China yasema inaiunga mkono Iran kulinda usalama na heshima yake

China yasema inaiunga mkono Iran kulinda usalama na heshima yake

Naandika kiahalisia sio kwa kuongozwa na hisia kama wewe. Nilikuwa hapa wakati uchumi wa marekani unayumba 2007-8 wakat wa Bush anaondoka na nimekuwa hapa wakati wote wa COVID. Uchumi wa China umeshikiliwa na wazungu amin Usiamin. Ingawaje kinachowasaidia ni wingi wao na utaratibu wao wa kiutawala. Ila mpaka ninavyoongea na wewe bado hawajarecover. Usione watu wanaongea hapo kwenye TV mzee. Underground hakuko poa kiivyo.
Unadhani kwanini wazungu wasiende kuushikilia uchumi wao ukawa mkubwa kama ama kuuzidi huo wa uchina
Ukitoa Americant nchi ipi nyengine ya wazungu inaishinda china kwa uchumi imara
Sasa hao wazungu wanaujinga gani wasishikilie uchumi wao ukawa kama wa uchina badala yake wanauacha wa uchina unakua kila leo
 
Hapo jana waziri wa mambo ya nje wa China alifanya mazungumzo na waziri mwenzake wa mpito wa Iran ndugu Ali Bagheri Kani na kuweka wazi misimamo ya nchi yake katika mzozo unaofukuta hapo mashariki ya kati.
Katika mazungumzo hayo waziri huyo wa China aliweka wazi kuwa kuuliwa kwa kiongozi wa Hamas,Ismail Haniye ndani ya Iran ilikuwa ni kitendo cha kichokozi na ukiukwaji wa maazimio ya kimataifa ya kuheshimiana kati ya nchi na nchi.
Tamko hilo la China linakuja wakati Pentagon imeidhinisha kupelekwa kwa meli zaidi ya kivita katika eneo la mashariki ya kati pamoja na silaha mbali mbali za kivita kutokana na kitisho cha vita vya wazi kutokea baina ya Israel na majirani zake.

China supports Iran in defending security, says foreign minister



MBONA MATAMKO MENGI SANA UNAHANGAIKA NAYO HAKUNA MATENDO
 
Kwanza kabisa china ni nchi ya kikomunist Lakin huu ukomunisti wao sio ule wa Zaman. Maana baada ya chairman Mao kufa. Aliyefuata sera yake ilikuwa ni hachagui paka wake ni wa rangi gan maadam anaweza kukamata panya yeye atamtumia. Which means haijalish ni sera zip atafuta cha msingi china ipate uchumi mkubwa. Pili. Ukitaka kujua uchumi wa china ukoje nenda soko la hisa la shanghai. Uangalie uwekezaji china ni akina nani wanaongoza kwa kuwekeza. Although uchumi wa dunia umeshikamana. Nionyeshe products 30 za kichina zimeweza kupenya kwenye soko la dunia na zikahit. Ukiacha tiktok Alibaba na na hiz simu fake zinazokuja Africa ambao ulaya haziruhusiwi hata china kwenyewe hazina vibali kuuza ndani. Ni kweli kuwa mchina katumia fursa ya wazungu kupeleka viwanda na kuzalisha mabilionea wengi Lakin mzungu akitoa viwanda vyake china uchumi unayumba mbaya. Mchina anajithad sana lakin bado. Hata ndege aliyotengeneza juz kati material kachukua huko huko Boeing. Ninachowakubali hawa fareast ni kuwa ni wazur kukopi na kujaribu bila kukata tamaa. Hilo Mungu kawajalia sana. Hakuna kitu utampelekea mchina akuambie hataweza kutengeneza kulikon hivyo atasafiri mpaka huko uzungun kwenda kukifatiwlia kinatengenezwaje nae afyatue. Lakin pia uchumi cku hiz ni ngumu kumilikiwa na serikali 100 pasee coz ukianzisha kampuni ili ikue iwe ya kimataifa lazima uuze hisa. In china serikali inacontrol sera mipango usalama na uchumi kwa jumla ila soko ndio linaamua hatima ya kila kitu. Ambayo hiyo sio china tu hata marekan ukigundua kitu ambacho usalama wa nchi wakiona wanaweza kukiktumia kwa manufaa ya nchi kinakuwa cha nchi.
Hili la kwamba bidhaa za china haziuzwi ulaya kakwambia nani unatuona wote wajinga?
Ishu tu nikwamba china bidhaa anayoipeleka marekan ulaya na arabuni na afrika zinatofautiana ubora tu
Hakuna bara hapa duniani nchi hapa duniani ambayo hawatumii bidhaa kutokea uchina hakuna
Tena uache kutudanganya mzee uache
 
Kwamba hao uliowaorodhesha hapo ndio wanaweza kuuwangusha uchumi wa China kwa muunganiko pamoja na Israel?

Unaelewa unachokisema lakini?

China hii hii yenye economic espionage kali ambayo hata huyo muisrael mwenyewe anasubiri?
Kuna vijamaa hapa jf vikiishashiba vinaona vinaweza kutudanganya tu vikiamua
Yaani sijui wanatuchukuliaje hawa watu
Tena anaona kaongea yamaana kwel kwel mwenyewe😀
 
Wewe unafikiri wote ni mashekhe. Mashekhe wanarusha mawe uku wenzao wakiwachapa risasi na kufa. Na bado wanaendelea na uchokozi. Ngoja tuone wapalestina wakiamishwa moja kwa moja apo Gaza na hakuna mpuuuzi yeyote atakayefyatua mdomo na kuingilia kati. Mchina mpuuzi kaanza kujua dunia ya figisu juzi juzi. Katishiwa kuongezewa kodi katika bidhaaa akawa anapiga magoti kila siku. Wamemuaribi kampuni ya Huawei na ajafanya chochote
Zama za mawe kwa risasi hizo ziliishapita
Nakuhusiana na wapalestina kuhamishwa ghaza hilo endelea kuliota hivyo hivyo
Israhell kuwahamisha wapalestina ghaza na kuifuta hamas na kukomboa mateka wake hawezi na asahau
 
Hili la kwamba bidhaa za china haziuzwi ulaya kakwambia nani unatuona wote wajinga?
Ishu tu nikwamba china bidhaa anayoipeleka marekan ulaya na arabuni na afrika zinatofautiana ubora tu
Hakuna bara hapa duniani nchi hapa duniani ambayo hawatumii bidhaa kutokea uchina hakuna
Tena uache kutudanganya mzee uache
Bidhaa za china sio kopi za china wewe mang'aa. Wewe ushaona wapi gari made in china linaendeshwa ulaya kama sio hizo hizo za foreigner walizowekeza ndio wanazouza kwao
 
Unadhani kwanini wazungu wasiende kuushikilia uchumi wao ukawa mkubwa kama ama kuuzidi huo wa uchina
Ukitoa Americant nchi ipi nyengine ya wazungu inaishinda china kwa uchumi imara
Sasa hao wazungu wanaujinga gani wasishikilie uchumi wao ukawa kama wa uchina badala yake wanauacha wa uchina unakua kila leo
Nimewaambia google hapo mfano leo uone ukuaji wa uchumi wa china miaka hii mitatu na huko nyuma uone utofauti wake.
 
Bidhaa za china sio kopi za china wewe mang'aa. Wewe ushaona wapi gari made in china linaendeshwa ulaya kama sio hizo hizo za foreigner walizowekeza ndio wanazouza kwao
Kama unashindwa hata ku gugo pole sina tena lakukusaidia
Ulaya na america wananunua mpaka masofa kutokea uchina kama hujui
Mnapenda kukaririshwa
 
Kama unashindwa hata ku gugo pole sina tena lakukusaidia
Ulaya na america wananunua mpaka masofa kutokea uchina kama hujui
Mnapenda kukaririshwa
Nakuambia mchina ana bidhaa chache sana anaingiza soko la ulaya. Bidhaa zake original ila wanazozalisha mwekezaji wanaingiza. Cjakuambia hawaingizi kabisa nimesema chache sana. Nyingi ni za hao hao wazungu. Na ukiingia kwenye soko la hisa la Shanghai angalia namna wawekezaji walivyowekeza na namna serikali ya china inawavutia.
 
Nimewaambia google hapo mfano leo uone ukuaji wa uchumi wa china miaka hii mitatu na huko nyuma uone utofauti wake.
Utofauti wa ukuaji wa china nyuma na sasa unatofauti kweli

Ila tu kwakukuongeze sio uchina tu bali dunia nzima ndani ya miaka hii mitatu mpaka mitano mataifa mengi kama sio yote uchumi wao ulikua kwa kuchechemea au haukukua yakiwemo ya ulaya

Sababu kubwa wanazodai kwanza ilianza makoronya na ikifuatiwa na Ukraine na Russia war

Sasa kabla hujaudis ukuaji wa uchumi wa uchina twende kwanza kwenye ulaya na marekani halaf tufananishe na uchina
 
Nakuambia mchina ana bidhaa chache sana anaingiza soko la ulaya. Bidhaa zake original ila wanazozalisha mwekezaji wanaingiza. Cjakuambia hawaingizi kabisa nimesema chache sana. Nyingi ni za hao hao wazungu. Na ukiingia kwenye soko la hisa la Shanghai angalia namna wawekezaji walivyowekeza na namna serikali ya china inawavutia.
Sasa ulitegemea dunia hii ya leo ya free market uchina isitegemee wawekezaji kutokea nje au ulitegemea kipi?

Uchina hizo kopi unazosema anakopi ndio kazigeuza kua fursa mpaka kuwa sec kwenye nyanja ya uchumi

Mchina hakwepeki mzee yaani ruka weeee ila lazima lazima lazima utamtegemea tu uchina
 
Utofauti wa ukuaji wa china nyuma na sasa unatofauti kweli

Ila tu kwakukuongeze sio uchina tu bali dunia nzima ndani ya miaka hii mitatu mpaka mitano mataifa mengi kama sio yote uchumi wao ulikua kwa kuchechemea au haukukua yakiwemo ya ulaya

Sababu kubwa wanazodai kwanza ilianza makoronya na ikifuatiwa na Ukraine na Russia war

Sasa kabla hujaudis ukuaji wa uchumi wa uchina twende kwanza kwenye ulaya na marekani halaf tufananishe na uchina
Ulaya na marekani hizo nchi zilishakuwa so uchumi hauwez kukua kwa kiwango cha china au india au Ethiopia Chief. Zikikua sana kwa asilimia 1 au 2 sio zaid. Siujui uchumi unauelewaje. Ni lini ulaya au marekani imekuwa kwa asilimia 5 au 8 mara ya mwisho?
 
China ataweza figisu za wayahudi. Anafikiri marekani kuwakumbatia wayahudi anapenda. Ni kwa sababu wamejipenyeza katika siasa za Marekani. Inawalazimu Marekani awe anahusika kila inapotokea Israel kawasha moto uko mashariki ya Kati. Leo hiii China iliyoshindwa kumzuia Spika Nancy Pelosi asiende Taiwan 🇹🇼 na akaenda akaa siku moja na kuondoka na kuwaaacha wachina wakikata viuno kwenye bahari. Ndio wataweza kumzuia Myahudi ambae nyuma ya myahudi kuna USA 🇺🇸, Canada 🇨🇦, France 🇫🇷, Germany 🇩🇪, England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿, Italy 🇮🇹 na Japan. Na hata haawa warusi waliopo kwenye system wana asili ya kiyahudi. Na isitoshe bihashara anaowategemea kufanya nao kibiashara ndio hawo G7. Naona hanguko la uchumi la China limekaribia kama atajihusisha na siasa za mashariki ya kati.
Impact ya pelosi kwenda taiwan ni nini
 
Ulaya na marekani hizo nchi zilishakuwa so uchumi hauwez kukua kwa kiwango cha china au india au Ethiopia Chief. Zikikua sana kwa asilimia 1 au 2 sio zaid. Siujui uchumi unauelewaje. Ni lini ulaya au marekani imekuwa kwa asilimia 5 au 8 mara ya mwisho?
Nakuelewa sana na naelewa points yako
Ukisema ulaya haiwezi kukua kiuchumi unamaanisha ulaya kama euro (wanaotumia sarafu) ama unamaanisha nini
Nchi kama ureno na spain washafikia hio pick kiasi wasikue tena kama german nk

Uchina ina maendeleo mengi na makubwa sana kuliko mataifa mengi kama sio yote ya ulaya kwasasa je nae hajafikia hio level yakuwa hakui tena kiuchumi

Tunaiongelea uchina ambayo ipo ya pili kiuchumi duniani
 
Nakuelewa sana na naelewa points yako
Ukisema ulaya haiwezi kukua kiuchumi unamaanisha ulaya kama euro (wanaotumia sarafu) ama unamaanisha nini
Nchi kama ureno na spain washafikia hio pick kiasi wasikue tena kama german nk

Uchina ina maendeleo mengi na makubwa sana kuliko mataifa mengi kama sio yote ya ulaya kwasasa je nae hajafikia hio level yakuwa hakui tena kiuchumi

Tunaiongelea uchina ambayo ipo ya pili kiuchumi duniani
Uchina imekuwa sana lakini ndan ya china hasa ukienda huko vijijn wanamaisha hayana tofauti sana na kule kwetu vijijn ni miaka minne tu serikali ilitangaza imemaliza umasikin lakini bado mindset hazijaish bado maisha ya usasa. Mchina hata akija kwako kupanga. Hicho chumba analala na kufanya store na kila kitu Anafanya kama mbongo tu. Tofauti na mzungu. Pili mchina maisha yake yeye ni hela tu anataka wakati mzungu sio watu wa material thing's coz kwake anataka kuishi real life.
 
Sasa ulitegemea dunia hii ya leo ya free market uchina isitegemee wawekezaji kutokea nje au ulitegemea kipi?

Uchina hizo kopi unazosema anakopi ndio kazigeuza kua fursa mpaka kuwa sec kwenye nyanja ya uchumi

Mchina hakwepeki mzee yaani ruka weeee ila lazima lazima lazima utamtegemea tu uchina
Mchina hakwepeki sikatai hata mzungu humkwepi. ni kama urusi. Pamoja na waropa kumpiga vita lakini urusi inamiliki rasilimali karibu robo ya dunia huwez kumkwepa
 
Yaan ameshindwa kuichukua Taiwan akamiganie Iran. Uwe na wewe unafikiri. Ni vita gan china aliwah kupigana akashinda kwa uelewa wako.
China kapigana vita na India akashinda hebu we tupe US kawahi pigana na Taifa kama la India akashinda. Hio Taiwan anacheza naye Dana Dana hataki tu bado kumpiga.
 
Mchina hakwepeki sikatai hata mzungu humkwepi. ni kama urusi. Pamoja na waropa kumpiga vita lakini urusi inamiliki rasilimali karibu robo ya dunia huwez kumkwepa
Mzungu bila kutumia ujanja ujanja wa kuungana ungana ambae asingekwepeka ni marekani peke yake
Ila vitaifa vya kipuuzi puuzi kama croatia sijui sweden wengi hawa wangekua hawajulikanwi
 
Back
Top Bottom