Bro hawa pro America wanachekesha Sana 🤣🤣[emoji38][emoji38][emoji38]
Kama unategemea kwamba US ata wage a totally war na UCHINA kisa Taiwan unakosea sana yaan
Kubwa jamaa akianza kula kipigo hapo tutaanza kusikia kuhusiana na sanctions no more yaan
Hicho kitendo cha jana cjui juzi kilikua tangazo rasmi la vita yaan
Kuona vita yajumla ya UCHINA na US kwamgongo wa TAIWAN bado sana yaan na TAIWAN nisuala la muda tu itakua sehem ya UCHINA
Cjui wanakwamia wapi jamaa halaf cjui wanamchujuliaje yaan UCHINA wanamuona kama under dog heheBro hawa pro America wanachekesha Sana [emoji1787][emoji1787]
Asante sana.Hata Ukraine jimbo la luhansk na donestk marekan anatoa sapot ya kila aina na bado ngoma ngumu kutegemea msaada hakuwez dhamin usalama wako unatakiwa uwezo binafs msaada iwe ziada tu
Ndicho tutakachokishuhudia kwa Taiwan endapo China alikamilisha hesabu zake[emoji38][emoji38][emoji38]
Kama unategemea kwamba US ata wage a totally war na UCHINA kisa Taiwan unakosea sana yaan
Kubwa jamaa akianza kula kipigo hapo tutaanza kusikia kuhusiana na sanctions no more yaan
Hicho kitendo cha jana cjui juzi kilikua tangazo rasmi la vita yaan
Kuona vita yajumla ya UCHINA na US kwamgongo wa TAIWAN bado sana yaan na TAIWAN nisuala la muda tu itakua sehem ya UCHINA
Nisuala la muda tu mkuu yaanNdicho tutakachokishuhudia kwa Taiwan endapo China alikamilisha hesabu zake
Kwan marekani hakua na maslahi USSiyo rahisi tena kwa china kuichukuwa taiwan na kuwa sehemu yake patawaka moto hapo asia maana marekani yuko upande wa taiwan na ana maslahi yake ya kijeshi
tunawapa muda MKUU kote kutafikia huku TAIWAN haiwezi kutenganishwa na UCHINA yaaniChina atumie njia aliyotumia Putin kuikamata Crimea, lakini hizi za kupeleka ndege ndani ya Taiwan italeta taharuki sana na sio njia yenye manufaa zaidi, itakuwa na hasara zaidi japo watafanikisha...
Watengeneze waasi wanaoikataa Taiwan, then Taiwan ikitumia nguvu, China iingilie kati, waasi wapewe vifaa vyote vya kivita kimya kimya, pia China iingize special force commandos kama Russia ilivyofanya Crimea...
Russia kwenye intelejensia ni mwisho wa reli, raisi tu mwenyewe ni former KGB...
NATO wanakukaribisha ikiwa umemaliza migogoro yako ili wasionekane kuwa ni wakorofi.Hao wachina wawaige warusi walivyo kwapua jimbo crimea kutoka ukrane. Wakizubaa hao taiwan watajiunga nato.
China ka advance but me uwa naona mashaka makubwa kwa watu wanaibeza nguvu ya Us katika nyanja ya vita.
Us hawana gwalide kuonyesha vifaa vyao ila vita ikiaanza tutaona mengi ambayo macho hayajawai ona.
Dah asee humu ndani watu wanachekesha sana.Taiwan inasema imeshuhudia ndege 38 zikiingia kwenye eneo lake la ulinzi
2 Oktoba 2021
Uvamizi huo wa Ijumaa uluihusisha ndege za kivita aina ya jet J-16 jets (kama zinavyoonekana kwenye picha hii ya maktaba), Taiwan imesema
Taiwan imeripoti kuwa ndege za kijeshi za Uchina 38 zimepaa na kuingia eneo lake la ulinzi la anga siku ya Ijumaa- ukiwa ni uvamizi mkubwa zaidi kuwahi kufanywa na Beijing hadi leo.
Wizara ya ulinzi ilisema kuwa ndege hizo, ikiwa ni pamoja na zana zenye uwezo wa kulipua mabomu, ziliingia katika eneo hilo kwa awamu mbili.
Taiwan ilijibu kwa kuzuwia haraka uvamizi huo kwa jeti zake na kutuma mifumo yake ya makombora angani.
China inaiona Taiwan yenye demokrasia kama jimbo lililojitenga, lakini Taiwan inajiona kama taifa huru.
Taiwan imekuwa ikilalamika kwa zaidi ya mwaka mmoja juu ya harakati za kijeshi za mara kwa mara za vikosi vya anga vya China karibu na kisiwa hicho.
"China imekuwa ikifanya uchokozi wa kijeshi, na kuharibu amani ya eneo ," Waziri mkuu wa Taiwan Premier Su Tseng-chang aliwaambia waandishi Jumamosi.
Serikali ya Beijing - ambayo inaadhimisha miaka 72 tangu kuanzishwa kwa Jamuhuri ya watu wa China- hadi sasa haijatoa kauli yoyote kuhusu tukio hilo.
Lakini awali ilisema kwamba safari kama hizo za anga zilikuwa ni za kulinda nchi na pia yalilenga "njama "baina ya Taiwan na Marekani.
Katika taarifa yake, wizara ya ulinzi ya Taiwani ilisema kuwa ndege 25 za kikosi cha jeshi la People's Liberation Army (PLA) ziliingia katika eneo la kusini -magharibi kama sehemu ya vikosi vya ulinzi ya utambuzi wa eneo (ADIZ) wakati wa saa za mchana, na kupaa karibu na visiwa vya Pratas.
Eneo la utambuzi wa kijeshi ni eneo lililoko nje ya eneo la nchi na ni eneo la anga la kimataifa - lakini ni eneo ambalo ndege ya kigeni bado inatambuliwa, kufuatiliwa, na kudhibitiwa kwa maslahi ya usalama wa taifa.
Ni eneo linalojitangaza na kiufundi linasalia kuwa eno huru la anga la kimataifa.
hii ilifuatiwa na wimbi la pili la ndege 13 za China katika eneo hilo hilo Ijumaa jioni. Zilipaa juu ya maji kati ya Taiwan na Ufilipino
Wizara ilisema kuwa ndege ya Kichina zilikuwa pamoja na zana za mabomu nne aina ya H-6 , ambazo zina uwezo wa kufanya mashambulio ya silaha za nyuklia, pamoja na ndege ya kuzuwia mashambulio yanayotoka kwenye manuari za kijeshi.
Mara kwa mara Beijing hufanya uvamizi wa aina hiyo kuelezea kutofurahishwa kwake na kauli zilizotolewa na Taiwan.
Haijafahamika nini kilichopsababisha uvamizi wa hivi karibuni
Maelezo zaidi juu ya mzozo baina ya Taiwan na China
Yapi maoni yako?
- Kwanini China na Taiwan zna uhusiano mbaya? China na Taiwan ziligawanyika tangu vilipotokea vita vya wenyewe kwa wanyewe katika miaka ya 1940, lakini Beijing inasisitiza kuwa kisiwa hicho kitarejeshwa kwake wakati mmoja, kwa nguvu iwapo itakuwa lazima.
- Taiwan inatawaliwa vipi? Kisiwa hicho kina katiba yake, viongozi waliochaguliwa kidemokrasia, na takriban wanajeshi 300,000 na vikosi vya usalama.
- Nani anaitambua Taiwan? Ni nchi chache tu zinazoitambua Taiwan. Wengi wanaitambua serikali ya Beijing badala yake. Marekani haina uhusiano rasmi na Taiwan lakini ina sheria inayoipasa kuipatia uwezo wa kujilinda
wewe ndiyo ungelikuwa Rais wa marekani ungeliingiza nchi vitani kisa Drone 1 imetunguliwa?.Hakuna nchi hapo itakubali kuingizwa kwenye mgogoro wa moja kwa moja na China kisa Taiwan, unafikiri wao hawajui madhara watakayoyapata?
Japan, SK n.k hawawezi nunua vita sio ya kwao usijidanganye mkuu..., tena Japan ndio kabisaaa hana huo muda na hataki vita...
Marekani ana base ngapi middle east? kwa nini hawakuzitumia hizo base kujibu mashambulizi walioahidi baada ya Iran kupiga zile kambi zao 2 Iraq?
hakuna nchi yeyote ingetaka kununua vita na Iran, yaani nchi yako iwe ndio uwanja wa vita, yeye kwake wanakula raha... kwa accuracy ya zile kombora za Iran, endapo Saudia angeingilia kati, basi Iran angepiga sehemu yeyote ile aitakayo, hata Israel mwenyewe aliufyata... tusiongelee ushabiki ndugu zangu...
Hizo ni ndoto tu.Bila kusahau wale majirani aliowapora visiwa na sehemu ya bahari,hawa wanasubiri China aivamie Taiwan na wao wakinukishe sababu wataona akimalizana na Taiwan atawafuata wao.
China imechukua baadhi ya kilometa za maji za ufilipino na hiyo Taiwan yenyewe na kubeba visiwa juu.Hao wavimba macho hawawezi kupambana na wazungu hata siku moja watachakazwa vibaya na hata wenyewe wanalijua hilo.
Pia kuna maelfu ya wanajeshi wa Marekani nchini Taiwan ambao wanasubiri China arushe hata manati akione kilichomnyoa kanga manyoya.