China yatuma ndege 38 za kijeshi mpakani mwa Taiwan

China yatuma ndege 38 za kijeshi mpakani mwa Taiwan

[emoji1787][emoji1787] bila shambulizi ilo dunia isingelijua athali za nuclear ebu fikiria kuelezea athali za nuclear kwa maneno matupu tu bila mfano?.hakuna ambae angejali ila mfano hai tunao ndiyo maana inatakiwa wenye akili wamiliki hayo madude.
alafu unaanzia wapi kuilaum Us katika shambulizi ilo.
Japan katia mguu ndani ya viunga vya Us, kafanya uharibifu mkubwa, maelfu ya raia wakafa.
ila ajabu akarudi nyumbani kwake akaendelea kufanya mishe zake as if hajaharibu kitu kwa jirani.
Yaan unaenda kwa Jiran yako Mahamudu unakuta Familia yake unapiga familia unaua mifugo yake then unashusha chungu cha ugali alafu unarudi kulala kwenye banda lako na mlango unaegesha bila kitasa.. unashindwa kuwaza kuwa japo jamaa ni muoga na dhaifu anaweza beba jiwe na kukutwanga la kichwa ubongo umwagike!! [emoji1787][emoji1787].
Robert kiyasoka ni mmarekani mwenye asili ya Japan ila katika ili uwa anailau Japan kwa ujinga ilioufanya.
Ss ulitaka akawape pesa wakat watu wapo vitani
Kama aliweza kuipiga JAPAN hashindwi kuipiga nchi yeyote
IRAN ndio anazonyuklia facility waka deal nazo tu hakuna shida
Kama wao wanaakili nampaka IRAN kama anamiliki ujue anaakili ndio maana anamiliki
Mbona nyie huko kwenu usagara mmeshindwa kumiliki MKUU[emoji16][emoji38][emoji12]
 
China ka advance but me uwa naona mashaka makubwa kwa watu wanaibeza nguvu ya Us katika nyanja ya vita.
Us hawana gwalide kuonyesha vifaa vyao ila vita ikiaanza tutaona mengi ambayo macho hayajawai ona.
Mrusi kamtekenya vya kutosha hajibu mapigo.......toka US awe superpower hajapigana na taifa kubwa wanalolingana nalo kinguvu ....na hadi leo anaogopa kupigana na nchi ambayo anaona inauwezo pia wa kumtwanga kwake ....vita zake nyingi ni kwa kutumia proxies au kuvamia vitaifa vidogo....mrusi kaibeba Crimea wameufyata kimya wamebaki wanabweka tu........Mchina anaichukua Taiwan ni muda tu
 
Mkuu nenda kasome historia vyema...
Soviet akitokea mashariki huku USA,UK na France wakitokea magharabi wanashirikiana kuigawana Germany, Soviet ndiye wa kwanza kuingia Germany japo alikuwa peke yake huku wenzie akina USA,Fance na UK wakitokea magharibi kwa pamoja wakisaidizana kumkabili Hitler....
USA na wenzie walimkuta tayari Soviet amefika Berlin na ameweka bendera yake, yakafanyika mazungumzo waigawane Berlin tokana kwamba ni sehemu yenye maslahi, kwa busara za msovieti akakubali, ndipo ukapigwa ukuta wa Berlin ukiwatenganisha na hapo ndipo ikatokea West Germany chini ya US na wenzie na East Germany chini ya Soviet...

Huko kusema USA ametuokoa ni kusikiliza historia za vijiweni pasipo kusoma, Nguvu ya Russia usiichukulie poa, huyo ndiye kasababisha NATO iwepo kwa kuogopwa...
Russia aliwaambia toka mwanzoni akina US na Europe kwamba Hitler pasipo kuungana hawawezi kumkabili, jamaa wakamtenga apambane na hali yake, eti kisa ni mkomunisti...
Cha ajabu wao kujiona ni wababe wanaingia Berlin Ikulu kuna bendera ya msovieti amekaa ndani akipata Al kasusu huku akipeperusha bendera yake, walimnyooshea mikono Russia...

Russia walikua na akili sana, Hitler asingetumia muda mrefu kiasi hiko kukabiliwa, Russia ndiye alisema mwanzoni kabisa kwamba washirikiane kumkabili, naweza sema intelejensia yao ilikuwa inatisha...
Kiherehere cha France kwenda kumsaidia Poland baada ya kuvamiwa na Berlin, eti akajifanya yeye ni mbabe, alipigwa akafuatwa mpaka Paris, alibeza maneno ya Soviet, France ametawaliwa na Germany kwa upumbavu wao kumpuuza Soviet...

Sema hivi pasipo USA, France na UK zingekuwa koloni la Germany lakini sio dunia mzee, nina mengi ya kuongea niishie hapo....
Wengi hawaelewi haya mambo ,wamemezeshwa historia za darasani tu na za ma muvi ambazo ni propaganda za haohao wa magharibi
 
Mrusi kamtekenya vya kutosha hajibu mapigo.......toka US awe superpower hajapigana na taifa kubwa wanalolingana nalo kinguvu ....na hadi leo anaogopa kupigana na nchi ambayo anaona inauwezo pia wa kumtwanga kwake ....vita zake nyingi ni kwa kutumia proxies au kuvamia vitaifa vidogo....mrusi kaibeba Crimea wameufyata kimya wamebaki wanabweka tu........Mchina anaichukua Taiwan ni muda tu
ni nani aliyekuambia kuwa Us alikuwa ana hand over responsibility dhidi usalama wa cremia?.
Crimea ni nini kwa Us?.
ikiwa Russia mbabe akairudishe kwa nguvu Alaska aliyoiuza kwa dola 100.
 
ni nani aliyekuambia kuwa Us alikuwa ana hand over responsibility dhidi usalama wa cremia?.
Crimea ni nini kwa Us?.
ikiwa Russia mbabe akairudishe kwa nguvu Alaska aliyoiuza kwa dola 100.
Kauza kwani alipokonywa? Na ajicheki asije mjapani nae akamgeuka alipize kisasi....maana mjapani alikubali kuufyata kwasababu hakua na option ila kwa sasa mambo yanabadilika USA kawa mchumba tu sio kama zamani, sahivi anapapasika vizuri tu
 
ni nani aliyekuambia kuwa Us alikuwa ana hand over responsibility dhidi usalama wa cremia?.
Crimea ni nini kwa Us?.
ikiwa Russia mbabe akairudishe kwa nguvu Alaska aliyoiuza kwa dola 100.
Ww jamaa bana[emoji38][emoji28][emoji16][emoji113][emoji113]
Sasa sehem kashaiuza unataka akaichukue kwan alipokonywa
 
Kauza kwani alipokonywa? Na ajicheki asije mjapani nae akamgeuka alipize kisasi....maana mjapani alikubali kuufyata kwasababu hakua na option ila kwa sasa mambo yanabadilika USA kawa mchumba tu sio kama zamani, sahivi anapapasika vizuri tu
sasa Cremia ni sehemu ya Us hata uone ni wajibu wa Us kuzuia Russia alichokifanya?.
 
Ni wakati wa New World Order

It's said that Presidential Candidate must be very careful in selecting a running mate, in case they are elected.

At any Moment, a vice president is Just One heartbeat away from becoming the president of the United States of America - The most Powerful position in the World.

Wakati ambao Dunia itaongozwa na Mwanamke!
Nasikia jamaa kiafya hayuko vzr. Kwamba soon yule mama atakuwa full manyota... Na ndio hakuna rangi tutaacha kuona
 
Ww jamaa bana[emoji38][emoji28][emoji16][emoji113][emoji113]
Sasa sehem kashaiuza unataka akaichukue kwan alipokonywa
🤣🤣huyo kasema Russia anaweza fanya chochote coz ni mbambe. sasa ajaribu hivyo ili tuone huo ubabe wake.
ikitokea umemuuzia mtu heka 6 za shamba la miti kwa thamani ya elfu 10 na mtu huyo ubavu unamzidi upo over everything juu yake nivipi ushindwe kwenda rudisha shamba lako kwa tenk? na unahisi kabisa alikuuingiza kingi, thamani ya kitu ulichomuuzia hakiendani na pesa aliyokupa!! .
😎😎
 
[emoji1787][emoji1787]huyo kasema Russia anaweza fanya chochote coz ni mbambe. sasa ajaribu hivyo ili tuone huo ubabe wake.
ikitokea umemuuzia mtu heka 6 za shamba la miti kwa thamani ya elfu 10 na mtu huyo ubavu unamzidi upo over everything juu yake nivipi ushindwe kwenda rudisha shamba lako kwa tenk? na unahisi kabisa alikuuingiza kingi, thamani ya kitu ulichomuuzia hakiendani na pesa aliyokupa!! .
[emoji41][emoji41]
Ww unaijua thamani ya Alaska kuliko RUSSIA [emoji12][emoji16][emoji113]
 
Ww unaijua thamani ya Alaska kuliko RUSSIA [emoji12][emoji16][emoji113]
kwa hiyo Russia hajui thamani ya Alaska? ardhi yake na njia muhimu ikitokea vita atapitisha vifaru vyake kuingia Us, uthamani huo Russia haujui, ila at the same time unataka Us ajue thamani ya jimbo la cremia kitu ambacho hakimuhusu hana gharama nacho ila unataka Us aingie vitani na Russia, asipoingia vitani inakuwa ni sababu ya kuitwa Coward😂🙏🙏.
 
sio yake ila wana Treaty Taiwan.
Mtu anawapapasa kalio kila siku. ..... anawatumia mesej wajipange....mtu ameingiza hadi ndege zake kwenye anga lako we bado unabwabwaja tu anadhani alieingiza hizo ndege ni Iraq ama Afghanistan anaowaonea kila siku? Muda unakuja Taiwan inachukuliwa kama ilivyochukuliwa hongkong mtu akileta chokochoko anatandikwa tu.....kidume kaanza haya wakukapaswa toeni majibu acheni ngonjera
 
ni nani aliyekuambia kuwa Us alikuwa ana hand over responsibility dhidi usalama wa cremia?.
Crimea ni nini kwa Us?.
ikiwa Russia mbabe akairudishe kwa nguvu Alaska aliyoiuza kwa dola 100.
Crimea ilikua part ya Ukraine ambayo ni mwanachama wa Nato...hio Nato inaundwa na huyo marekani na mashoga zake kadhaa wa huko ulaya.....Mrusi kaibeba crimea na sehem ya Ukraine ambae ni mwanachama wa Nato na hawajamfanya kitu mrusi zaidi tu ya kuimba taarabu
Screenshot_20211005-120826_Samsung Internet.jpg
 
Crimea ilikua part ya Ukraine ambayo ni mwanachama wa Nato...hio Nato inaundwa na huyo marekani na mashoga zake kadhaa wa huko ulaya.....Mrusi kaibeba crimea na sehem ya Ukraine ambae ni mwanachama wa Nato na hawajamfanya kitu mrusi zaidi tu ya kuimba taarabuView attachment 1963703
Ukraine amekuwa akiomba kujiunga na nato for almost 15 years(sijui kwasasa) sasa wewe habari yakuwa cremia ilimegwa wakat Ukraine ikiwa ndani ya nato umezitoa wapi?.

Screenshot_20211005-115713_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom