China vs U.S Trade War: China yaijibu Marekani. Imeongeza kodi katika bidhaa za Marekani na zuio la kampuni za Marekani kufanya biashara na China.

Hayo makampuni yalikwenda kuzalishia China kwa Sababu ya cheap labour. Lakini bidhaa zao nyingi zinakwenda kuuzwa Ulaya na Marekani.
 
Hayo makampuni yalikwenda kuzalishia China kwa Sababu ya cheap labour. Lakini bidhaa zao nyingi zinakwenda kuuzwa Ulaya na Marekani.
Mzee nani alikwambia wanaenda kwa ajili ya cheap labor?

Mojawapo ya sababu ya kwenda kuzalisha China ni uwepo wa soko la uhakika ndani ya China

Wakati nchi za Ulaya wanataka kuziongezea tariffs EVs kutoka China, CEOs wa Mercedes Benz na VW hawakuunga mkono. Walisema wao pia watakosa soko la China ikiwa Wachina watalipiza kwa kuongeza tariffs kwenye magari kutoka Ulaya kwa sababu China ni the world's largest market for vehicles

Karibu nusu ya magari ya Tesla na vifaa vya Apple duniani vinanunuliwa ndani ya soko la China

Ukija upande wa luxuries, soko kuu la dunia ni China. 25% ya bidhaa zote unazofahamu ambazo ni luxuries zinaenda China peke yake

Kampuni za Marekani na Ulaya zimevutiwa kuinvest China kwa sababu ya uwepo wa manufacturing ecosystem nzuri nchini China ambayo inawapunguzia sana production cost pia uwepo wa govt support ni sababu myingine ya wao kukimbilia China

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…