ChinaTech: Marekani iko nyuma sana kwa China katika nishati ya nyuklia

ChinaTech: Marekani iko nyuma sana kwa China katika nishati ya nyuklia

Mshamba ni ambaye hawezi kufanya innovation, kwa maoni yangu
Hakuna nchi ambayo haiwezi kufanya innovation, maendeleo ya teknolojia yanategemeana sana, ndo maana nchi kama china unakuta na wao wameiga halafu baadae wakaendeleza na kubuni vya kwao.

Nchi nyingi za Asia zilijikita kwenye kuzalisha Nguvukazi yenye ujuzi kitu ambacho kilivutia Kampuni nyingi kutoka nchi zilizoendelea kwenda kufanya uzalishaji katika nchi kutokana na nguvu kazi yenye juu na maarifa lakini ambayo ilikuwa na gharama nafuu ukilinganisha na nchi zilizoendelea.
Hali hiyo ilizisaidia hizo nchi kupata teknlojia kirahisi sana. Ndo maana kwa sasa bidhaa nyingi husasan za gharama za kati ni made in China, Bangladesh, Thailand, Pakstan n.k

Nchi nyingi za Africa hususan kusini mwa jangwa la sahara hazijaweza kuvutia mitaji kutoka nchi zilizoendelea kutoka na kuwa na nguvukazi isiyo na ujuzi unaohitajika, miundo mbinu mibovu, kukosekana nishati ya kutosha na ya uhakika n.k. Ndo maana unaziona kwamba hazina ubunifu, kwa upande wangu naona hiyo ndo shida.

Nchi yenye umeme wa kuungaunga na miundombinu mibovu hususan barabara, reli n.k kama Tz haiwezi kuwa na ubunifu ambao ni endelevu kwa sababu hakuna nyenzo za kuuendeleza.
 
Mh! Mkuu hapo umetupga mambo ya drones kutumika marekan skubali mchna kitu labda anaweza muuzia mmarekan n zile vjiko vyao lakn drones duh umetuonaje ss
Drone-Market-Shares-USA-2021-scaled-1.jpg


1718632401140.png
 
Thats ur opinion

Large number of factories in China now manufacture goods that match western quality standards and sometimes even exceed them both high tech and high quality
There are products being made by the factories owned by investors from the western world and those are the products that normally meet the standard required by the western world.

However, there are products which are being produced by the local manufacturers and these are the ones that are falling short of the required standards.

Meanwhile, there is no any product that has ever been produced in China whose quality has been found to be surpassing the ones that have been made in the western world and I view this as an over-statement...!!

I told you China has no technology of her own but it solely depends on either importing the same mainly from the western world or doing technology piracy.
 
Hapa umeongea point ya msingi

Kwa hiyo inakuwaje ambao wanacriticize maendeleo ya innovation yanayofanywa na China? Wako sahihi?
Nahisi wanachanganya kati ya teknolojia na bidhaa zisizo na ubora.
Pamoja na kwamba China imekuwa na maendeleo makubwa ya teknolojia lakini bado imekuwa na uzalishaji wa bidhaa nyingi zisizo na ubora na kusambaza kwenye nchi maskini tofauti na nchi zilizoendelea ambazo zinajali sana ubora wa bidhaa wanazozalisha.

Nafikiri hii ndo inafanya baadhi waone kwamba teknolojia ya china iko chini kitu ambacho siyo. Wachina wanazalisha kulenga masoko yote yaani masikini, wenye kipato cha kati na matajiri wakati nchi zilizoendelea zinazingatia uboro zaidi.
 
Baadhi ya wachangiaji kwenye huu uzi hawataki huu ukweli
Mifumo ya kijamaa ilianzishwa na watu wenye akili kubwa sana na wazalendo wenye maono na ndio chimbuko la kudai haki ,utu ,usawa ,uhuru wa mwanadamu na Demokrasia inayotokana na uadilifu wa kweli.

Mabepari na ubepari unatokana na kundi la wachache wasiojali maisha ya wengine.

Bepari anaweza akaiba Pesa za chakula cha watu wengi akapelekea mbwa wake au akaiba kondoo wa Chama cha ushirika akapelekea Nyoka wake aliyemfuga na chama kikafa watu wakakosa ajira akabaki na nyoka wake aliowafuga na mwishowe wale nyoka wakamuuma akafa. Ubapari ni unyama ambao unaiangamiza dunia kimya kimiya.

Ukiwaona Mashetani wanavyomtukana Mwalimu Nyerere na ujamaa utadhani ni watu. Lakini hao hao wanakimbizana kununua kununua maelfu ya ekari za ardhi aliyoihifadhi mwalimu. Hao hao wanapata madaraka wakiwa wanatokea familia maskini kiasi kwamba kwenye ubepari na umaskini wao kamwe wasingepata hata ujumbe wa nyumba kumi.
 
China anaongoza kwenye hizi hapa chini
-hypersonics
-water drones and air drones
-nuclear reactors
-solar energy
-elerric storage solutions (battery)
-new energy vehicles(hybrids and fully electric)
-mineral extraction and processing
-industial robotics
-INternet of things
-democracy
Kama unabisha nenda google ......
 
Unajua kwenye habari kuna propaganda hasa suala linapokuwa lina geopolitics

Iko hivi Bangladesh ni jirani ya India na hizo nchi ziko katika migogoro mingi mojawapo ni mipaka, masuala ya drugs na wahamiaji haramu.

Wakati wakiwa kwenye huo mgogoro Bangladesh kama ilivyo kwa Pakistan adui mwingine wa India wakawa na ukaribu na China.

Kilichotokea ni nini?

● China imei-overtake India na kuwa partner mkubwa wa kibiashara wa Bangladesh

●Bangladesh imekuwa mteja mkubwa wa silaha za kutoka China kwa asilimia 70

● China wakajenga Submarine base Bangladesh ambayo inatumiwa na China na Bangladesh

Hayo mambo 3 yamewaumiza sana Wahindi maana wamezungukwa na nchi allies wa China ambao ni Bangladesh na Pakistan ambazo hawana uhusino mzuri kidiplomosia.

Na hapohapo ukae ukijua pia China na India zimekuwa kwenye mgogoro wa kimipaka kwa miaka mingi.

Ni kama China imetengeneza alliance kati yake na maadui wa India ambao ni Bangladesh na Pakistan. (Beijing–Dhaka-Islamabad vs New Delhi)

Ndio maana Wahindi wameanza kusambaza propaganda kwa kutumia media zao kama hiyo article ni ya India, Times Of India (TOI)

Lakini mpaka sasa Bangladesh bado ni mteja wa silaha za kutoka China.

Tafuta chanzo kutoka media za Bangladesh tukisome tuone kama kweli wamelalamika.

Dunia ya sasa propaganda ni silaha hasa inapohusu geopolitical issues.

My take: Inataka mtu awe na ujuzi sana wa masuala ya geopolitic kutambua hii ni habari ya kweli au ni propaganda tu.
Kwa kujitetea mzee wa "china yawa ya kwanza" hujambo haya kula chuma kingine
china wazee wa substandard
 
There are products being made by the factories owned by investors from the western world and those are the products that normally meet the standard required by the western world
Most of the components of those factories owned by investors are made and developed by Chinese manufacturing and Chinese suppliers

Lemme give u an example of Tesla Shanghai Gigafactory

Almost every part of a Tesla Shanghai Gigafactory is manufactured by Chinese companies

From Tesla's chassis to battery, motor to visual sensor, doors to air conditioner... there are literally thousands of major and minor parts

And 95% of them are made locally in China by Chinese suppliers
 
However, there are products which are being produced by the local manufacturers and these are the ones that are falling short of the required standards
Western propaganda once labelled Chinese products as inferior, but that story has changed

Today, Chinese goods are widely recognized for their high quality, thanks to new quality productive forces. It's a remarkable turnaround

So u wanna say Europe import from China low quality China-made EVs, electric buses, electronic equipments, clothing etc?

Talking of telecommunication HUAWEI is still huge in Europe focusing on installation of 5G stations, ICT tech, cloud computing and supply of communication equipments

Even HUAWEI Europe has been named a top employer
 
Meanwhile, there is no any product that has ever been produced in China whose quality has been found to be surpassing the ones that have been made in the western world and I view this as an over-statement...!!
Ok just name atleat 5 Chinese brands that failed to enter western market because of poor quality
 
I told you China has no technology of her own but it solely depends on either importing the same mainly from the western world or doing technology piracy
It's totaly wrong

Stereotypical to assume that Chinese goods are crap. Even Elon musk said the Chinese electric cars are extremely high quality

Chinese goods are high quality and cost efficient

There's so much world class high quality Chinese consumer goods out there, the only thing they're lacking in is brand longevity, but social media accelerates brand marketing

I must say that most of the Chinese-made home appliances and household goods which I've purchased are of high quality and sold at reasonable prices
 
China anaongoza kwenye hizi hapa chini
-hypersonics
-water drones and air drones
-nuclear reactors
-solar energy
-elerric storage solutions (battery)
-new energy vehicles(hybrids and fully electric)
-mineral extraction and processing
-industial robotics
-INternet of things
-democracy
Kama unabisha nenda google ......
Umegusa mulemule mkuu
 
Back
Top Bottom