China ataweza figisu za wayahudi. Anafikiri marekani kuwakumbatia wayahudi anapenda. Ni kwa sababu wamejipenyeza katika siasa za Marekani. Inawalazimu Marekani awe anahusika kila inapotokea Israel kawasha moto uko mashariki ya Kati. Leo hiii China iliyoshindwa kumzuia Spika Nancy Pelosi asiende Taiwan 🇹🇼 na akaenda akaa siku moja na kuondoka na kuwaaacha wachina wakikata viuno kwenye bahari. Ndio wataweza kumzuia Myahudi ambae nyuma ya myahudi kuna USA 🇺🇸, Canada 🇨🇦, France 🇫🇷, Germany 🇩🇪, England 🏴, Italy 🇮🇹 na Japan. Na hata haawa warusi waliopo kwenye system wana asili ya kiyahudi. Na isitoshe bihashara anaowategemea kufanya nao kibiashara ndio hawo G7. Naona hanguko la uchumi la China limekaribia kama atajihusisha na siasa za mashariki ya kati.
Endelea kuona anguko la china hivyo hivyo
Uchina kaishajishirikisha totally kwenye siasa za Asia magharibi labda uwe hujui
Kuwafanya Iran na Saudi kupatana nizaidi ya kujihusisha maana inajulikanwa wenye mashariki yakati wengi ila Giant's ndio hawa
Kuwaoatanisha makundi zaidi ya 14 ya Palestine wakiwemo hamas na fatah pia nikujihusisha pakubwa
Kutaka liundwe dola huru la Palestine ni kujihusisha
Sijui unataka uchina ajihusisheje na hayo masuala ya hapo
Mwisho hao G7 si wameshirikiana na israhell kuipiga ghaza wamekomboa mateka au wameifuta hamas
Dunia ilikua inaendeshwa kipropaganda ila tumeiona kama kuna maisha nje ya hao wanaojiita G7 na wao sio wanaoamua kila kitu duniani kama mnavyotaka kutuaminisha
Dunia imejua kama israhell ipo over rated saaana
China anaeweza kumuangusha ni Mungu pekee
Italy ipo huko G7 na iligomea BRI ila hatimae imeenda kupiga goti yenyewe kwa uchina
Labda G7 nyengine unayoisema wewe
Kwanza hio G7 siasa hakuna kitu kama hicho duniani kivitendo kimaneno kipo
Mwisho -Iran ina haki ya kujilinda kila mpenda haki anajua hili