ChinaTech: Marekani iko nyuma sana kwa China katika nishati ya nyuklia

ChinaTech: Marekani iko nyuma sana kwa China katika nishati ya nyuklia

Inategemea mlinunua wapi hizo mashine zenu. Mbona migodi mingi wanatumia concrete mixer na water pump Made in China hawalalamiki. Mtakuwa mlipigwa.

Hata kampuni ngyingi za ujenzi zinatumia za Kichina na kazi zinafanyika vizuri tu. Nyinyi mlitapeliwa dunia ya biashara ina mengi watu wenu wa procurement na ubora wa bidhaa walichemka

Machines za China zinatumika hadi kwenye migodi sehemh mbalimbali duniani it means zimefikia vigezo vya ISO
Nimekuambia Barrick Bulyanhulu wamepiga marufuku hizo mashine za kichina na nimeshaeleza sababu za kuzipiga marufuku na sitaeleza tena hapa.

It's obvious that the Chinese products have no name for quality but they gain easy access to many global markets just because of their low price, that's all.
 
Kinachoitesa China ni kwamba bado ina mentality ya kimaskini na ni kama mafanikio wanayopata wanakuwa hawaamini kama ni wao. Ndo maana wamekuwa wa kujilinganisha na nchi zilizoendelea ambazo kwa sasa zinafanya mambo yake kimya kimya kwa kulingana na mahitaji ya watu wake ambao wana vipato vya juu tofauti na China.
Sio kwamba China wanajitangaza nchi za wenzetu wanapofanya research institutions zao zinakuwa zina-publish scientific research paper na ndio maana innovations ikifanyika inajulikana worldwide na inakuwa rahisi kulinda Intellectual Property rights

Kwa mfano hiyo habari ya China kuja na tech ya 4th generation nuclear reactor imeandikwa na Al Jazeera na kuna sehemu na wao wamechukua info kutoka REUTERS zote hizo sio media za China
 
Hapa hatuzungumzii mabomu ya nyuklia, tunazungumzia matumizi ya amani ya nyuklia yaani kuzalisha nishati.

Kiteknolojia Marekani iko nyuma ya China kwa miaka 10 hadi 15 katika nishati ya nyuklia kwa sasa.

Kwa nini?

China wamekuja na teknolojia mpya (innovation) ya kwanza duniani iitwayo Fourth-Generation Nuclear Reactors. Vinu hivi vinatumia gesi kupoozea badala ya maji yenye presha kama ilivyo kwa generations zilizopita
.​

View attachment 3019306

Generation IV

Generation IV reactors include gas-cooled fast reactors (GFR), lead-cooled fast reactors (LFR), molten salt reactors (MSR), sodium-cooled fast reactors (SFR), supercritical-water-cooled reactors (SCWR), and very high-temperature reactors (VHTR).

Teknolojia hii imekuwa suluhusho la tatizo la muda mrefu la ukosefu wa usalama katika vinu vingi vya nyuklia duniani.

Faida zingine za Generation 4 Nuclear Reactor:
  • Imepunguza gharama na muda wa kuunda kinu na kuanza matumizi.
  • Imepunguza taka sumu zinazotokezwa na nyuklia.
  • Imeongeza usalama na ni yenye ufanisi zaidi.
  • Imeweka msingi mzuri wa mageuzi ya nishati ya nyuklia.


Kinu cha kwanza duniani cha Generation 4, Shidao Bay High kilizinduliwa huko China Dec 06, 2023. High Temperature Gas-cooled Reactor (HTGR)
View attachment 3019316


Hivi sasa China inaendesha vinu 55 vya nyuklia, ikiwa ni pamoja na hiko cha Shidao Bay-High, na vinu 27 vya ziada vinajengwa kwa wakati mmoja.

Hii inaiweka China katika mstari wa mbele katika upanuzi wa nishati ya nyuklia, kupita mataifa mengine katika miradi inayoendelea ya ujenzi wa vinu vya nyuklia

Kwa wastani kinu cha nyuklia nchini China kinachukua muda mfupi ili kianze rasmi kuzalisha nishati - kwa kasi zaidi kuliko nchi zingine nyingi.

Marekani imejenga vinu viwili pekee katika miaka 10 iliyopita, ambavyo vyote vilitumia miaka mingi na mabilioni ya dola ya bajeti
.

CREDIT: US falling far behind Chiana in nuclear power, report says
Miaka 20 ijayo nchi zilizojipambanua kama nchi za kijamaa zitakwenda kasi sana kimaendeleo kutokana na watu wake kuwa na juhudi kubwa katika kazi na ubunifu na uzalendo,utu na maadili kuliko nchi za Kibepari. Ni wazi kuwa nchi za kibepari zimejenga ubinafsi na unyama jambo linalowaumiza wanadamu wengi kwa uroho wa watu wachache wasiokua na chembe ya kuridhika hata wakipewa mali zilote za Dunia watataka wapewe na sayari nyingine. Hafai kuishi peponi mana watataka kiti cha enzi kama Lusifer au shetwani.

Tanzania ni miongoni mwa nchi zitakaziinuka kiuchumi kwa kasi endapo itafanikiwa kuwaondoa mawakala wachache wa shetani waliopo kwa sasa katika viti vya ofisi za umma. Rasilimali zilizopo ni za Mwenyezi Mungu aliwaumbia watu wote waishi kwa amani na klfuraha ya moyo huku wakifurahia haki na usawa katika kufaidi huduma za Afya ,Elimu , na mahitaji ya msingi ya binadamu . Ziada ya hapo mtu ataipata kwa juhudi binafsi kama kujitegemea zaudi katika biashara. Lakini sio kukwapua rasilimali za umma na kuhamishia kwenye familia za watawala wachache .
 
iaka 20 ijayo nchi zilizojipambanua kama nchi za kijamaa zitakwenda kasi sana kimaendeleo kutokana na watu wake kuwa na juhudi kubwa katika kazi na ubunifu na uzalendo,utu na maadili kuliko nchi za Kibepari
Baadhi ya wachangiaji kwenye huu uzi hawataki huu ukweli
 
Nimekuambia Barrick Bulyanhulu wamepiga marufuku hizo mashine za kichina na nimeshaeleza sababu za kuzipiga marufuku na sitaeleza tena hapa.
NI wao wameamua kupiga marufuku hilo halitamuathiri hata kidogo manufacturer wa hizo mashine
 
FAW wanatumia engine za Weichai ambazo ni China based

Kama ulikuta engine na gear box ni ya Volvo basi waliipachika tu
Unajua watu mnakuwa na ubishi usio na maana wakati ni ukweli ulio dhahiri kwamba China ni taifa linaloagiza teknolojia kutoka nje kwa sababu yenyewe haina teknolojia.

Kuwa na tekinolojia sio mchezo ni kipawa ambacho nchi chache mno inacho na hazizidi labda nchi tano. Mataifa mengi, China ikiwemo, ni mataifa ambayo yanaweza tu kununua hiyo teklonojia au kuiba ndipo waipate na kuitumia.


Pia elewa kwamba hata wale waturuki wanaotengeneza reli ya SGR hawataki kabisa mashine za kichina labda hulifahamu na hilo.
 
It's obvious that the Chinese products have no name for quality but they gain easy access to many global markets just because of their low price, that's all.
Thats ur opinion

Large number of factories in China now manufacture goods that match western quality standards and sometimes even exceed them both high tech and high quality
 
Inategemea mlinunua wapi hizo mashine zenu. Mbona migodi mingi wanatumia concrete mixer na water pump Made in China hawalalamiki. Mtakuwa mlipigwa.

Hata kampuni ngyingi za ujenzi zinatumia za Kichina na kazi zinafanyika vizuri tu. Nyinyi mlitapeliwa dunia ya biashara ina mengi watu wenu wa procurement na ubora wa bidhaa walichemka

Machines za China zinatumika hadi kwenye migodi maeneo mbalimbali duniani it means zimefikia vigezo vya ISO
Mkuu tukizungumza suala zima la machines, ulaya hawana mpinzani unless tutake tu ubishani.
 
Unajua watu mnakuwa na ubishi usio na maana wakati ni ukweli ulio dhahiri kwamba China ni taifa linaloagiza teknolojia kutoka nje kwa sababu yenyewe haina teknolojia.

Kuwa na tekinolojia sio mchezo ni kipawa ambacho nchi chache mno inacho na hazizidi labda nchi tano. Mataifa mengi, China ikiwemo, ni mataifa ambayo yanaweza tu kununua hiyo teklonojia au kuiba ndipo waipate na kuitumia.


Pia elewa kwamba hata wale waturuki wanaotengeneza reli ya SGR hawataki kabisa mashine za kichina labda hulifahamu na hilo.
Mkuu hiyo ni joint venture hilo ni jambo la kawaida kwa haya makampuni makubwa kibiashara. Hiyo ni means ya kuongeza wigo wa biashara

FAW ni kiwanda kimeanzishwa tangu 1953 jiulize kabla ya hapo walikuwa wanatumia engine gani?

Maana hiyo joint venture kati ya VOLVO na FAW ni ya miaka ya 2000s

Usishangae kuna joint venture nyingi tu mfano kati ya ya FAW-Volkswagen, FAW-GM, FAW-Toyota

Hebu ongeza uelewa kwanza hapa

A joint venture: is a strategic partnership where two or more companies develop a new entity in order to collaborate on a specific project or venture.
 
Hapa hatuzungumzii mabomu ya nyuklia, tunazungumzia matumizi ya amani ya nyuklia yaani kuzalisha nishati.

Kiteknolojia Marekani iko nyuma ya China kwa miaka 10 hadi 15 katika nishati ya nyuklia kwa sasa.

Kwa nini?

China wamekuja na teknolojia mpya (innovation) ya kwanza duniani iitwayo Fourth-Generation Nuclear Reactors. Vinu hivi vinatumia gesi kupoozea badala ya maji yenye presha kama ilivyo kwa generations zilizopita
.​

View attachment 3019306

Generation IV

Generation IV reactors include gas-cooled fast reactors (GFR), lead-cooled fast reactors (LFR), molten salt reactors (MSR), sodium-cooled fast reactors (SFR), supercritical-water-cooled reactors (SCWR), and very high-temperature reactors (VHTR).

Teknolojia hii imekuwa suluhusho la tatizo la muda mrefu la ukosefu wa usalama katika vinu vingi vya nyuklia duniani.

Faida zingine za Generation 4 Nuclear Reactor:
  • Imepunguza gharama na muda wa kuunda kinu na kuanza matumizi.
  • Imepunguza taka sumu zinazotokezwa na nyuklia.
  • Imeongeza usalama na ni yenye ufanisi zaidi.
  • Imeweka msingi mzuri wa mageuzi ya nishati ya nyuklia.


Kinu cha kwanza duniani cha Generation 4, Shidao Bay High kilizinduliwa huko China Dec 06, 2023. High Temperature Gas-cooled Reactor (HTGR)
View attachment 3019316


Hivi sasa China inaendesha vinu 55 vya nyuklia, ikiwa ni pamoja na hiko cha Shidao Bay-High, na vinu 27 vya ziada vinajengwa kwa wakati mmoja.

Hii inaiweka China katika mstari wa mbele katika upanuzi wa nishati ya nyuklia, kupita mataifa mengine katika miradi inayoendelea ya ujenzi wa vinu vya nyuklia

Kwa wastani kinu cha nyuklia nchini China kinachukua muda mfupi ili kianze rasmi kuzalisha nishati - kwa kasi zaidi kuliko nchi zingine nyingi.

Marekani imejenga vinu viwili pekee katika miaka 10 iliyopita, ambavyo vyote vilitumia miaka mingi na mabilioni ya dola ya bajeti
.

CREDIT: US falling far behind China in nuclear power, report says


Waingie Taiwan waone! wanaongea sana ni vita gani China imepigana! ni waoga waoga sana hao
 
Pia elewa kwamba hata wale waturuki wanaotengeneza reli ya SGR hawataki kabisa mashine za kichina labda hulifahamu na hilo
Wachina haohao wamesaini deal la kumalizia km 506 kwenye hiyohiyo SGR ya Mturuki, $2.2-billion contract

Na niliona Waturuki wanatumia trucks za Kichina, HOWO. Sijui kama zilifikia quality walizokuwa wanataka hao Waturuki 😊

Kwenye game la reli, high speed railway, SGR, locomotives Mturuki anangoja sana kwa Mchina hata akatae mashine za Kichina
 
Kuna Shipyard ya China iitwayo Jiangnan Iko Shanghai , muda Huu inatengeneza MELI vita 13 ,Kwa wakati Mmoja.


Sasa hiyo ni Shipyard Moja tu.
Uko sahihi. Picha ya satellite inaoonyesha hivyo meli vita 13 ziko yard zinaundwa

052-DL destroyers: 4
055-cruisers: 2
054A-frigates: 2
075-amphibious assault ship: 1
076-amphibious assault ship: 1
coast guard ships: 3

Imagine this is just ONE shipyard in China

20240617_162203.png
 
Lakini pamoja na yote China teknolojia yake bado sana, hata ukienda Marekani leo ukaona bidhaa yoyote ya kichina kwa mfano ya umeme, computer au ya mifumo ya maji (Plumbing Fittings) huwezi kabisa ukalinganisha na ya hapo Marekani kwani tofauti utaiona wazi na hata kwenye bei.

Majuzi tu nilishangaa kugundua kwamba yale malori ya kichina FAW eti kumbe wachina wanatengeneza bodi tu ila injini na gear box ni za Sweden (VOLVO) nilichoka.

Miezi minne iliyopita tulileta Water Pump na Concrete Mixer za kichina pale mgodini Bulyanhulu - Kakola kwa matumizi yetu na cha ajabu Water Pump mpya kabisa ikashindwa kuvuta maji ikiwa mpya na upya wake kabla ya uongozi wa mgodi kuamuru kwamba mitambo yote ya kichina ni marufuku kuingizwa humo mgodini ndipo ikabidi tuviondoe vyote Water Pump na Concrete Mixer.

Kumbe siku za nyuma kuna Generator moja ya kichina ililipuka hapo mgodini na kusababisha majereha hivyo uongozi wa Barrick Kakola wakatuazimisha Water Pump mahiri ya kiingereza aina ya GODWIN inayopiga maji lita 250 kwa dakika moja tu.

Sidhani kama kuna siku China itakuja kutengeneza bidhaa yoyote ile inayoweza kufikia ubora wa bidhaa yoyote inayotengenezwa katika nchi yoyote ya magharibi, haitawezekana hata mpaka mwisho wa dahari.

Ukiwa uko nchini Marekani ukaona bidhaa yoyote ya kichina yenye ubora ubora hivi basi ujue hiyo bidhaa imetengenezwa katika kiwanda kinachomilikiwa na mmarekani aliyewekeza China. Period.

Hata hizi simu zinazotokana China, wachina wanaishia kutengeneza housing tu na screen lakini motherboard hawatengenezi wenyewe na hata Operating System sio yao.
Si afadhali wao wameweza hata hiyo copy and paste. Je, ninyi wadanganyika mmefanya nn? Zaidi kubaki na threads za kupondea east na kuwatukuza west. PERIOD.
 
Sio kwamba China wanajitangaza nchi za wenzetu wanapofanya research institutions zao zinakuwa zina-publish scientific research paper na ndio maana innovations ikifanyika inajulikana worldwide na ndio maana inakuwa rahisi kulinda Intellectual Property rights

Kwa mfano hiyo habari ya China kuja na tech ya 4th generation nuclear reactor imeandikwa na Al Jazeera na kuna sehemu na wao wamechukua info kutoka REUTERS zote hizo sio media za China
Yote unayoyasema ni sawa kwa sababu wanafanya kama sehemu ya jitihada za kujitangaza na kuonyesha dunia namna wao walivyo bora.
Pamoja na yote hayo lakini China bado ina kaushamba fulani na teknolojia na imekuwa kama inafanya vitu kwa ushindani tofauti na nchi zilizoendelea.
Nahisi kuna muda watazizoea na ushamba utawapungua kidogo
 
Yote unayoyasema ni sawa kwa sababu wanafanya kama sehemu ya jitihada za kujitangaza na kuonyesha dunia namna wao walivyo bora.
Pamoja na yote hayo lakini China bado ina kaushamba fulani na teknolojia na imekuwa kama inafanya vitu kwa ushindani tofauti na nchizilizoendelea. Nahisi kuna muda watazizoea na ushamba utawapungua kidogo
Mshamba ni ambaye hawezi kufanya innovation, kwa maoni yangu
 
Nimekupa mfano wa cranes za ZPMC zinazotumika kwenye bandari za Marekani zinatengenezwa na kampuni inayomilikiwa na serikali ya China.

Na mifano ni mingi tu mfano ukiona drones yoyote pale Marekani ujue ni Made in China nyingi ni zilizotengenezwa na kampuni ya kichina ya DJI

Ukija kwenye chemicals, electronic equipment, EVs batteries n.k

Vingine ndiyo kama hizo EV autos, solar panel waziongezea tariffs
Mh! Mkuu hapo umetupga mambo ya drones kutumika marekan skubali mchna kitu labda anaweza muuzia mmarekan n zile vjiko vyao lakn drones duh umetuonaje ss
 
Back
Top Bottom