China vs U.S Trade War: China yaijibu Marekani. Imeongeza kodi katika bidhaa za Marekani na zuio la kampuni za Marekani kufanya biashara na China.

China vs U.S Trade War: China yaijibu Marekani. Imeongeza kodi katika bidhaa za Marekani na zuio la kampuni za Marekani kufanya biashara na China.

Msuli upi unaozungumzia?

Kila mara Trump anapoongeza tariffs kwa Chinese goods China nayo inaongeza tariffs na kuzuia kuuza baadhi ya bidhaa muhimu kwa makampuni ya Marekani

Ulitaka aina gani ya msuli?
Marekani anajivunia soko lake la ndani na uwezo wa watu wake kununua vitu. Unaweza kukuta mauzo yote ya China nje ya China ni madogo ukilonganisha na mauzo china inayapata kutoka Marekani. Inaposhindwa china ni kutengeneza masoko ya ndani.
 
Marekani anajivunia soko lake la ndani na uwezo wa watu wake kununua vitu. Unaweza kukuta mauzo yote ya China nje ya China ni madogo ukilonganisha na mauzo china inayapata kutoka Marekani. Inaposhindwa china ni kutengeneza masoko ya ndani.
Soko kubwa la China kwa sasa sio Marekani ni Global South countries

Thamani ya mauzo ya bidhaa za China nchini Marekani ni USD 500 bln ambayo ni sawa na 13% tu ya China's total exports
 
Nimechunguza hoja zako zinagusa sana masuala ya kazi na maisha.

Pole sana mkuu, inaonekana ndiyo mambo yanayokuhangaisha sana kwa sasa kwenye maisha yako.

Nafikiri majukwaa ya ajira na siasa yanakufaa zaidi huku umepotea njia

Follow the Sekretarieti ya Ajira channel on WhatsApp: Sekretarieti ya Ajira | WhatsApp Channel
hujui lolote wewe eti unazijua USA na China!!!kwenda bhana sasa hizo nchi bila kazi na ajira zinge fika hapo ndo maana wazungu wana tudharau yaani baada ya kuwaza tuna kwamuaje jamii zetu na nchi zetu kiujumla tuko bize na watu amabo ata hawatuwazi shenzi kabisa
 
Yaani sisi badala kuchangamkia fursa hzo tuzibe hzo gape za bidhaa zilizozuiwa tupeleke tumebaki kushangilia ugomvi tu wawekeane vikwazo sisi huku tunafurahi tu
 
Soko kubwa la China kwa sasa sio Marekani ni Global South countries

Thamani ya mauzo ya bidhaa za China nchini Marekani ni USD 500 bln ambayo ni sawa na 13% tu ya China's total exports
13% kutoka Taifa moja tena umesema yenye thamani USD 500. Bln. Hicho kiasi Cha fedha ni kikubwa mno kukipoteza, ni mara kumi zaidi ya gharama za kuijenga Gaza. Marekani jeuri yake ipo kwenye soko lake la ndani ambopo China ameshindwa kulitengeneza nchini mwake.
 
Yaani sisi badala kuchangamkia fursa hzo tuzibe hzo gape za bidhaa zilizozuiwa tupeleke tumebaki kushangilia ugomvi tu wawekeane vikwazo sisi huku tunafurahi tu
yaani cc waafrica Mungu alitunyima akili kwelikweli wenzetu itaifa na uzalendo ulikuja na unakuja kwa kufanyakazi na kutoa mchango kwenye mataifa yao cc kutwa kucha China imeizidi Marekani wakati hakuna utakacho pata tunakali ujinga ujinga
 
unatuletea upuuzi humu kulinganisha Marekani na China alafu wale watu wako mbele sana kifikra na kiufahamu kuliko wewe na mjomna zako hawana njaaa njaaa kama za kwako asubuhi asubuhi mtu hujajua unakula nini unatuletea habari za China na Marekani hizo ni tabia za mtu aliye jipata au hukosefu wa Kazi we unafikiria wamarekani wanaishi kama wewe??leta mada za maana husituletee uhalo wako wa chuki za kidini nyie mivaa makobazi uwaga ni bure kabisa
We nae una chuki na uislam,mada haihusiani na dini we unaingiza udini,upo kwenye hedhi nn?
 
Wakubwa wana pamabana huko sisi watembeza bakuli tunajipanga vipi? Niswali la muhimu sana tujiulize maana hatujui wakumshangilia au kumzomea ni nani.
 
Punguza jaziba, watu hawajajifungia ndani kama wewe ulivyo. Yes US ya Trump inakurupuka na hata yeye mwenyewe na Musk wake walishawahi kili kuwa muda mwingine wanasemaga vitu ambavyo hawana uhakika navyo.
Daah my African continent
 
we jamaa mbona unataka kukifanya unajua kila kitu hizo sanctions USA anazoziweka unafikiri wao hawajui faida na hasara yaani USA inakurupuka kifanya vitu ambavyo haina uhakika navyo??kqamba wewe una jua kuwazidi ecomist analytical wa USA we unajua akiba ya China na USA huko huko uliko mbagala rangi kumi?!! kwamba unajua flactuation ya peecentages za soko la forodha na hisa za USA na China?? wabongo acheni ujuaji jikiteni kufanyakazi kwa ajili ya familia zenu ukiichukia China au USA haitokusaidia chochote maishani??
Maneno uliyosema ni makali sana
 
unatuletea upuuzi humu kulinganisha Marekani na China alafu wale watu wako mbele sana kifikra na kiufahamu kuliko wewe na mjomna zako hawana njaaa njaaa kama za kwako asubuhi asubuhi mtu hujajua unakula nini unatuletea habari za China na Marekani hizo ni tabia za mtu aliye jipata au hukosefu wa Kazi we unafikiria wamarekani wanaishi kama wewe??leta mada za maana husituletee uhalo wako wa chuki za kidini nyie mivaa makobazi uwaga ni bure kabisa
Mkuu kuwafaidisha watu kwa hizi nyuzi ni kuja kwa hoja,
Mjomba amekuja na hoja nzuri tu, ilipaswa umjibu kwa hoja madhubuti tena kwa facts ili kumfunza na si Bullying.

Kwa US nao huwa wanakosea mbona , Wao ni viumbe tu ,asiyekosea ni Muumba pekee,

Mfn. Kwemye Mzozo kati ya Kiev dhidi Kremlin zile Sanctions aliweka USA na allies wake UK na EU lakin je zili workout?
Kuna popote walipomdhoofisha Putin zaid ya kuiangamiza Kiev?

Huenda una hoja ila shida umekuja kwa mtazamo wa kuitetea Washington in anyway.
 
we jamaa mbona unataka kukifanya unajua kila kitu hizo sanctions USA anazoziweka unafikiri wao hawajui faida na hasara yaani USA inakurupuka kifanya vitu ambavyo haina uhakika navyo??kqamba wewe una jua kuwazidi ecomist analytical wa USA we unajua akiba ya China na USA huko huko uliko mbagala rangi kumi?!! kwamba unajua flactuation ya peecentages za soko la forodha na hisa za USA na China?? wabongo acheni ujuaji jikiteni kufanyakazi kwa ajili ya familia zenu ukiichukia China au USA haitokusaidia chochote maishani??
Unataka kutuambia nini? Kwamba USA Wana wachumi zaidi kuliko China siyo?
Punguza mahaba. China ni level nyingine.
 
Marekani jeuri yake ipo kwenye soko lake la ndani ambopo China ameshindwa kulitengeneza nchini mwake.
Nafikiri haulijui soko la ndani la China.

Unapozungumzia world's largest markets in consumer spending huwezi kukosa kutaja soko la China

Unafikiri ni kwa nini makampuni makubwa hukimbilia kuwekeza China?

Kuanzia food & beverage companies kama McDonalds; high tech companies kama Apple; auto companies kama Tesla, Ford, VW, Toyota; Luxuries manufacturies kama Prada, LV n.k? Wote hao wamewekeza China

Hakuna asiyelitaka soko la China. Wachina ni moja ya watu ambao ni big spenders

Kusema China hajatengeneza soko lake la ndani ni uongo mkubwa sana
 
13% kutoka Taifa moja tena umesema yenye thamani USD 500. Bln. Hicho kiasi Cha fedha ni kikubwa mno kukipoteza, ni mara kumi zaidi ya gharama za kuijenga Gaza.
Kwa China hiko ni kiasi cha kawaida sana ndio maana kwa sasa Marekani haimbabaishi China na tariffs.

USD 500 bln Kwa uchumi wa China hiyo ni sawa na 2.3% ya GDP ya China

Tena hiko kiasi kimekuwa kikienda kikipungua bila kuathiri uchumi wa China kwa sababu China ilishafanya diversfication ya masoko yake

Usishangae miaka ya mbele kikashuka zaidi ya hapo

China sio kama Mexico na Canada ambazo zinategemea exports zao kwa zaidi ya 70% ziende Marekani ndio maana wakipigwa tariffs inawabidi wakubaliane na matakwa ya Marekani
 
Back
Top Bottom