China yasema inaiunga mkono Iran kulinda usalama na heshima yake

China yasema inaiunga mkono Iran kulinda usalama na heshima yake

Ndio umeandika nini sasa hapa na wewe nae?? Hebu rudi ukajitawaze kwanza huko ulipotoka ndio uje ucomment hapa nyau wewe..

Kwanza unajua hata aliyeanzisha vugu vugu la kumtoa Viktor Yanukovych madarakani na kisha baadae kumpachika Petro Poroshenko? Na kwa nini unawaita waukraine waliokuwa ni anti-west kwamba wao ni waasi? Hivi ndivyo western media zilivyowapumbaza?

Kuhusu corona hapo ndio hujui chochote zaidi ya kile WHO walichokuwa wanakwambia na kusikia kwenye local news outlets, heri ukae kimya tu
wewe unajuwa kuhusu corona kuzidi WHO ? na China ? yaan China wasiseme uhusika wa Magharibi ika wewe ndo useme kwa niaba ya China ?
Ccmu imekuharibu akili sana , wajinga kama nyiny ndo mtaji wa viongoz wabov , unaujuwa ukwel ila upo kutetea unafiki utafikiri unalipwa kusimama na unafiki ?
 
Ukiambiwa huna akili unaweza ukabisha

Canada kubwa kuliko Uchina mbona haijafikia level ya Uchina kama rahisi ?

Ukiaa huna akili usichangie
unahisi eneo linajijenga ?

Canada's population just passed 41 million while there are something like 1.2 billion Chinese.


Ukija kwenye ratio ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja ( itoe hii mikimbiz milala barabaran isiotaka kujenga kwao bali kudandia mafanikio ya wengine )

Canad is far ahead of china
 
unahisi eneo linajijenga ?

Canada's population just passed 41 million while there are something like 1.2 billion Chinese.


Ukija kwenye ratio ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja ( itoe hii mikimbiz milala barabaran isiotaka kujenga kwao bali kudandia mafanikio ya wengine )

Canad is far ahead of china
Kama unajua kua eneo halijijengi kwanini ukaifananisha uchina na uingereza?

Uchina inatakiwa iheshimiwe sana yaani licha yakua na watu wote hao ila iangalie uchina na iangalie india au hata nchi nyingi za ulaya au zote zinawatu wachache ila zimeachwa mbali sana na uchina
 
unahisi eneo linajijenga ?

Canada's population just passed 41 million while there are something like 1.2 billion Chinese.


Ukija kwenye ratio ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja ( itoe hii mikimbiz milala barabaran isiotaka kujenga kwao bali kudandia mafanikio ya wengine )

Canad is far ahead of china
Uingereza,italy wote hukopa china,na nchi nyingi tu za ulaya,huwezi linganisha uchumi wa china na canada,china is wealthy
 
wewe unajuwa kuhusu corona kuzidi WHO ? na China ? yaan China wasiseme uhusika wa Magharibi ika wewe ndo useme kwa niaba ya China ?
Ccmu imekuharibu akili sana , wajinga kama nyiny ndo mtaji wa viongoz wabov , unaujuwa ukwel ila upo kutetea unafiki utafikiri unalipwa kusimama na unafiki ?
Kafililwee mbele huko fala wewe, tena usini quote tena... nimechoka kujibizana na matahira
 
Back
Top Bottom