China sio super power ni Mandonga wa kimataifa. Bibi katua na hakuna kitu wanafanya. Hizi ni salaam kwa Putin na wengine fyokofyoko

China sio super power ni Mandonga wa kimataifa. Bibi katua na hakuna kitu wanafanya. Hizi ni salaam kwa Putin na wengine fyokofyoko

Case closed !!

Hakuna cha ooh Urusi nye nye nye wala China fyoko fyoko, liko wazi sasa mbabe wa dunia hii ni U.S.A waswahili walisema ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo ukivuma. Sasa upepo umevuma na tumejionea, China angekua na ubavu mbele ya Marekani huu ulikua wakati mubashara kumwaga nyongo zake ila Mchina kaufyata kama mmbwa koko.

Case closed U.S.A is the bull in the graze yard.
Unapata faida gani mmoja wao akiwa supper power?
 
Oya mandonga kama mandonga kila kona[emoji23][emoji23][emoji23]
 
China angekuwa sio mnafki angemsapot waziwazi mrusi kule Ukraine. Mbona UK, France, German n.k zinaungana na US kumsapot Ukraine.

Kwanini China asijioneshe kumsapot Russia kule Ukraine? Jibu ni moja tu, China sivyo kama tunavyoidhania.

Tukisemaga kuwa uchumi wa China umeshikwa na Westerns muwe mnatuelewa. China ajira zake nyingi, ushuru, kodi n.k anapata kutokana na uwekezaji wa Westerns.

Hapo usizungumze export ya china kwenda ulaya na America, ni kufuru. China anapiga pesa ndefu mno kupitia mataifa ya magharibi.

Kumwambia leo avimbe mbele yao ni kutomtakia mema Mchina.
Kabla hujaingia vitani angalia urafiki wako,maslahi yako na uwezo wako. Russia na Ukrain kimuonekano wapo sawa. China angeingia western wangefanya propaganda ya urangi juu yao. Mfano wapigane Tanzania na Kenya halafu mmarekani awe upande wa Kenya. Unajua propaganda itakayo tu Mika ni ya rangi zaidi ya nguvu za kijeshi.
 
China angekuwa sio mnafki angemsapot waziwazi mrusi kule Ukraine. Mbona UK, France, German n.k zinaungana na US kumsapot Ukraine.

Kwanini China asijioneshe kumsapot Russia kule Ukraine? Jibu ni moja tu, China sivyo kama tunavyoidhania.

Tukisemaga kuwa uchumi wa China umeshikwa na Westerns muwe mnatuelewa. China ajira zake nyingi, ushuru, kodi n.k anapata kutokana na uwekezaji wa Westerns.

Hapo usizungumze export ya china kwenda ulaya na America, ni kufuru. China anapiga pesa ndefu mno kupitia mataifa ya magharibi.

Kumwambia leo avimbe mbele yao ni kutomtakia mema Mchina.
kwanza china hana sababu ya kusapoti unyakuzi wa ardhi ya ukraine unaofanywa na urusi maana hata china nae ni mhanga hasa ukizingatia ile siberia anayolinga nayo mrusi leo alinyakua kutoka china mwaka 1858 kupitia mkataba wa kilaghai na kibabe vilevile km anavyotaka kuforce peace treaty na ukraine kupitia kwa terms za ajabu, hata huku kujiimarisha kijeshi anakofanya mrusi kwa kutumia kisingizio cha marekani ni kwajili ya kujilinda zaidi against china ambayo still inahisi ilionewa sana kuchukuliwa ardhi yake na huenda ikawa na mpango wa kuirejesha km inavyotaka taiwan, senkaku,south china sea au vita vya mipaka ilizopigana na vietnam na india
 
Case closed !!

Hakuna cha ooh Urusi nye nye nye wala China fyoko fyoko, liko wazi sasa mbabe wa dunia hii ni U.S.A waswahili walisema ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo ukivuma. Sasa upepo umevuma na tumejionea, China angekua na ubavu mbele ya Marekani huu ulikua wakati mubashara kumwaga nyongo zake ila Mchina kaufyata kama mmbwa koko.

Case closed U.S.A is the bull in the graze yard.
Tumekubali. Sisi ni nani tukubishie?
 
Ulitakaje labda bwana mdogo kwamba China atungue ndege ya kibibi kizee halafu aingie kwenye mgogoro na superpower wa kuweka vikwazo Duniani
Sasa kwanini walipiga ule mkwara ooh wataizika ndege nyenyenye kama walijua hawawezi ?! MKWARA ULIKUA WANINI ?
 
Back
Top Bottom