Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Atoe tu kwa kujifurahisha. Hakuna anayetoa povu. Tunachowaambia wana lumumba ni kuwa China si lolote si chochote
Huyo unaemuona kuwa ni chochote mbona alishindwa kupambana na corona kutoka kwa mchina? Mbona anasumbukiwa na Korea kasikazini Kila siku anaomba mazungumzo?.Hizo Zama za marekani zimeshapita kwasasa anatembelea heshima yake aliowahi kukujengea huko nyuma,Ila hana maajabu yoyote ya kutishia dunia.
 
hahaha pole sana bro, wacha nkupe details, hizi taarifa kuna mbungo jana nlimwambia hapa hapa forum skumbuki thread ilikua inahusiana na nn, yeye alikua anasema wnaksanya evidence eti wanapeleka mahakama ya kitaifa baada ya uchaguzi!

- Pakistan kama sio suppport ya russia basi wamarekani wangewaonea sana kwa sababu israel wanawaonea sana! israel wanawaonea pakistan kwa sababu israel ina full support ya USA, russia walistep in, ushawahi skia tena israel wanawaonea pakistan? heshima imerudi si ndio?

- China ana ugomvi mkubwa na marekani kwenye battle ya space, kila contract marekani wanaofanya wanawatenga china kwenye
kusign, hata international space station ilivoanza kazi china walitengewa na wakasema watatengeneza ya kwao isiwe tabu,
baada ya hapo sasa china wakasema isiwe tabu, russia ndo watengenezaji wa rocket dunia hii hakuna nchi wanatengeneza rocket efficient kama russia, china wamepatner nao, leo marekani wamebaki wanarusha rocket kupitia kampuni inaitwa spacex inamilikiwa na mwamba mmoja anaitwa ELON MUSK, ni msouth africa aaliehamia marekani

- Mpaka lei russia na china ni wamoja katika rockets, sasa rockets ndo missles dogo, ndo imekuja ilo neno INTER CONTINENTAL BALISTIC MISSLES, saaahv pakistan wankaa kwa raha bana we unadhan marekani ndo dunia yao saaahv, marekani walipigwa mpaka na vietnam, have you ever heard of september 11? unajua nan ndo yuko nyuma ya hili shambulio, unajua kwann marekani hawajajibu mashabulizi, kama hujui kaaa kimya! ila kaa ukijua marekani can do nothing on us unless support yetu ihame
Hizi Ni story za kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Huyo unaemuona kuwa ni chochote mbona alishindwa kupambana na corona kutoka kwa mchina? Mbona anasumbukiwa na Korea kasikazini Kila siku anaomba mazungumzo?.Hizo Zama za marekani zimeshapita kwasasa anatembelea heshima yake aliowahi kukujengea huko nyuma,Ila hana maajabu yoyote ya kutishia dunia.
Amerika akizima mitambo hizi ghasia zote zitaisha hakuna JF wala tweeter wala ukwaju
 
America wepesi sana na wapumbavu sana.wanafikri wanaweza kuifanya Tanzania kama Libya .subutu.sisi tuna makombora ya kibingu. Corona waliyotengeneza imewashinda sembuse the blessed land .
 
Naona mnatambiana mabwana wengine wanasifia mabwana zao wachina wengina mabwana zao marekani,mwengine anaona ni sahihi mabwana wake kuingilia maisha yake binafsi na kumsifia kwa hilo na mwengine anamsifia bwana wake kwa kutokuingilia maisha yake binafsi.
 
Amerika akizima mitambo hizi ghasia zote zitaisha hakuna JF wala tweeter wala ukwaju
Unalolote unalojua kuhusu IT au unaropokwa tu? We unadhani dunia inaishi kwasababu ya uwepo wa twitter na huo upuuzi wako sijui Jf😳.
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda Rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
China nayo huifanyia kampeni CCM!
 
America wepesi sana na wapumbavu sana.wanafikri wanaweza kuifanya Tanzania kama Libya .subutu.sisi tuna makombora ya kibingu. Corona waliyotengeneza imewashinda sembuse the blessed land .
😂😂😂😂 una kombola la kumtisha America wewe????
 
Huyo unaemuona kuwa ni chochote mbona alishindwa kupambana na corona kutoka kwa mchina? Mbona anasumbukiwa na Korea kasikazini Kila siku anaomba mazungumzo?.Hizo Zama za marekani zimeshapita kwasasa anatembelea heshima yake aliowahi kukujengea huko nyuma,Ila hana maajabu yoyote ya kutishia dunia.
Huko Ccm mnakaririshwa ujinga eeeh??? Nani kakwambia Marekani kashindwa kupambana na Corona??? Na mnakaa kabisa mnaaminishana kuwa Marekani anaomba mazungumko wa korea kaskazini???😂😂😂😂

Daah kwa ujinga huu wa wana Ccm ni lazima tuwatoe madarakani mwaka huu. Hatuwezi ongozwa na wajinga kiasi hiki
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda Rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Tatawbadilikia waachina na tutawabonda wasilete za kuleta mbwa hawa wanatumiwa na mafisi
 
Kumbe ww ni libot, nyie endeleeni kuota mtaichukua nchi, yani tuwape vibaraka wa mabeberu. In your wet dreams.
CCM wakipeleka njaa zao ulaya kuomba omba misaada huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu ujinga wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
 
Mchina hana uchungu na sisi anachopigania ni maslahi ya kibiashara na kupoka raslimali zetu. Kwanza taifa hilo linaongoza kwa kukiuka haki za binadamu kwa raia wao.Mifano michache ni kuwabagua, kuwatesa na kutaka kuwafuta duniani wa Uighurs, raia ambao idadi yao ni wachache ambao pia ni waumini wa dini ya ki islamu.Na pia China imekuwa ikiwatesa na kuwaua waumini wa dhehebu la Falun Gong.
Hata huko China kwenyewe harakati za kupigania Haki za Binadamu ni sehemu ya maisha ya baadhi ya raia. Mauaji ya Tiananmen Square mwaka1989 yalitokana na watu kuchoka ubinywaji wa haki zao na kuamua kuingia mtaani kudai haki zao. Mchina asijitie kimbelembele akae pembeni atulie na ikibidi akasafishe nyumba yake kwanza maana sisi ndio tunaoguswa na wenye uchungu na nchi yetu.
 
Back
Top Bottom