The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,835
- 3,266
Ni kweli mkuu Ukrane alikuwa haja saini kuwa member wa NATo kwa kipindi kile ndo kwanza alikwa member mpya wa EU.Wakati RUSSIA inaichukua CRIMEA ilitumia weakness za biden pia!?
Siwakubali US ila huyu biden mnamuonea sana yaan