China sio super power ni Mandonga wa kimataifa. Bibi katua na hakuna kitu wanafanya. Hizi ni salaam kwa Putin na wengine fyokofyoko

Kwa hiyo ushenzi anaoufanya America Kwako ni kipimo Cha nani mbabeπŸ€”
 
Vita hainzishwi kizembe hivyo.

#MaendeleoHayanaChama
Vita inaanzishwaje ndgu yangu??

Hiyo sababu unayoona ni ndogo inaweza kabisa kuanzisha vita, huenda kuna msururu wa sababu ila tu inatafutwa sababu ya kurusha risasi.

Hata vita zote za dunia sababu ni hizo hizo unazoona za kipuuzi, ila deepdown kuna mijisababu konki sema tu ndo hivo anasubiriwa mchozkozi mwenye chokochoko na kiherehere zaidi.

Hapo mchina angemtungua mtu mkubwa kama huyo bibi, ndo ingekua sababu ila ndo ivo sote twajua wanavozinguana kila mtu aonekana ana nguvu kumzidi mwenzie.
 
Wavaa suruali za watoto wataficha wapi sura zao🀣🀣🀣
 
Usiingilie mazungumzo ya wanaume, hebu niletee chai na kashata mke wangu
Ungekuwa unafanya kazi una majukumu muda wa thread ya kipuuzi usingekuwa nayo..hata kama una demu akiona hii thread anakuacha anakuja kwangu namla mpaka kunakucha..ndo mana hutumii jina og ili hata familia yako isione upuuzi wa mtoto wao

Isitoshe kusema hauna akili
 
Taiwan kwa China ni sawa na Zanzibar kwa Tanzania. Ni donda sugu ambalo maadui zako wakilijua wanalitonesha ili kukupa mateso. Ndiyo Mmarekani anavyomfanyie Mchina. Siku Tanzania ikikorofishana na Marekani, utaona Marekani inaanza kutambua mamlaka kamili ya Zanzibar kwa sababu inajua ni donda sugu la Tanzania.
 
Umeandika "Case Closed".

Una uhakika na hili?

Sasa rasmi dunia inaingia kwenye Vita Baridi nyingine; usidhani huo ndio mwisho wa mambo. Huou ni mwanzo tu!

Hakuna tena mbabe mmoja katika dunia ya leo.
 
Wewe ulitaka Uchina wafanyeje labda? Aipige ndege iliyombeba speaker Pelosi? Embu tuambie wewe ulikuwa ukitarajia kitu gani labda kutoka kwa china.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…