sidhani kama wana dini hawa!
Wewe unaongelea ya zambia mbali huko?uliza gesi ya mtwara inaenda wapi!!
Wachina twende nao kwa umakini mkubwa sidhani kama wana dini hawa!
Issue ni foreign currency hatuna.Kwa hiyo hatujengi kwa pesa zetu za ndani tena?
Hilo swali CCM wakikujibu njoo uchukue milioniKwa hiyo hatujengi kwa pesa zetu za ndani tena?
Umaskini jeuri mwisho chumbeKwa hiyo hatujengi kwa pesa zetu za ndani tena?
Za ndani kutumika kununua wapinzani Ili waunge juhudi pendwaZile zilikuwa ni siasa za kuhadaa wenye akili duni.