Unafikiri US akiamua anashindwa kusupport vita zote hizo?US sasa sijui ishike wapi iache wapi, hapo Taiwan, kushoto Ukraine, kulia Middle East, usije kushangaa North Korea na yeye anaanza zake, lakini US ninavyowafahamu hapo watatumia diplomasia, hao jamaa huwa hawakurupuki, karata ikiwa ngumu huwa wanakuwa wana diplomasia wazuri sana.
Afrika pambaneni na njaa kwanza na maradhi. Mambo ya kigombea maeneo acheni hizo developed countryMe nashauri ule mlima Kilimanjaro inabidi tuuzunguke haraka kabla Kenya hawajapeleka jeshi Lao kufanya mazoezi mliman
US haitoweza, wakati huo huo wanapambania uchumi wao dhidi ya China...Unafikiri US akiamua anashindwa kusupport vita zote hizo?
🤣Hii ndio Vita ambayo hamtoeka udini maana kuna watu hamnazo humu jukwaani ,,
Daahh !! Walinikera Sana 😁🙌Mchina nilimtoa maanani kipindi kile alichochimba biti kuwa Spika wa bunge la Marekani asitue Taiwan. Wajuba wakatua, jamaa akaufyata kama sio yeye.
Usingenishambulia mimi na badala yake ungepinga hoja yangu kwa hoja sasa kwa kuwa huna hoja ndio na wewe unatoa shambulizi linaloonyesha kwamba wewe ndio una chuki za kidini.Yaani ww una udini na ukabila pia ,,roho mbaya na chuki hazikusaidii kitu mkuu hatujuani ila kwa comment zako zinaonyesha tabia yako
Ukristo ulionao haujakufunza upendo maana unachuki za kijinga kweli
Hao mnaowafagilia.Watu gani ?
Kweli kabisa hiki ni kipindi Cha kumchosha Marekani naAchukue tu Kisiwa chake muda ndiyo huu
Hawezi zitamsumbua, kwa mikakati Marekani wapo vizuri lazima vita nyingine hapo azipangue kwa diplomasia.Unafikiri US akiamua anashindwa kusupport vita zote hizo?
Watu wana mipango ya maendeleo ya miaka mia mbili ijayo wewe unaota eti miaka 50 wataanguka. Endelea kuota.Pole Sanaa,labda hujui historia,wayunani,waajemi,waamedi,warumi,Anatolia walitawala hii sukia na washaanguka,Sasa hivi wazungu wanafunga viwanda vya magari mchina anawapeleka sana na magari ya umeme Kwa bei rahisi,huku wao wakipigania ushoga china wanazalisha engineers 4m Kila mwaka utafika Kipindi Huwezi Jenga barabara,reli,nyumba and etc Bila mchina miaka 50 ijayo ulaya itaanguka vibaya sana tupo hapanaaaa eti lugha na PESA akii za li CCM hizi
Ila China hatokuwa akipambania uchumi wake akiwa vitani na Taiwan?US haitoweza, wakati huo huo wanapambania uchumi wao dhidi ya China...
Unapoteza muda kumbetia Mchina.Wapo mstari wa mbele mda huu.
🚨Update: Chinese PLA Army, Navy and Air Forces are surrounding Taiwan, cutting it off from the world! Tens of thousands of troops, hundreds of fighter jets and dozens of warships have been deployed….
Kwa usalama wa China,Taiwan inatakiwa kuwa chini yake.Jiulize kwanini Tanzania inang'ang'ania Zanzibar?Mmarekani kushirikiana na Taiwani anatengeneza mazingira ya kumchungulia China kirahisi!China ni Threat kwa Marekani kiuchumi,so US anatafuta namna ya kumuangusha!China anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.
... wananchi wa Burundi na Rwanda watasherehekea, kinyume na watawala wao!au tupate chiz wetu mmoja na sie tuseme burundi na rwanda zetu😂😂.. zinaingizwa kama mikoa Mipya
Mashaolini tunasubiri vitu vianze tuanze kushusha nondo za kibudhaa
Umejibu vema sana na kwa weledi mkubwa.. Huwa sikariri majina ya watuNauelewa vizuri sana toka kuanza kuchipukia ukomunisti China na kuanzishwa chama cha kikomunisti katika jamhuri ya China 1921 kitu ambacho Kuomitang walikuwa kinyume nacho.
Harakati za mapinduzi za wakomunisti, kuanzishwa kwa vita vya wenyewe toka miaka ya 1920s kwenda 1930s mpaka 1940s ilipo zaliwa jamhuri ya watu wa China ya wakomunisti Beijing na Jamhuri ya China kukimbizwa toka Nanjing China mpaka huko Taiwan mpaka leo hii wanaishi huko.
Unataka zaidi ?
Swali langu lipo pale pale taja hao matajiri asilimia zaidi ya 90 acha blah blah
... hata Russia kuivamia Ukraine ilikuwa mikwara tu!Hiyo ni mikwara tuu hakuna siku China itarusha hata kombora moja kuelekea Taiwan
Mwaka 2000 nilikuwa Taiwan.. Mikwara ilikuwa heavy mpaka ikabidi wageni tuondoke usiku kuelekea Japan
Kufika kule kuna Mjapan akasema matajiri wa china asilimia 90 ni wataiwan na ndio walio ibust China kiuchumi hivyo hawatakaa waiguse hiyo nchi.. Nyie kesho rudini Taipei kwa amani maana hakuna vita
Ni miaka 24 imepita China hajawahi kuigusa Taiwan ila kwa mikwara tu hawajambo
Dunia ina MWISHO!Nilijua karne ya 21 itakuwa karne ya watu wastaarabu bila mavita vita kumbe ni tofauti. Basi kumbe madikteta kama Hitler wanaweza kuibuka nao katika karne hii hii!
kwani lazima zanzibar iwe sehemu ya TanzaniaChina anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.