Shambaboy jogoli
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 1,223
- 1,627
Hahahahaha, acha uongo ndugu, Lissu tunampiga wenyewe asubuhi tu huku kwetu kanyamsenga kwenye sanduku LA kura!Mi nadhani wachina na wenyewe wanaogopa Lissu kuchukua nchi, maana wanafahamu kabisa Lissu hapendi unyonywaji na unyanyasaji wa wananchi. Na kwa wale tuliofanya kazi na wachina na wazungu tunajua ni nani ana utu na auheni kwenye kujali utu na haki kati ya mzungu na mchina. Istoshe tofauti kati ya CCM chini ya JPM na Chinese Comunist Party ya PRC chini ya Xi Jinping ni ndogo mno. Wote wanyanyasaji wa demokrasia tu.hapa Nyani anamtetea ngedere.
Pembe za ndovuToa mfano wa rasrimali anazoiba
China siyo nchi ya kuongelea demokrasia, haki au maendeleo ya watu. China ni nchi ya kidikteta, na kwenye maendeleo ya watu ni nchi ya 89 Duniani, inazidiwa hata na baadhi ya nchi za Afrika.Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi
==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania
China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo
Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia
Chanzo: Azam Tv
My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Hii kiboko haki nimecheka......!!China wafadhili wakuu wa CCM,sponsa anapoona danga lake linakoromewa lina haki ya kuvimba!!
Ukienda Msumbiji na DRC, ukaone uhuni wanaofanya wachina, hutawapenda kamwe.Kwanza China ndiye beberu mkubwa wa Tanzania, ameingia kila sekta na kuchukua rasilimali za nchi hii bila huruma!
Hakika Wachina ni janga la dunia!Ukienda Msumbiji na DRC, ukaone uhuni wanaofanya wachina, hutawapenda kamwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema utopolo kama hujui historia vizur kaa kimya
Nenda tu hapo DRC na Mozambique ukaone jinsi wachina wanavyokata magogo usiku na mchana. Ni waharibifu wakubwa wa mazingira. Na ni watu wachafu sana kimaadili. Wanapenda sana kuhonga ogisi za umma ili wasilipe kodi.Toa mfano wa rasrimali anazoiba
Sawa kijana. Nadhan sina haja ya kubisha kwa hoja na mtu asiejielewa kama wewe. Maana ni imani yangu kwa maoni haya kichwani uko mweupe kabisa kwa masuala ya kimataifa katika kila nyanja ya maisha. Na istoshe kama CCM inaamin inaweza kushinda kwa kishindo cha zaidi ya 80% ni bora ithibitishe kwa kutengeneza mchuano wenye haki sawa maana wakifanya hivo tutajionalea wwnyewe bila figisu, lakin kwakua we ni mweupe hakuna unaloliona na unabaki kushabikia ujinga tu bila hoja zenye mashiko.Hahahahaha, acha uongo ndugu, Lissu tunampiga wenyewe asubuhi tu huku kwetu kanyamsenga kwenye sanduku LA kura!
China hawajui haki za binadamu wao kukua sababu ya pesa Ni sawa na kunywa pepsi.Thus uyapenda madikteta sababu unufaika nao, kiuchumi.Ukienda Msumbiji na DRC, ukaone uhuni wanaofanya wachina, hutawapenda kamwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ndo watu wanatakiwa kuwa JF. Bahati mbaya sana siku hizi forum imejaza wajinga wengi kuliko wenye maarifa kama huyu.China siyo nchi ya kuongelea demokrasia, haki au maendeleo ya watu. China ni nchi ya kidikteta, na kwenye maendeleo ya watu ni nchi ya 89 Duniani, inazidiwa hata na baadhi ya nchi za Afrika.
Wachina, kwa kadiri ya tafiti za wanasaikolojia, haigundui chochote zaidi ya kuiga kwa sababu mfumo wa nchi yao ni ule usiotoa uhuru wa watu kufikiri.
China ina pato kubwa la nchi kutokana na uwingi wa watu lakini maendeleo ya mtu mmoja mmoja, ni duni sana. Sisi tunataka HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU. Vitu ambavyo, vyote China haina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni ushabiki tu kama wa mpira
yaani China ina nguvu kuliko America??
Haya mabomu ya kuivuruga dunia nchi kibao wanayo lakini kuna vikwazo vya kuyatumia na pia wanayamiliki ili kuheshimiana tu leo ni ngumu sana nchi kuingia vitani watu wamestaarabika huwa wanaangalia zaidi madhara yatakayo patikana
Watu wamestaarabika Nyerere na Iddy wangekuwepo leo na ugomvi wao ungetokea Sasa hivi hizi nchi zisingeingia vitani
Lakini hizo unazosikia ni siasa tu na hawa watu wanatumia akili na mmoja kati yao anaenda kuwin namaanisha China au America yani kama Magufuli akishinda wachina watalipwa fadhila kwamba wametetea maslahi
Na Lisu vilevile kama America wako upande wake
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
China ni nani dunia hii mpaka wamzuie America???
China watawaletea ARV.