Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Unapoteza muda wako kudeal na marekani badala ya kujikita kuimarisha uchumi wa nchi yako.Kwa nini mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapoteza muda wako kudeal na marekani badala ya kujikita kuimarisha uchumi wa nchi yako.Kwa nini mkuu?
Nchi ipi?Unapoteza muda wako kudeal na marekani badala ya kujikita kuimarisha uchumi wa nchi yako.
Kwani we Rais wa nchi ganiNchi ipi?
Kwani we Rais wa nchi gani
Kwani Xi Jinping ni Mwigulu nchemba ?Unapoteza muda wako kudeal na marekani badala ya kujikita kuimarisha uchumi wa nchi yako.
Inatakiwa muende zaidi ya hapo ili muwe world super powerKama ni uchumi umeimarika tayari mpaka competitor anakimbilia tariffs
Kivipi yaniXi Jinping ni Mwigulu nchemba ?
Assalamu alaikumKivipi yani
MajukumuInatakiwa muende zaidi ya hapo ili muwe world super power
Ila umenishangaza yani Rais unasahau hadi nchi yako ni ipi kweli!!!
WaalaykAssalamu alaikum
Kwa hali hiyo Trump atakuburuza sana!Majukumu
SASA CHINA WAKO ANALILIA NINI SI AENDE HUKO GLOBAL SOUTHUmesema vyema
Kwa sababu katika international trade, China ina diversification kubwa ya masoko zaidi ya Marekani
Kwa mfano kwa sasa soko kubwa la bidhaa za China ni Global South countries huku Marekani ikiwa ni 13% tu ya China's total export
Huna hoja kaa pembeni siyo unakata mauno hapaunatuletea upuuzi humu kulinganisha Marekani na China alafu wale watu wako mbele sana kifikra na kiufahamu kuliko wewe na mjomna zako hawana njaaa njaaa kama za kwako asubuhi asubuhi mtu hujajua unakula nini unatuletea habari za China na Marekani hizo ni tabia za mtu aliye jipata au hukosefu wa Kazi we unafikiria wamarekani wanaishi kama wewe??leta mada za maana husituletee uhalo wako wa chuki za kidini nyie mivaa makobazi uwaga ni bure kabisa
Kwa hali hiyo Trump atakuburuza sana!
Iende mara ngapi?SASA CHINA WAKO ANALILIA NINI SI AENDE HUKO GLOBAL SOUTH
Mfn. Kwemye Mzozo kati ya Kiev dhidi Kremlin zile Sanctions aliweka USA na allies wake UK na EU lakin je zili workout?
Kuna popote walipomdhoofisha Putin zaid ya kuiangamiza Kiev?
Huenda una hoja ila shida umekuja kwa mtazamo wa kuitetea Washington in anyway.
Subiri uone wewe na taifa lako mtakavyogalagalazwa vibaya mnoHuwezi kuburuzwa na mwendawazimu
Subiri uone wewe na taifa lako mtakavyogalagalazwa vibaya mno
Watanywea chai.Trump alisema neno analolipenda zaidi kinywani mwake ni tariffs
Sasa ngoja tuone kama wapiga kura wake wakulima wa soybeans watauza wapi hizo soybeans