China yatuma ndege 38 za kijeshi mpakani mwa Taiwan

Bro hawa pro America wanachekesha Sana 🤣🤣
 
Hata Ukraine jimbo la luhansk na donestk marekan anatoa sapot ya kila aina na bado ngoma ngumu kutegemea msaada hakuwez dhamin usalama wako unatakiwa uwezo binafs msaada iwe ziada tu
Asante sana.

Marekani kwenye maneno anakupamba atakusaidia kikamilifu ila mwenye nguvu akikuvamia usitegemee Amerika akusaidie moja kwa moja labda kwenye vikwazo uchwara na kukuuzia silaha nyepesinyepesi
 
Ndicho tutakachokishuhudia kwa Taiwan endapo China alikamilisha hesabu zake
 
Siyo rahisi tena kwa china kuichukuwa taiwan na kuwa sehemu yake patawaka moto hapo asia maana marekani yuko upande wa taiwan na ana maslahi yake ya kijeshi
Kwan marekani hakua na maslahi US
 
China atumie njia aliyotumia Putin kuikamata Crimea, lakini hizi za kupeleka ndege ndani ya Taiwan italeta taharuki sana na sio njia yenye manufaa zaidi, itakuwa na hasara zaidi japo watafanikisha...

Watengeneze waasi wanaoikataa Taiwan, then Taiwan ikitumia nguvu, China iingilie kati, waasi wapewe vifaa vyote vya kivita kimya kimya, pia China iingize special force commandos kama Russia ilivyofanya Crimea...

Russia kwenye intelejensia ni mwisho wa reli, raisi tu mwenyewe ni former KGB...
 
tunawapa muda MKUU kote kutafikia huku TAIWAN haiwezi kutenganishwa na UCHINA yaani
 
Shida hao watu wenu wakianza kupigika mtasema marekani inavamia nchi za watu
 
Wenye hela zao wanajambajamba sembuse sisi???

“We’re all worried, very much, by a looming Cold War,” UAE presidential diplomatic adviser Anwar Gargash said Saturday at a conference in the capital, Abu Dhabi. “That is bad news for all of us because the idea of choosing is problematic in the international system, and I think this is not going to be an easy ride.”
 
Taiwan’s Foreign Minister Joseph Wu on Monday said Taiwan was preparing for conflict and would “fight to the end” if China was to attack its neighbour.

“I’m sure that if China is going to launch an attack against Taiwan,” he told the ABC. “I think they are going to suffer tremendously as well.”
 
Dah asee humu ndani watu wanachekesha sana.
Eti China haina nguvu ya kuichukua Taiwan.
Wengine wanakwambia Hong Kong imeporomoka kiuchumi kisa udikteta wa Jin Ping.
1)China kwa sasa ni taifa lenye nguvu kuliko watu wanavyofikiria.Kuna makala imewahi kuzungumziwa ya (Coming war in China with USA),ilizungumziwa na BBC pamoja na Aljazeera.USA zaidi ya miaka 60 amekua akijaribu kutengeneza washirika watakaomsaidia endapo atapigana na China na bado wamepiga mahesabu wameona bado hawana uhakika wa kuiangusha China wanahitaji washirika zaidi.
Kitaften kisiwa kinaitwa marshall islands kuna nukes USA imehifadhi pale kwaajili ya vita itakayotokea km endapo itatokea baina ya China na USA.
Rudini miaka ya 1950s China ilipoisaidia North Korea dhidi ya South Korea USA alivyoaibika mpk kutaka reconciliation baada ya kuona vita inamuelemea yeye na mshirika wake South korea.
Rudini hapo hapo kuna confrontation ya Jangsari ambapo wakorea kusini wengi walikufa na navy seal wengi wa USA kufa North korea ilisaidiwa kisilaha na kijeshi na China.
MSIICHUKULIE CHINA MANDEZI NYIE WATU.
SOMENI DOCUMENTARIES MFAHAMU.
Hiyo Taiwan China ikiamua ndani ya sekunde inadakwa.
Halafu kuna mtu anasema washirika wa China hawana nguvu.
Iran kila siku anamchezesha sindima USA pale middle east.
Russia unapozungumzia mataifa yenye nguvu hapa ulimwenguni hukosi kulitaja.
2)Hong Kong imeanguka kiuchumi baada ya China kuhamisha nguvu zake za uzalishaji Macau.
Sasa hivi Macau ndipo ilipo nguvu ya uzalishaji ya China.
Asa hv wanaelemewa Hong Kong matatizo kibao yanawakuta.Na siku China ikikata uzalishaji wa kila kitu huko HK ndio wataelewa kuwa nazi haiwezi shindana na jiwe.

CHINA IS THE UPCOMING SUPER POWER IFUATILIENI VIZURI ACHENI USHABIKI MAANDAZI.
 
wewe ndiyo ungelikuwa Rais wa marekani ungeliingiza nchi vitani kisa Drone 1 imetunguliwa?.
Ikiwa jibu ni ndiyo basi hupaswi hata kuwa kiongozi wa familia yako.

then wakati unaona Drone ni kitu cha thamani sana fikira black hawks ngapi na ma-Hamvee Us kayaacha fghanistan wakati anaondoka..
mzigo uliachwa Afghanistan jeshi letu hatuna na wameyaacha kwa wajahidina, sasa hivi wanajifunza kuyarusha.
 
Hao wavimba macho hawawezi kupambana na wazungu hata siku moja watachakazwa vibaya na hata wenyewe wanalijua hilo.

Pia kuna maelfu ya wanajeshi wa Marekani nchini Taiwan ambao wanasubiri China arushe hata manati akione kilichomnyoa kanga manyoya.
 
Bila kusahau wale majirani aliowapora visiwa na sehemu ya bahari,hawa wanasubiri China aivamie Taiwan na wao wakinukishe sababu wataona akimalizana na Taiwan atawafuata wao.
Hizo ni ndoto tu.
Kama walishindwa kutetea visiwa vyao viliponyakuliwa ndio wataweza kumtetea mwenzao kisa kavamiwa?
Acheni ushabiki maandazi ninyi!!
 
Hao wavimba macho hawawezi kupambana na wazungu hata siku moja watachakazwa vibaya na hata wenyewe wanalijua hilo.

Pia kuna maelfu ya wanajeshi wa Marekani nchini Taiwan ambao wanasubiri China arushe hata manati akione kilichomnyoa kanga manyoya.
China imechukua baadhi ya kilometa za maji za ufilipino na hiyo Taiwan yenyewe na kubeba visiwa juu.
USA ilifanya nini?
Rudi vita ya mgawanyo ya Korea USA kilimkuta nn alipojishaua kumsaidia South korea kurudisha Jangsari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…