China(PRC) na Taiwan(ROC) bado wapo kwenye civil war

China(PRC) na Taiwan(ROC) bado wapo kwenye civil war

Hiyo miaka 5000 iliyopita kulikuwa na mipaka iliyotambuliwa kimataifa!? Kama kulikuwa hakuna, huo uhakika wa kuwa ardhi yao unatoka wapi!?
Jay Jay, hiyo approach ya Mjamaa wa Kisasa ndio inashindwa kutatua Middle East, Palestine na Israel,Wanashindwa kuliangalia tatizo leo wafanyeje waishi kwa amani, Kila taifa Lina Ancient history, Ancient history ya wamasai kuwa Ngo'mbe wao ndio walipewa na Mungu,hivyo wana hati miliki toka kwa mababu kuwa ng'ombe wote ni wao! Hiyo ndio Ancient history inayogombanisha Middle East, na China anataka kuitumia leo!
 
Mkuu ile ardhi ya mababu zao ileyopo kwenye ramani zao kabisa since ancient time china Ni taifa kongwe hapa Duniani sio rahisi wao kuruhusu ardhi ya mababu zao iondoke bila sababu za msingi . Kama unazungumzia sovereignty states hata Macau ilikuwa chini ya ureno na ureno alikuwa na uwezo wa kuipatia Uhuru Macau na kuwa nchi Ila china ilipigania macau mpaka ikarudi nyumbani hivyo hivyo kwa Hong Kong Napo ilikuwa kabisa inaweza kuwa nchi huru Ila china ilipinga Hilo mpaka ikarudi nyumbani kwa sababu ile Ni ardhi ya mabibi na mababu zao inayotambulika kabisa katika ramani zao hata za kale hivyo hivyo kwa Tibet nayo Taiwan ile Ni ardhi yao China inq kila sababu kutetea ardhi ya mababu zao isipotee iwe kwa amani au hata kwa Vita lazima watete ardhi yao . Hata ingekuwa sisi Tanzania tungefanya hivyo hivyo anavyofanya China [ PRC ] kuruhusu Taiwan kuwa huru na kuondoka na kupotea mikononi mwa Beijing ni kuwakosea heshima wafalme wote wa China waliofariki. Ile ni ardhi yao na wao pekee wachina ndio wenye mamlaka juu ya Taiwan na wala sio mtu mwingine.
Kuna kitu hujamuelewa cassavaleaves jamaa kuna hoja nzuri sana hapo ameitoa na katika maelezo yako hujaigusia.
 
Mkuu ile ardhi ya mababu zao ileyopo kwenye ramani zao kabisa since ancient time china Ni taifa kongwe hapa Duniani sio rahisi wao kuruhusu ardhi ya mababu zao iondoke bila sababu za msingi . Kama unazungumzia sovereignty states hata Macau ilikuwa chini ya ureno na ureno alikuwa na uwezo wa kuipatia Uhuru Macau na kuwa nchi Ila china ilipigania macau mpaka ikarudi nyumbani hivyo hivyo kwa Hong Kong Napo ilikuwa kabisa inaweza kuwa nchi huru Ila china ilipinga Hilo mpaka ikarudi nyumbani kwa sababu ile Ni ardhi ya mabibi na mababu zao inayotambulika kabisa katika ramani zao hata za kale hivyo hivyo kwa Tibet nayo Taiwan ile Ni ardhi yao China inq kila sababu kutetea ardhi ya mababu zao isipotee iwe kwa amani au hata kwa Vita lazima watete ardhi yao . Hata ingekuwa sisi Tanzania tungefanya hivyo hivyo anavyofanya China [ PRC ] kuruhusu Taiwan kuwa huru na kuondoka na kupotea mikononi mwa Beijing ni kuwakosea heshima wafalme wote wa China waliofariki. Ile ni ardhi yao na wao pekee wachina ndio wenye mamlaka juu ya Taiwan na wala sio mtu mwingine.
Mtazamo wa kiimla Sana huu. Hawa Taiwan wamekuwa Taifa kwa miongo zaidi ya 7 (miaka 70) hiyo. Hapo kuna vizazi vimepitia falsafa na Sera mbalimbali. Simple tu, wafanye referendum na wananchi wenyewe wa Taiwan waamue, Kama Wanataka kuwa sehemu ya China au Taiwan yao yenye mamlaka kamili na utambulisho kimataifa iendelee.
 
Mijadala kama hii ndiyo inayoitofautisha JF na platform zingine. Mjadala unatoa elimu na kutanua uelewa binafsi kuna kitu nimekiongeza kutoka kile nilichokuwa nacho kuhusiana na uhusiano wa hawa chinese taipei/ROC na China (PRC)
 
Mtazamo wa kiimla Sana huu. Hawa Taiwan wamekuwa Taifa kwa miongo zaidi ya 7 (miaka 70) hiyo. Hapo kuna vizazi vimepitia falsafa na Sera mbalimbali. Simple tu, wafanye referendum na wananchi wenyewe wa Taiwan waamue, Kama Wanataka kuwa sehemu ya China au Taiwan yao yenye mamlaka kamili na utambulisho kimataifa iendelee.
Veeeeeery Simple, simple kabisa yaani.
 
Mtazamo wa kiimla Sana huu. Hawa Taiwan wamekuwa Taifa kwa miongo zaidi ya 7 (miaka 70) hiyo. Hapo kuna vizazi vimepitia falsafa na Sera mbalimbali. Simple tu, wafanye referendum na wananchi wenyewe wa Taiwan waamue, Kama Wanataka kuwa sehemu ya China au Taiwan yao yenye mamlaka kamili na utambulisho kimataifa iendelee.
Jay Jay: China anataka kurudi nyuma sana kwenye swala hili, hoja zake hazina mashiko. Hizo sababu za Kihistoria hata Taiwan wanaweza kuzitumia, nao ni part ya Ancient History ya Kichina, nani anakipa Chama Cha Kikomunist hati miliki ya kumiliki Historia ya China!
Je Taiwan ikijitawala History ya Ancient China itapotea? Kwangu mimi hawa ni ndugu moja, waliamua kuchukua njia tofauti, bado wanabakia ni Wachina wenye jadi na Ancient history moja tu. Mafanikio ya China hata Taiwan kiundani anayafurahia, anguko lolote la China Taiwan hatafurahia, wana jamaa zao na Mainland China. Kwangu mimi haingii akilini.
Sikubaliani na mambo mengi ya Mchina, lakini nawavulia kofia pia, ndio wamefika hapo kwa rafu nyingi ambazo chama cha Kikomunist kimewachezea wananchi wake, na mbinu zake za halali na mbaya kupata teknolojia toka west, lakini hatimaye kafika juu, ila asipoangalia swala la Taiwan inabdidi alitafakari kwa umakini! Taiwan ina Technology kubwa, uchumi mzuri inabidi atumie trick nyingine, sio hii ya mabavu!.
 
Mkuu ile ardhi ya mababu zao ileyopo kwenye ramani zao kabisa since ancient time china Ni taifa kongwe hapa Duniani sio rahisi wao kuruhusu ardhi ya mababu zao iondoke bila sababu za msingi . Kama unazungumzia sovereignty states hata Macau ilikuwa chini ya ureno na ureno alikuwa na uwezo wa kuipatia Uhuru Macau na kuwa nchi Ila china ilipigania macau mpaka ikarudi nyumbani hivyo hivyo kwa Hong Kong Napo ilikuwa kabisa inaweza kuwa nchi huru Ila china ilipinga Hilo mpaka ikarudi nyumbani kwa sababu ile Ni ardhi ya mabibi na mababu zao inayotambulika kabisa katika ramani zao hata za kale hivyo hivyo kwa Tibet nayo Taiwan ile Ni ardhi yao China inq kila sababu kutetea ardhi ya mababu zao isipotee iwe kwa amani au hata kwa Vita lazima watete ardhi yao . Hata ingekuwa sisi Tanzania tungefanya hivyo hivyo anavyofanya China [ PRC ] kuruhusu Taiwan kuwa huru na kuondoka na kupotea mikononi mwa Beijing ni kuwakosea heshima wafalme wote wa China waliofariki. Ile ni ardhi yao na wao pekee wachina ndio wenye mamlaka juu ya Taiwan na wala sio mtu mwingine.
Mjamaa wa Kisasa: Umeniacha hoi! Hivi Taiwan ni foreigners, Taiwan inapotea inaenda kwa nani? Hizo Ancient History katika ulimwengu wa leo zina msaada gani? Marekani kwa kifupi ni kama haina history! Ni taifa la jana tu, Uhuru ilijitangazia 1776, lakini ikawa Super Power, kama ulijifunza historia, Marekani ilikuwa inaitwa nchi mpya! Sasa China hiyo historia ya mababu itawafikisha wapi! Na kama unaijua historia ya China, kipindi cha Culture Revolution walikua kama wanaifuta Ancient History yao, Kwa kifupi waje na sababu nyingine wakita kuvamia Taiwan. Umenifurahisha sana uliposema "Kuwakosesha heshima na mababu wote waliofariki" Kumbuka hao mababu na wafalme ndio waliofanya nchi kubwa kama China kunyanyasika na ka nchi kadogo kama Japan!
 
Mkuu ile ardhi ya mababu zao ileyopo kwenye ramani zao kabisa since ancient time china Ni taifa kongwe hapa Duniani sio rahisi wao kuruhusu ardhi ya mababu zao iondoke bila sababu za msingi . Kama unazungumzia sovereignty states hata Macau ilikuwa chini ya ureno na ureno alikuwa na uwezo wa kuipatia Uhuru Macau na kuwa nchi Ila china ilipigania macau mpaka ikarudi nyumbani hivyo hivyo kwa Hong Kong Napo ilikuwa kabisa inaweza kuwa nchi huru Ila china ilipinga Hilo mpaka ikarudi nyumbani kwa sababu ile Ni ardhi ya mabibi na mababu zao inayotambulika kabisa katika ramani zao hata za kale hivyo hivyo kwa Tibet nayo Taiwan ile Ni ardhi yao China inq kila sababu kutetea ardhi ya mababu zao isipotee iwe kwa amani au hata kwa Vita lazima watete ardhi yao . Hata ingekuwa sisi Tanzania tungefanya hivyo hivyo anavyofanya China [ PRC ] kuruhusu Taiwan kuwa huru na kuondoka na kupotea mikononi mwa Beijing ni kuwakosea heshima wafalme wote wa China waliofariki. Ile ni ardhi yao na wao pekee wachina ndio wenye mamlaka juu ya Taiwan na wala sio mtu mwingine.
"nani anakipa Chama Cha Kikomunist hati miliki ya kumiliki Historia ya China".

Ningelipenda kusoma jibu la ili swali. cassavaleaves akijibu nitag nami nilione jibu la ili swali lako ulilomuuliza jamaa
 
Shida ya Hawa mainland China Ni ule ukoloni wa chama kikuu Cha China na umungu mtu wake wa kulazimisha kila kitu. Kwanza hawaamini kwenye Uhuru wa kuabudu na tamaduni tofauti kwa raia wake.
Unavithibisho vya kusema kuwa China PRC Wana Mungu watu ? Na unavithibisho vya kueleweka vikionesha kuwa China PRC hakuna Uhuru wa kuabudu?🤔
 
Hiyo miaka 5000 iliyopita kulikuwa na mipaka iliyotambuliwa kimataifa!? Kama kulikuwa hakuna, huo uhakika wa kuwa ardhi yao unatoka wapi!?
Ndugu usichukulie China Kama maeneo ya Afrika yaliyogawanywa Mjini Berlin China hipo mda Sana na hapa duniani na ramani ya Ancient China ipo na ndio hii wanayotumia Sasa hivi kudai maeneo yao. China inahistoria ya miaka 5000 jiulize taifa lako Tanganyika Lina miaka mingapi la uwepo wake hapa duniani?🤔😀
 
Mjamaa wa Kisasa: Umeniacha hoi! Hivi Taiwan ni foreigners, Taiwan inapotea inaenda kwa nani? Hizo Ancient History katika ulimwengu wa leo zina msaada gani? Marekani kwa kifupi ni kama haina history! Ni taifa la jana tu, Uhuru ilijitangazia 1776, lakini ikawa Super Power, kama ulijifunza historia, Marekani ilikuwa inaitwa nchi mpya! Sasa China hiyo historia ya mababu itawafikisha wapi! Na kama unaijua historia ya China, kipindi cha Culture Revolution walikua kama wanaifuta Ancient History yao, Kwa kifupi waje na sababu nyingine wakita kuvamia Taiwan. Umenifurahisha sana uliposema "Kuwakosesha heshima na mababu wote waliofariki" Kumbuka hao mababu na wafalme ndio waliofanya nchi kubwa kama China kunyanyasika na ka nchi kadogo kama Japan!
Ndugu Kama hauthamini ulikotoka basi lazima hauatajua unakokwenda . Kwa hiyo kwa sababu China na ukubwa wake ilitawaliwa na wajapan hivyo haipaswi kudai maeneo yake ? 🤔 Hili litakuwa ni jambo la ajabu mkuu unazungumza. Ni lazima tujifunze na tujue tulikotoka , tulipo na tunakokwenda Historia ina muhimu Sana tena Sana kwa watu wanaojitambua.
 
Duh. Unakusudia kwamba hii Comment yako ndiyo jibu la swali alilokuuliza jamaaa?. Ikiwa ni ndiyo, then I'm out.
Kwa sababu yeye katoa madai hayo. Mimi nimemuuliza ni lini Chama cha kikomunisti cha China kimesema ndicho chenye hatimiliki ya historia ya China juu ya madai yake?🤔.
 
Mkuu China inahistoria ya miaka 5000 hapa duniani ile ni ardhi yao kwa hiyo lazima wahakikishe wanaitunza na wanailinda ndio maana Tibet ilirudi, Macau ilirudi, Hongkong ilirudi bado tu Taiwan irudi kwenye himaya ya mababu zao pale ambapo ipo forbidden City Beijing mamlaka ya China yote yanatokea Beijing ilipo Forbidden city makao makuu ya Han Dynasty.
Maeneo mengi ya China yalikuwa/yana wakazi wake wa asili. Huko Taiwan kuna Aborginals wa asili. Tibet ni ya Watibet, huko magharibi kuna wa Uighurs. Kilichofanyika ni imperialism ya wa-han. Kwenye hili huwezi tumia sababu za kihistoria. Zitawabana wenyewe.
 
Maeneo mengi ya China yalikuwa/yana wakazi wake wa asili. Huko Taiwan kuna Aborginals wa asili. Tibet ni ya Watibet, huko magharibi kuna wa Uighurs. Kilichofanyika ni imperialism ya wa-han. Kwenye hili huwezi tumia sababu za kihistoria. Zitawabana wenyewe.
Hao wote uliowataja mkuu ni wavamizi wa maeneo ya China wauighurs ni wavamizi wa kituruki, watibet waliowengi ni wavamizi kutoka mongolia
 
Back
Top Bottom