Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Mbele ya China na USA,nchi za ulimwengu wa tatu,hususani TZ ni Kama Malaya wanaojiuza,kila mmoja anapigania amchukue akampige pipe,hawana kipya hao.

Mchina yeye anafanya lobbying,ushawishi wa siri kuhusu mradi gani ujengwe,anatoa Rushwa ndefu kwa baadhi ya waandamizi,anachukua mradi anapanga bei,anaweka masharti makubwa na magumu endapo mtashindwa kulipa mkopo,mchina aingilii mnavyotenda,hata mkikiuka haki za binadamu yeye haimuhusu.

USA na nchi za magharibi,wao ni mpaka utilize viwango fulani vya kulinda haki za binadamu ndio anatoa pesa.
Hapa mkuu wote ni mabeberu, lakini wazungu walitufanya kitu mbaya sana bara la Afrika labda mna short memory.

Ukisikia eti mzungu anadai haki za binadamu kwa yale makoloni alioyatawala ,kuwaibia maliasili,kupora mali zao,utumwa,kuwauwa na kufungwa kwa kudai haki ujue ni mwongo na mnafiki.

Hivi Mwingereza anayo jeuri hata ya kuomba msamaha potelea mbali kulipa fidia ya mali alizopora na unyama aliofanyia Afrika mbwa huyo?
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
 
hahaha sasa unamtisha nan na izo laaana zako, Ushavunja amri ya Mungu kwanza amesema mpende jirani yako kama nafsi yako, we unaleta mzaha na mambo ya Mungu wakati watu wanajifurahisha na siasa uku utadhan mnagombania huo uraisi, ona sasa ushaanza Kumuingiza Mungu na unaanza na dhambi
Sijakutisha, nimekwambia ukweli na kukuonya. Mungu anasema kwenye kitabu cha Ezekiel kuwa ukimuona mwenzako ana dhambi na usimuonye, Akifa na dhambi yake damu yake itadaiwa mikononi mwako.

Nimetimiza wajibu wangu!
 
Hapa mkuu wote ni mabeberu, lakini wazungu walitufanya kitu mbaya sana bara la Afrika labda mna short memory.
Ukisikia eti mzungu anadai haki za binadamu kwa yale makoloni alioyatawala ,kuwaibia maliasili,kupora mali zao,utumwa,kuwauwa na kufungwa kwa kudai haki ujue ni mwongo na mnafiki.
Hivi Mwingereza anayo jeuri hata ya kuomba msamaha potelea mbali kulipa fidia ya mali alizopora na unyama aliofanyia Afrika mbwa huyo?
Kwani China haibi Rasilimali??? Ndege ya Raisi wa China iliondoka na nini Tanzania mwaka 2014???

Wachina karibu wamalize Tembo wote kwenye mbuga zetu hadi wazungu wakaingilia kati
 
Sijakutisha, nimekwambia ukweli na kukuonya. Mungu anasema kwenye kitabu cha Ezekiel kuwa ukimuona mwenzako ana dhambi na usimuonye, Akifa na dhambi yake damu yake itadaiwa mikononi mwako.

Nimetimiza wajibu wangu!

Sasa umenionya ama umetoa laaana we unabishana na Maandiko yako tena
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
China wako sawa kabisa kumkemea Mmarekani ambaye anajiona na kujipa "UPOLISI" wa dunia. US wana uchaguzi wao in the next two weeks or so. Kiherere cha nini kwenye mambo ya wengine. Bravo China kwa kuwakemea US na wakome kabisa.
 
China wako sawa kabisa kumkemea Mmarekani ambaye anajiona na kujipa "UPOLISI" wa dunia. US wana uchaguzi wao in the next two weeks or so. Kiherere cha nini kwenye mambo ya wengine. Bravo China kwa kuwakemea US na wakome kabisa.
Sasa unafikiri China kumkemea Marekani ndo kutaisimamisha Marekani kuwachukulia hatua??? Kweli Ccm vilaza sana😂😂😂
 
Sasa unafikiri China kumkemea Marekani ndo kutaisimamisha Marekani kuwachukulia hatua??? Kweli Ccm vilaza sana😂😂😂
Wewe kwa akili yako iliyo "kamili" unadhani US watamchukulia nani hatua hapa Tanzania AU umeaminishwa na Lissu kuwa watakuja kumtetea akishindwa? Mawazo hayo yanaonesha namna usivyo wajua na kuwafahamu hawa wezi na wanyonyaji wa mali za umma.

Kwa maneno yao, wanajaribu kutafuta mtu "wao" hapa nchini ili waweze kuinyonya Tanzania yetu kwa urahisi, lakini wakishindwa (kama ilivyo waziwazi), basi wataendelea na diplomasia yao ya KINAFIKI na kumsahau Lissu. In fact huu ndio mwisho wa "forced political era" ya Lissu.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Unaakili za kitoto sana itakuwa ni form 6 mliotoka Jkt

Kwataarifa yako
Pakistan ni puppet wa USA na anasaidiwa kwa kila kitu hadi saivi USA anakambi zaidi ya 4 ndani ya Pakistani

Huyo China hawezi bishana na USA kwa kuwa yeye mwenyewe bado njaa ,kushindwa kumsaidia Mugabe ,kushindwa kumsaidia Korea ya kiduku saivi wakorea wanalia na vikwazo na chaajabu zaid hata kampuni zake za ndani (huawei na tiktalk ) zinanyanyaswa yeye yupo kimya tuu
Soma takwimu za sasa hivi ujue nani anaongoza kiuchumi dunia

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 
China hata kama mnauana na kutiana vilema,as long as wao wanaendelea kupiga pesa basi hiyo siyo concern yao kabisaaaa!Ndio maana Marekani anatambulika kama baba wa kulinda amani ya dunia!
Mpuuzi wewe Libya alipeleka amani? Iraq alifanyaje na anachofanya Syria unakijua ameungana na waasi kabisa.

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 
Wewe kwa akili yako iliyo "kamili" unadhani US watamchukulia nani hatua hapa Tanzania AU umeaminishwa na Lissu kuwa watakuja kumtetea akishindwa? Mawazo hayo yanaonesha namna usivyo wajua na kuwafahamu hawa wezi na wanyonyaji wa mali za umma. Kwa maneno yao, wanajaribu kutafuta mtu "wao" hapa nchini ili waweze kuinyonya Tanzania yetu kwa urahisi, lakini wakishindwa (kama ilivyo waziwazi), basi wataendelea na diplomasia yao ya KINAFIKI na kumsahau Lissu. In fact huu ndio mwisho wa "forced political era" ya Lissu.
Wewe kwa akili yako iliyo "kamili" unadhani US watamchukulia nani hatua hapa Tanzania AU umeaminishwa na Lissu kuwa watakuja kumtetea akishindwa? Mawazo hayo yanaonesha namna usivyo wajua na kuwafahamu hawa wezi na wanyonyaji wa mali za umma. Kwa maneno yao, wanajaribu kutafuta mtu "wao" hapa nchini ili waweze kuinyonya Tanzania yetu kwa urahisi, lakini wakishindwa (kama ilivyo waziwazi), basi wataendelea na diplomasia yao ya KINAFIKI na kumsahau Lissu. In fact huu ndio mwisho wa "forced political era" ya Lissu.
Kwanza kabisa unaonesha una upeo mdogo sana na mambo ya dunia ya leo pamoja na mambo ya kimataifa. Nafikiri hujui dunia ilivyo na inavyoenda Ndo mana unabwabwaja hapa. Waulize Sudani na Zimbabwe kuwa Marekani ni nani na anaweza kufanya nini watakwambia
 
Kwanza kabisa unaonesha una upeo mdogo sana na mambo ya dunia ya leo pamoja na mambo ya kimataifa. Nafikiri hujui dunia ilivyo na inavyoenda Ndo mana unabwabwaja hapa. Waulize Sudani na Zimbabwe kuwa Marekani ni nani na anaweza kufanya nini watakwambia
Kweli sikuelewi, wewe kwa akili yako timamu unaweza kutulinganisha SISI na Sudan au Zimbabwe au ni ushabiki tu?
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia
Wachina wasitufanye sie wapumbavu, watoe kelele zao hapa. Wao wanajua wana maslahi na CCM ambayo Tundu Lissu anaweza kuyafutilia mbali akipita

1603290259573.png


1603290383302.png


1603290422247.png
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Nimefarijika sana kusikia Wajamaa wenzetu sasa wameongea.,
JPM mitano tena.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Back
Top Bottom