Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Wanamuingiza king Magufuli ili akiwekewa vikwazo na marekani waweze kutukandamiza vizuri Kama walivyofanya kwa Zimbabwe.

Mbona ajawasaidia Iran kwa vikwazo au mbona hakuwasaidia Zimbabwe?

China ni matapeli tu Tanzania akitaka kujinasua na minyororo ya marekani dawa ni kuacha kupewa misaada yote ya Marekani,Un ,EU, IMF, WB.
China wamepewa tena Bandari ya Bagamoyo kwa siri ili wawasaidie CCM kupenya kwenye Tundu maana hali ni mbaya sana
 
China hajawahi kuwa na demokrasia wala haki za binadamu
Atupishe tufanye yetu na kwa kuheshimu msingi wa utu ubinadamu na uhuru.
Enzi za utumwa na ubakaji wa haki za raia umepitwa na wakati
China wana mfumo wa chama kimoja tu hawana mfano wa kuigwa hata mmoja
 
Wewe na nani? China wanasema ukweli. Wakati Marekani ina matatizo na uchaguzi wao wa ndani, balozi wao ataionya vipi TZ. Hivi na sisi balozi akisema hivyo USA itakubali.
Kwenye kuomba misaada ya pesa Mbona hamsemi kuwa huko Marekani kuna watu Masikini wapewe hizo pesa kwanza kabla yenu nyinyi?
 
Nyie endeleeni kujidanganya na kujipea moyo, we are not Arabs, mtajikuta wenyewe barabarani mtandikwe mpotezwe na life litaendelea.
Unaona Libya lkn? Ndio demokrasia marekani anayoachaga, sasa unga mikono na miguu na kichwa kabisa
Bora hivyo kuliko nyinyi kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani uonevu unyanyasaji uovu mwingi
 
Why should the Chinese do that? Its your own responsibility to revive your own industries.
Hapa yalikuwa majukumu yake ?
FB_IMG_1603319265708.jpg
 
Kama ni kweli si jambo la kushangaza kwa China kusema hivyo, inalinda maslahi yake zaidi.

Amekuwa mfadhili mkuu wa viongozi wengi waovu hasa Afrika na hata wakati mmoja hutomsikia akitoa maoni kuhusu demokrasia kukandamizwa.
 
kuna mbuzi juzi nlimwambia kabisa, hata wafanye nn marekani haiwezi kuifanya chochote tanzania! Tanzania ni mstari mmoja na pakistan, sisi hatuwasupport israel, sasa pakistan ni msururu mmoja na china + russia! hawa wanasubiri marekani ifanye kosa lolote kuna kitu kinaitwa INTER CONTINENTAL BALISTIC MISSLES, china na russia, missles zao zpo set for new york, kwahio ni kitendo cha kubonyeza tu switch marekani nzima ibaki majivu, kwahio waliokua wanategemea sjui marekani , belgium habari ziwafikie
Wangekua hawapatani kusingekua kuna G8 wala G20. Wanakaaje pamoja na kufanya vikao juu ya uchumi wa dunia wakiwa wamekosana. Usijidanganye hawa watu wame unit kuliko unavofikiria. Ukiona wamekosana ujue wanawaigizia tu. Na point is wanaokosana ni wananchi sio serikali. Serikali za hizi nchi zina umoja sana.
 
China waache na watuondolee ujinga na sera zao za Kikomunisti hapa!!!! Tanzania hatuchaguliwi rafiki au adui lakini pia kama nchi rafiki inaona kuna viashiria vya Uchaguzi usio Uhuru na Haki Wana Uhuru wa kutoa maoni yao. China hana ubavu wa kumzuia Marekani kutoa maoni na mtazamo wake.......Wachina ni Makomunisti wanaotawala Kidikteta!!!!Watuache.
Wakuache? Wanakupenda na wanakutaka na wakishindwa kukupata kwa kukupiga sound wanatumia nguvu. We are always in love with these people. We act so romantic to them. The reason why we call them mabeberu. Sijui ss ni mbuzi
 
China wamepewa tena Bandari ya Bagamoyo kwa siri ili wawasaidie CCM kupenya kwenye Tundu maana hali ni mbaya sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji850][emoji850][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji850][emoji850][emoji850][emoji41][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji33][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] no no no. Stop that brother. Ati "kisirisiri".
At this point anything can be possible. We never know. But lets wait for the election. May be its not true.
 
Nasi twaionya China, yetu hayawahusu waache kutuingilia sisi ni nchi huru wao na demokrasia wapi na wapi ni mbingu na ardhi. Wao ni madikteta sisi ni democratic
 
anyway long story short, Marekani ndo wamekua mstari wa mbele sku zote kuhakikisha uchaguzi unakua huru na haki na hawajawahi toa repoti kwamba kuna wizi wa kura sasa nyie ndo kwida yenu kulalamika sjui mmeibiwa kura, mkishinda hamsemi mmeibiwa mkishindwa mnalalamika, mwaka huu kitaeleweka tu! mm sina interest sana na china wala USA lakini uchaguzi huu uko funded 100% na serikali sasa kila kitu ni juu ya tanzania
Vipi figisu za mawakala wa vyama vya upinzani kuanza kuchezewa rafu
 
Back
Top Bottom