China yasema inaiunga mkono Iran kulinda usalama na heshima yake

China yasema inaiunga mkono Iran kulinda usalama na heshima yake

Uchina imekuwa sana lakini ndan ya china hasa ukienda huko vijijn wanamaisha hayana tofauti sana na kule kwetu vijijn ni miaka minne tu serikali ilitangaza imemaliza umasikin lakini bado mindset hazijaish bado maisha ya usasa. Mchina hata akija kwako kupanga. Hicho chumba analala na kufanya store na kila kitu Anafanya kama mbongo tu. Tofauti na mzungu. Pili mchina maisha yake yeye ni hela tu anataka wakati mzungu sio watu wa material thing's coz kwake anataka kuishi real life.
Naomba nikusahihishe uchina hawakutangaza kuondoa umaskini kwanza tukubaliane hapa

Alichotangaza uchina nikupunguza maskini

Hili la suala la maisha vijinini kwa uchina kuwa puwa naunga mkono hoja
 
Kuna vijamaa hapa jf vikiishashiba vinaona vinaweza kutudanganya tu vikiamua
Yaani sijui wanatuchukuliaje hawa watu
Tena anaona kaongea yamaana kwel kwel mwenyewe😀
Kuna watu wana ushabiki wa kitoto sana lakini siwashangai sana maana wanachokiamini ni matokeo ya brainwashing ya western media propaganda....

Eti huyo US na washirika wake akiwemo Israel wanaweza kuiangusha China kiuchumi wanachekesha sana.... walileta Covid ika backfire na badala yake ikawapiga zaidi hao hao wazungu na mpaka leo kati ya mataifa ya west na china walioathirika zaidi kiuchumi ni West.

Sasa hivi hao hao West wako bize kupambana na mrusi wakiitumia Ukraine kama rubber stamp tu na bado wana struggle na mpaka sasa wamesha expose udhaifu wao kwa kiasi kikubwa sana, kumbuka npaka sasa hakuna aneyejua military strength ya mchina maana hajajiingiza kwenye mapigano yoyote yale.

Halafu eti kuna mmatumbi huko mtukurunga ameshiba viazi anakwambia eti kuiangusha china kiuchumi ni kazi rahisi.
 
Kama nyinyi pia mnavyopenda kumtukuza mtu kufikia kumuona kama Mungu.Muangalie mwenzako hapo juu.
adui wa ulaya ndo adui wa china pia , China anapingana na tamaduni za kiislam , anawaliwaza tu ili mdundwe vzr
 
Umejuaje nimetumia hisia wakati nimekuuliza tu swali ?

"Unasema uchumi wa China umeshikiliwa na wazungu"

Twende sawa kwanza kabisa China ni nchi ya kikomunisti pasina kujali wanaufuta kwa asimilia 100% ama laah hivyo moja kwa moja uchumi upo mikono mwa serikali sasa nataka uniambie ni asilimia ngapi ya wazungu wapo au wamiliki wa serikali ya China ?

FDI isikusombe na kuona umiliki wa uchumi upo kwa watu gani hata hivyo FDI yenyewe kwa kiasi kikubwa ni mataifa toka hapo hapo Asia hapa sijazungumzia uwekezaji wa ndani.

Twende na hayo niliyokuuliza huwa napenda napo jadiliana na mtu masuala kama haya tunaenda facts with facts.
elimu ya ccmu imekuharibu sana , china ni inayofuata ukomunist ulioboreshwa sio ule old communism
 
Kuna watu wana ushabiki wa kitoto sana lakini siwashangai sana maana wanachokiamini ni matokeo ya brainwashing ya western media propaganda....

Eti huyo US na washirika wake akiwemo Israel wanaweza kuiangusha China kiuchumi wanachekesha sana.... walileta Covid ika backfire na badala yake ikawapiga zaidi hao hao wazungu na mpaka leo kati ya mataifa ya west na china walioathirika zaidi kiuchumi ni West.

Sasa hivi hao hao West wako bize kupambana na mrusi wakiitumia Ukraine kama rubber stamp tu na bado wana struggle na mpaka sasa wamesha expose udhaifu wao kwa kiasi kikubwa sana, kumbuka npaka sasa hakuna aneyejua military strength ya mchina maana hajajiingiza kwenye mapigano yoyote yale.

Halafu eti kuna mmatumbi huko mtukurunga ameshiba viazi anakwambia eti kuiangusha china kiuchumi ni kazi rahisi.
Urusi ndo alianza ishambulia Ukraine mwaka 2014 kupitia waasi , pia Korona ilianzia China na sio Ulaya

Wewe ndo wale mnaodanganywa na viongoz wenu wabovu kua kila mapunguf yenu yamesababishwa na wazungu
 
Unadhani kwanini wazungu wasiende kuushikilia uchumi wao ukawa mkubwa kama ama kuuzidi huo wa uchina
Ukitoa Americant nchi ipi nyengine ya wazungu inaishinda china kwa uchumi imara
Sasa hao wazungu wanaujinga gani wasishikilie uchumi wao ukawa kama wa uchina badala yake wanauacha wa uchina unakua kila leo
akili zako ni sufuri UK ni sw na mkoa mmoja kule China ila wapo level moja na China , hapo jiongeze ujue kama ingekua vice versa bas Uk angekuwa anarun dunia bado
 
Urusi ndo alianza ishambulia Ukraine mwaka 2014 kupitia waasi , pia Korona ilianzia China na sio Ulaya

Wewe ndo wale mnaodanganywa na viongoz wenu wabovu kua kila mapunguf yenu yamesababishwa na wazungu
Ndio umeandika nini sasa hapa na wewe nae?? Hebu rudi ukajitawaze kwanza huko ulipotoka ndio uje ucomment hapa nyau wewe..

Kwanza unajua hata aliyeanzisha vugu vugu la kumtoa Viktor Yanukovych madarakani na kisha baadae kumpachika Petro Poroshenko? Na kwa nini unawaita waukraine waliokuwa ni anti-west kwamba wao ni waasi? Hivi ndivyo western media zilivyowapumbaza?

Kuhusu corona hapo ndio hujui chochote zaidi ya kile WHO walichokuwa wanakwambia na kusikia kwenye local news outlets, heri ukae kimya tu
 
China kapigana vita na India akashinda hebu we tupe US kawahi pigana na Taifa kama la India akashinda. Hio Taiwan anacheza naye Dana Dana hataki tu bado kumpiga.
Kapigana na India lin mkuu tukumbushe
 
Bidhaa za china sio kopi za china wewe mang'aa. Wewe ushaona wapi gari made in china linaendeshwa ulaya kama sio hizo hizo za foreigner walizowekeza ndio wanazouza kwao
Nimekufuatilia hoja zako mazungumzo yako na Bwana Utam nilipofika hapa nikagundua hauna unachojua
 
Nimewaambia google hapo mfano leo uone ukuaji wa uchumi wa china miaka hii mitatu na huko nyuma uone utofauti wake.
Na wewe kagoogle ukuaji wa uchumi wa Marekani na Ulaya ndani ya hii miaka 3 halafu tuje kulinganisha na wa China
 
Ulaya na marekani hizo nchi zilishakuwa so uchumi hauwez kukua kwa kiwango cha china au india au Ethiopia Chief. Zikikua sana kwa asilimia 1 au 2 sio zaid. Siujui uchumi unauelewaje. Ni lini ulaya au marekani imekuwa kwa asilimia 5 au 8 mara ya mwisho?
Mcha mbuzi wa uchumi 🤣
 
Kuna watu wana ushabiki wa kitoto sana lakini siwashangai sana maana wanachokiamini ni matokeo ya brainwashing ya western media propaganda....

Eti huyo US na washirika wake akiwemo Israel wanaweza kuiangusha China kiuchumi wanachekesha sana.... walileta Covid ika backfire na badala yake ikawapiga zaidi hao hao wazungu na mpaka leo kati ya mataifa ya west na china walioathirika zaidi kiuchumi ni West.

Sasa hivi hao hao West wako bize kupambana na mrusi wakiitumia Ukraine kama rubber stamp tu na bado wana struggle na mpaka sasa wamesha expose udhaifu wao kwa kiasi kikubwa sana, kumbuka npaka sasa hakuna aneyejua military strength ya mchina maana hajajiingiza kwenye mapigano yoyote yale.

Halafu eti kuna mmatumbi huko mtukurunga ameshiba viazi anakwambia eti kuiangusha china kiuchumi ni kazi rahisi.
Hehehehe kuna muda unawaangalia wanavyochangia halafu unaishia tu kuwapuuza

Kwasasa ili kuiangusha uchina kiuchumi njia pekee ni kuingia nayo vitani pekee tena sio kwa taifa moja wala mawili

Yaani uchina sio taifa lakawaida tena waache wajitoe akili tu

Upo sahuhi hapo kwa ukraine wanazidi kujidhalilisha maana wamekua dhaifu sana

Ila kama unavyosema sishangai sana MSM zimewabrain wash sana kwahio kuwatoa huko sio rahisi kabisa ila watatoka tuu

Tena wanavyojitoa ufahamu wanaieka israhell kwenye list ya mataifa ya kuishusha uchina kiuchumi huu si utoto huu
 
akili zako ni sufuri UK ni sw na mkoa mmoja kule China ila wapo level moja na China , hapo jiongeze ujue kama ingekua vice versa bas Uk angekuwa anarun dunia bado
Ukiambiwa huna akili unaweza ukabisha

Canada kubwa kuliko Uchina mbona haijafikia level ya Uchina kama rahisi ?

Ukiaa huna akili usichangie
 
Hapo jana waziri wa mambo ya nje wa China alifanya mazungumzo na waziri mwenzake wa mpito wa Iran ndugu Ali Bagheri Kani na kuweka wazi misimamo ya nchi yake katika mzozo unaofukuta hapo mashariki ya kati.
Katika mazungumzo hayo waziri huyo wa China aliweka wazi kuwa kuuliwa kwa kiongozi wa Hamas,Ismail Haniye ndani ya Iran ilikuwa ni kitendo cha kichokozi na ukiukwaji wa maazimio ya kimataifa ya kuheshimiana kati ya nchi na nchi.
Tamko hilo la China linakuja wakati Pentagon imeidhinisha kupelekwa kwa meli zaidi ya kivita katika eneo la mashariki ya kati pamoja na silaha mbali mbali za kivita kutokana na kitisho cha vita vya wazi kutokea baina ya Israel na majirani zake.

China supports Iran in defending security, says foreign minister

i support Iran too...kataa ushoga
 
Back
Top Bottom