aiseeh, china hii ambayo uchumi wake unaweza kutingishwa na usa na ukatingishika? Trump aliweka vikwazo baadhi ya bidhaa za china uchumi ukashuka toka 6.8(2018) hadi 6.0(2019)
Inakusaidia nini mtu wa ulimwengu wa tatu?
Don't trust Chinese data including GDP data haziaminiki tena
Namaanisha inadondondoka kutoka dola kuu kwenda dola la hovyo
Kumbuka tofauti ya China na usa kwa sasa GDP ni dola tilion tano tu
China ni silent killer
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonesha ni mweupe sana kwenye Siasa za kimataifaNamaanisha inadondondoka kutoka dola kuu kwenda dola la hovyo
Kumbuka tofauti ya China na usa kwa sasa GDP ni dola tilion tano tu
China ni silent killer
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23] Sisi hatujazoea kujitoa mhanga kama nyie mashia, filieni mbele peke yenu.Kama ili US Asambaratike lazma nasisi tusambaratike basi sio mbaya mhim US Asambaratike tuuh.
Sent using My COVID-19
Haziaminiki na ww tu wenzako wanaziamini nandio maana wanadaiwa na hao hao wachina ambao wewe huwamini kwa data zao unazodai eti ni feki.Don't trust Chinese data including GDP data haziaminiki tena
Hao wazuri wangewafanya mababu zenu kuwa watumwa ?!.Hakuna watu wanaowabagua waafrika Kama wachina, China kuwa super-power ni habari mbaya kwa afrika hakuna watu wakatili kwa waafrika Kama wale
Ni huyo mgonjwa aliyeko madarakani. Nashangaa kwa nini wabunge wa chama chake wameshindwa kumdhibiti. Amewaaibisha Marekani na badala ya kuonekana taifa kubwa wamechukua backstage.Kiujumla ni kuwa wamarekani na viongozi wao wameshachanganyikiwa na wanachofikiri ni kuwa kwa kuwa wao ni taifa kubwa lenye nguvu za kijeshi na pesa,ufumbuzi ni kuendelea kutumia nguvu badala ya akili nyepesi tu ili kupambana na huu ugonjwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wa Mambo ya kigeni wa uchina anasema 'US kutotoa pesa WHO huenda ikaathili nchi zote duniani' [emoji3][emoji3] yaani kujitoa kwa nchi moja tu US inaathili nchi zote ulimwenguni, hiv waajemi wanachangiaga shi ngapi kweli? Hata hivyo Iran hata isipotoa hivyo visenti vyake hakuna athari hata kwenye kata moja.Wanasepa mdogo mdogo yaani hakuna namna sasa.....
Sent using My COVID-19
Yaani unajiita baba mwenye nyumba halaf unataka utoe pesa sawa na mkeo utakua sio mzima.Hiyo ni ndoto marekani inataka usawa katika kufadhili mashirika ya kimataifa kama hao who, nato nk
China anapenda kubebwa tu apambane na kama anaweza alipe hizo milion 400 usd yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wewe ndio unamwita mweupe mwenzako wewe sijui utakua warangi gani kama wao ndio wanao amua ukue kwahio waliamua ukue kiasi hiki chakumfanya awe kiburi mbele ya hao wanaomuamulia ?![emoji16][emoji23]China mpaka leo ipo chini ya vikwazo vya marekani, na USA ndio inaamua uchumi wa china ukue kea kiasi gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasema kwamba ni wazuri, lakin huwez fananisha na wachina angalia wenzako wanachofanyiwa Guangzhou in 21 centuryHao wazuri wangewafanya mababu zenu kuwa watumwa ?!.
Sent using My COVID-19
Wao wanaojiita super power si nisawa namwanaume kwenye nyumba unategemea mwanaume atoe pesa sawa namkewe katika nyumba[emoji23][emoji23][emoji23]Urusi na china fully kulalamika.. Si watoe kama wanaume. ...wanajidai kutaka super power kumbe Kelele tu...mashirika mengi ya UN, WB etc hadi UN yenyewe Marekani ni anatoa pesa nyingi Kushinda hao wenye Kelele Kelele...
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu hapo hapo US Akaenda Nunua Mask huko huko UCHINA Akawa anawachangia bila kujijua[emoji16]Sasa naona wataelewana kuhusu 5G. Mmarekani keshaonyesha ubabe wake. Leta corona, vuruga vuruga soko la mchina linalompa kiburi mpaka Africa, ondoa ufadhili kwe afya ili kila mtu apambane na hali yake. Mengine ni colatral damage.