Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na chuki na Marekani, hata km Russia atatengeneza gari utasema linawatesa Wamerekani.aache kujisaidia mwenyewe aisaidie dunia ili iweje
us atoe mambo yake ili UCHINA ianguke na kila mmoja ajisaidie mwenyewe
mbna UCHINA inawatesa[emoji38][emoji38]
Tatzo dini imewakaa mbele kuliko uhalisia cha ajabu china ina dini yake urusi ni wakristo wa orthodox na uko urus wamejaa wayahudi.Ukiwa na chuki na Marekani, hata km Russia atatengeneza gari utasema linawatesa Wamerekani.
China alipokuwa anawatesa waislamu na kuwatenga mlikuja juu ila leo amekuwa mzuri. Na hayo yote ni kupunguza machungu.
Naona sasa hivi meweka kambi kwa Iran, Russia na China ili kupunguza machungu.
Unajua kuwa nchi yako inapokea pesa za misaada kutoka Marekani? Unajua kuwa ARV zinatolewa kwa hisani ya Marekani?
Sishabikii nchi yoyote ila ni kiri tu hakuna taifa lenye akili duniani km Marekani.
Makao makuu ya mashirika makubwa makubwa yote duniani yapo Marekani. Kingine ambacho nchi zingine hazijui ni kwamba Marekani anatoa misaada sana.
Tatzo dini imewakaa mbele kuliko uhalisia cha ajabu china ina dini yake urusi ni wakristo wa orthodox na uko urus wamejaa wayahudi.
Hawajui marekan akijiweka kando mashrka yote dunian yanakufa hli nalo watabsha.
watu wa haki za bnadamu waongee nn wkt hao waislamu hawaamin ktk haki za bnadamu wanaamin tawala za namna iyo ndo znazotakiwa hata humu si unaona wanaoshanglia tawala za china ni waislam ksa marekan ni adui wa china wkt huohuo marekan kuna waislamu km wote na hawajawaifanyiwa hayo.Manyanyaso Wanayofanyiwa Waislamu China chanzo nini?
Naomba kufahamu Kwa mwenye uelewa wa hii serikali ya China kuwanyanyasa Waislamu na kuwaweka kwenye sehemu maalumu kama kambi nini chanzo au serikali ya China ina lengo gani kwa watu wanao amini dini? Na je Kwanini watu ambao wanajiita haki za kibinaadamu wapo kimya as if hakuna kitu...www.jamiiforums.com
Da! Wachina wana ngekewa sana. Pamoja na kuleta corona duniani, bado wanaombewa baraka.Mungu Ibariki China na Watu wake.
Ok Mkuu ngoja basi tuwaombee Marekani wanaosababisha vita na mauaji kila siku ktk Dunia.Da! Wachina wana ngekewa sana. Pamoja na kuleta corona duniani, bado wanaombewa baraka.
Ni uamuzi wako hujavunja sheria wala katiba.Ok Mkuu ngoja basi tuwaombee Marekani wanaosababisha vita na mauaji kila siku ktk Dunia.
Kabla ya kujibu post yoyote soma kwanza uelewe, bila hivyo unakuwa kama unakimbia uchi mchana kweupeSimu hizi za kujiwasha tochi ukiweka mfukoni? Hizi hizi ambazo hazina update? Km unatumia Lolipop ni hiyo hiyo hakuna update? Watu wapo android version 11 nawe upo 5.
Acha kumshirikisha Mungu kwenye vitu vya kijinga.
Aircraft carrier yenyewe anayotambia sasa hivi sio teknolojia yake, ilikuwa ya USSR. Urusi hali yao ya kiuchumi sio nzuri hivyo inabidi tu wamuuzie china silaha zake japo kwa shingo upande.China ndege zake zote za kvita injini anaweka za urusi tena za kzaman ye anaunda body tu na mengne. Urusi aliwai lalamika kwmb china ananunua siraha zake ksha anapga copy kwa majina mengne mbaya zaid kwa ubora duni. Lakn humu kuna waarabu kwa yombo na wachna wa gongo la mboto wanapga soga china ni htr
US alijitoa WHO lkn halijakufaTatzo dini imewakaa mbele kuliko uhalisia cha ajabu china ina dini yake urusi ni wakristo wa orthodox na uko urus wamejaa wayahudi.
Hawajui marekan akijiweka kando mashrka yote dunian yanakufa hli nalo watabsha.
unafkiri kufa ni sku moja eti? Huawei bdo ipo lakn ndo inaelekea ukngoni hzo cm.US alijitoa WHO lkn halijakufa
Kwa kuwa ulimuona mama yako anakimbia basi unafikiri wote huwa wanakimbia.Kabla ya kujibu post yoyote soma kwanza uelewe, bila hivyo unakuwa kama unakimbia uchi mchana kweupe
na kwa taarifa tu china hawatumii tecno wala infinix.Kwa kuwa ulimuona mama yako anakimbia basi unafikiri wote huwa wanakimbia.
Pole sana myonge maana uwezo wako wa kumiliki simu ni TECNO. Tecno ni takataka km takataka zingine. Ni bora ununue hata Infinix na siyo takataka ya TECNO
اللعنة عليكKwa kuwa ulimuona mama yako anakimbia basi unafikiri wote huwa wanakimbia.
Pole sana myonge maana uwezo wako wa kumiliki simu ni TECNO. Tecno ni takataka km takataka zingine. Ni bora ununue hata Infinix na siyo takataka ya TECNO
F*c*k Y*. Unapoandika uwe unaangalia ni nani unataka kumjibu.اللعنة عليك
heshima ni kitu cha bure,
CHUNGA LUGHA YAKO
Kwasababu uwezo wako unaishia hapo.Duh naangalia ghetto langu kushoto/kulia, naona kila kitu ni made in china