China sio super power ni Mandonga wa kimataifa. Bibi katua na hakuna kitu wanafanya. Hizi ni salaam kwa Putin na wengine fyokofyoko

Unapata faida gani mmoja wao akiwa supper power?
 
Oya mandonga kama mandonga kila kona[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kabla hujaingia vitani angalia urafiki wako,maslahi yako na uwezo wako. Russia na Ukrain kimuonekano wapo sawa. China angeingia western wangefanya propaganda ya urangi juu yao. Mfano wapigane Tanzania na Kenya halafu mmarekani awe upande wa Kenya. Unajua propaganda itakayo tu Mika ni ya rangi zaidi ya nguvu za kijeshi.
 
kwanza china hana sababu ya kusapoti unyakuzi wa ardhi ya ukraine unaofanywa na urusi maana hata china nae ni mhanga hasa ukizingatia ile siberia anayolinga nayo mrusi leo alinyakua kutoka china mwaka 1858 kupitia mkataba wa kilaghai na kibabe vilevile km anavyotaka kuforce peace treaty na ukraine kupitia kwa terms za ajabu, hata huku kujiimarisha kijeshi anakofanya mrusi kwa kutumia kisingizio cha marekani ni kwajili ya kujilinda zaidi against china ambayo still inahisi ilionewa sana kuchukuliwa ardhi yake na huenda ikawa na mpango wa kuirejesha km inavyotaka taiwan, senkaku,south china sea au vita vya mipaka ilizopigana na vietnam na india
 
Tumekubali. Sisi ni nani tukubishie?
 
Ulitakaje labda bwana mdogo kwamba China atungue ndege ya kibibi kizee halafu aingie kwenye mgogoro na superpower wa kuweka vikwazo Duniani
Sasa kwanini walipiga ule mkwara ooh wataizika ndege nyenyenye kama walijua hawawezi ?! MKWARA ULIKUA WANINI ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…