Chini ya uongozi wa Rais Samia viwango vya furaha kwa Watanzania vyaongezeka mitaani

Chini ya uongozi wa Rais Samia viwango vya furaha kwa Watanzania vyaongezeka mitaani

Ndugu zangu watanzania,

Maisha Ni pamoja na kuwa na furaha Moyoni,Ni pamoja na kufurahia uwepo wako Duniani,Ni pamoja na kufurahia aina ya maisha unayoishi,Ni pamoja na kufurahia aina ya uongozi uliopo madarakani kwa namna unavyogusa maisha yako ya kila siku.

Serikali na uongozi uliopo hasa Rais wa nchi una mchango mkubwa Sana katika furaha za wananchi wake,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa Hali ya umaskini imekithiri nchini,uonevu Ni mkubwa,Udikiteta umeshika hatamu,watu hawana Uhuru wa kuzungumza na kutoa mawazo yao,Watu hawawezi wakawa na amani katika mioyo Yao ikiwa mtu Anamaliza chuo kikuu anabaki anaishi kwa kukata Tamaa pasipo matumaini ya kupata ajira au mkopo kupitia halmashauri au mtaji wa kufungua biashara mtaani,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa mtu akienda hospitalini anakosa dawa muhimu na kusumbuliwa au kuzungushwa au kucheleweshwa kupata huduma.

Watu hawawezi wakawa na furaha ikiwa hawasikilizwi Wala kusaidiwa wawapo na changamoto,hawana wa kumlilia au kumtegemea Kama msaada wao au mtetezi wao au sauti Yao dhidi ya uonevu wa aina yoyote Ile au changamoto ya aina yoyote.

Katika kipindi hiki Cha uongozi wa Rais Samia furaha ya watanzania mitaani imekuwa ni kubwa Sana,Mioyo ya watanzania imechanua kwa furaha na amani,imejaa upendo na Tabasamu,Wanafuraha kwa kuwa wanasikilizwa na serikali yao ya mama Samia,Wana furaha kwa kuwa wanapata huduma za kijamii kwa wakati na karibu yao pasipo ubaguzi wa aina yoyote Ile, Hakuna anayelizwa Wala kuumizwa,hakuna anayeonewa au kukandamizwa.

Anayekwenda hospitali anamatumaini ya kupokelewa vizuri,kusikilizwa na kupewa huduma Bora na stahiki,Anayekwenda mahakamani ana matumaini ya kupata haki yake kwa haki bila kuinunua haki yake ,Anayefaulu na kuchaguliwa kidato Cha Tano au chuo kikuu ana uhakika wa kutimiza ndoto zake bila kikwazo kwa kuwa mzigo wa gharama zote umebebwa na serikali ya Rais Samia ili hata watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini waweza kupata Haki ya Elimu.

Anayeingia shambani ana uhakika wa kulima kwa kuwa mbolea zinapatikana vizuri na soko la mazao ni la uhakika na hivyo kumlipa mkulima jasho lake,watanzania Ni vicheko na furaha mioyoni mwao,Hawana tatizo na mama Yao na Rais wao Mama Samia,Hata tupitiapo changamoto wanakuwa wenye Subira na uvumilivu kwa kuwa wanajuwa Ni kipindi Cha mpito na ha Hakiwezi kikadumu Milele Kama kovu la ajali ya Gari.

Furaha hiyo ndio imepelekea nchi kuwa Tulivu,yenye amani na usalama wa kutosha,Hii ndio imepelekea umoja wa kitaifa kuimarika Sana wakati huu,furaha hii ndio imepelekea watanzania kumuunga mkono mh Rais katika juhudi zake za ujenzi wa Taifa letu.

Ni furaha kila eneo Ni furaha kila mahali,Ni furaha kwa watu wote,Ni furaha kwa vyama vyote,ni furaha kwa Dini zote,Ni furaha kwa Rika zote na jinsia zote,Ni furaha katika vijiwe mitaani,Ni furaha masokoni,minadani,michezoni,vilabuni,mashambani,kwenye magari na Hadi vyuoni kwote Ni furaha tu kwa watanzania wote.

Hii ni kutokana na usikivu alionao mh Rais na utayari wa kumsikiliza kila mtu,kukaa na kuzungumza na kila mtu,kumpa nafasi mtu yeyote kuzungumza alilo nalo Moyoni mwake,kutenda haki katika kila maamuzi afanyayo,Kuzungumza lugha inayoeleweka kwa kila mtu,kutia faraja na pole kwa yeyote apataye tatizo au janga,kusimama nawananchi wakati wa shida na kutoa suluhisho kwa kero yoyote Na kuwapigania watanzania wakati wote.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana Mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Tanzania ya leo sio kama ya zamani Tanzania ya Rais Samia Suluhu kuna fursa kila kona
 
Ndugu zangu watanzania,

Maisha Ni pamoja na kuwa na furaha Moyoni,Ni pamoja na kufurahia uwepo wako Duniani,Ni pamoja na kufurahia aina ya maisha unayoishi,Ni pamoja na kufurahia aina ya uongozi uliopo madarakani kwa namna unavyogusa maisha yako ya kila siku.

Serikali na uongozi uliopo hasa Rais wa nchi una mchango mkubwa Sana katika furaha za wananchi wake,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa Hali ya umaskini imekithiri nchini,uonevu Ni mkubwa,Udikiteta umeshika hatamu,watu hawana Uhuru wa kuzungumza na kutoa mawazo yao,Watu hawawezi wakawa na amani katika mioyo Yao ikiwa mtu Anamaliza chuo kikuu anabaki anaishi kwa kukata Tamaa pasipo matumaini ya kupata ajira au mkopo kupitia halmashauri au mtaji wa kufungua biashara mtaani,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa mtu akienda hospitalini anakosa dawa muhimu na kusumbuliwa au kuzungushwa au kucheleweshwa kupata huduma.

Watu hawawezi wakawa na furaha ikiwa hawasikilizwi Wala kusaidiwa wawapo na changamoto,hawana wa kumlilia au kumtegemea Kama msaada wao au mtetezi wao au sauti Yao dhidi ya uonevu wa aina yoyote Ile au changamoto ya aina yoyote.

Katika kipindi hiki Cha uongozi wa Rais Samia furaha ya watanzania mitaani imekuwa ni kubwa Sana,Mioyo ya watanzania imechanua kwa furaha na amani,imejaa upendo na Tabasamu,Wanafuraha kwa kuwa wanasikilizwa na serikali yao ya mama Samia,Wana furaha kwa kuwa wanapata huduma za kijamii kwa wakati na karibu yao pasipo ubaguzi wa aina yoyote Ile, Hakuna anayelizwa Wala kuumizwa,hakuna anayeonewa au kukandamizwa.

Anayekwenda hospitali anamatumaini ya kupokelewa vizuri,kusikilizwa na kupewa huduma Bora na stahiki,Anayekwenda mahakamani ana matumaini ya kupata haki yake kwa haki bila kuinunua haki yake ,Anayefaulu na kuchaguliwa kidato Cha Tano au chuo kikuu ana uhakika wa kutimiza ndoto zake bila kikwazo kwa kuwa mzigo wa gharama zote umebebwa na serikali ya Rais Samia ili hata watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini waweza kupata Haki ya Elimu.

Anayeingia shambani ana uhakika wa kulima kwa kuwa mbolea zinapatikana vizuri na soko la mazao ni la uhakika na hivyo kumlipa mkulima jasho lake,watanzania Ni vicheko na furaha mioyoni mwao,Hawana tatizo na mama Yao na Rais wao Mama Samia,Hata tupitiapo changamoto wanakuwa wenye Subira na uvumilivu kwa kuwa wanajuwa Ni kipindi Cha mpito na ha Hakiwezi kikadumu Milele Kama kovu la ajali ya Gari.

Furaha hiyo ndio imepelekea nchi kuwa Tulivu,yenye amani na usalama wa kutosha,Hii ndio imepelekea umoja wa kitaifa kuimarika Sana wakati huu,furaha hii ndio imepelekea watanzania kumuunga mkono mh Rais katika juhudi zake za ujenzi wa Taifa letu.

Ni furaha kila eneo Ni furaha kila mahali,Ni furaha kwa watu wote,Ni furaha kwa vyama vyote,ni furaha kwa Dini zote,Ni furaha kwa Rika zote na jinsia zote,Ni furaha katika vijiwe mitaani,Ni furaha masokoni,minadani,michezoni,vilabuni,mashambani,kwenye magari na Hadi vyuoni kwote Ni furaha tu kwa watanzania wote.

Hii ni kutokana na usikivu alionao mh Rais na utayari wa kumsikiliza kila mtu,kukaa na kuzungumza na kila mtu,kumpa nafasi mtu yeyote kuzungumza alilo nalo Moyoni mwake,kutenda haki katika kila maamuzi afanyayo,Kuzungumza lugha inayoeleweka kwa kila mtu,kutia faraja na pole kwa yeyote apataye tatizo au janga,kusimama nawananchi wakati wa shida na kutoa suluhisho kwa kero yoyote Na kuwapigania watanzania wakati wote.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana Mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Kabisa mpaka UFIPA Wana raha yaani Rais Samia kaja kuweka mambo sawa
 
Screenshot_20230104-090800.jpg
 
Ndugu zangu watanzania,

Maisha Ni pamoja na kuwa na furaha Moyoni,Ni pamoja na kufurahia uwepo wako Duniani,Ni pamoja na kufurahia aina ya maisha unayoishi,Ni pamoja na kufurahia aina ya uongozi uliopo madarakani kwa namna unavyogusa maisha yako ya kila siku.

Serikali na uongozi uliopo hasa Rais wa nchi una mchango mkubwa Sana katika furaha za wananchi wake,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa Hali ya umaskini imekithiri nchini,uonevu Ni mkubwa,Udikiteta umeshika hatamu,watu hawana Uhuru wa kuzungumza na kutoa mawazo yao,Watu hawawezi wakawa na amani katika mioyo Yao ikiwa mtu Anamaliza chuo kikuu anabaki anaishi kwa kukata Tamaa pasipo matumaini ya kupata ajira au mkopo kupitia halmashauri au mtaji wa kufungua biashara mtaani,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa mtu akienda hospitalini anakosa dawa muhimu na kusumbuliwa au kuzungushwa au kucheleweshwa kupata huduma.

Watu hawawezi wakawa na furaha ikiwa hawasikilizwi Wala kusaidiwa wawapo na changamoto,hawana wa kumlilia au kumtegemea Kama msaada wao au mtetezi wao au sauti Yao dhidi ya uonevu wa aina yoyote Ile au changamoto ya aina yoyote.

Katika kipindi hiki Cha uongozi wa Rais Samia furaha ya watanzania mitaani imekuwa ni kubwa Sana,Mioyo ya watanzania imechanua kwa furaha na amani,imejaa upendo na Tabasamu,Wanafuraha kwa kuwa wanasikilizwa na serikali yao ya mama Samia,Wana furaha kwa kuwa wanapata huduma za kijamii kwa wakati na karibu yao pasipo ubaguzi wa aina yoyote Ile, Hakuna anayelizwa Wala kuumizwa,hakuna anayeonewa au kukandamizwa.

Anayekwenda hospitali anamatumaini ya kupokelewa vizuri,kusikilizwa na kupewa huduma Bora na stahiki,Anayekwenda mahakamani ana matumaini ya kupata haki yake kwa haki bila kuinunua haki yake ,Anayefaulu na kuchaguliwa kidato Cha Tano au chuo kikuu ana uhakika wa kutimiza ndoto zake bila kikwazo kwa kuwa mzigo wa gharama zote umebebwa na serikali ya Rais Samia ili hata watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini waweza kupata Haki ya Elimu.

Anayeingia shambani ana uhakika wa kulima kwa kuwa mbolea zinapatikana vizuri na soko la mazao ni la uhakika na hivyo kumlipa mkulima jasho lake,watanzania Ni vicheko na furaha mioyoni mwao,Hawana tatizo na mama Yao na Rais wao Mama Samia,Hata tupitiapo changamoto wanakuwa wenye Subira na uvumilivu kwa kuwa wanajuwa Ni kipindi Cha mpito na ha Hakiwezi kikadumu Milele Kama kovu la ajali ya Gari.

Furaha hiyo ndio imepelekea nchi kuwa Tulivu,yenye amani na usalama wa kutosha,Hii ndio imepelekea umoja wa kitaifa kuimarika Sana wakati huu,furaha hii ndio imepelekea watanzania kumuunga mkono mh Rais katika juhudi zake za ujenzi wa Taifa letu.

Ni furaha kila eneo Ni furaha kila mahali,Ni furaha kwa watu wote,Ni furaha kwa vyama vyote,ni furaha kwa Dini zote,Ni furaha kwa Rika zote na jinsia zote,Ni furaha katika vijiwe mitaani,Ni furaha masokoni,minadani,michezoni,vilabuni,mashambani,kwenye magari na Hadi vyuoni kwote Ni furaha tu kwa watanzania wote.

Hii ni kutokana na usikivu alionao mh Rais na utayari wa kumsikiliza kila mtu,kukaa na kuzungumza na kila mtu,kumpa nafasi mtu yeyote kuzungumza alilo nalo Moyoni mwake,kutenda haki katika kila maamuzi afanyayo,Kuzungumza lugha inayoeleweka kwa kila mtu,kutia faraja na pole kwa yeyote apataye tatizo au janga,kusimama nawananchi wakati wa shida na kutoa suluhisho kwa kero yoyote Na kuwapigania watanzania wakati wote.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana Mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Mtu mzima kuwa chawa ni upunguani ulioje.
 
Ndugu zangu watanzania,

Maisha Ni pamoja na kuwa na furaha Moyoni,Ni pamoja na kufurahia uwepo wako Duniani,Ni pamoja na kufurahia aina ya maisha unayoishi,Ni pamoja na kufurahia aina ya uongozi uliopo madarakani kwa namna unavyogusa maisha yako ya kila siku.

Serikali na uongozi uliopo hasa Rais wa nchi una mchango mkubwa Sana katika furaha za wananchi wake,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa Hali ya umaskini imekithiri nchini,uonevu Ni mkubwa,Udikiteta umeshika hatamu,watu hawana Uhuru wa kuzungumza na kutoa mawazo yao,Watu hawawezi wakawa na amani katika mioyo Yao ikiwa mtu Anamaliza chuo kikuu anabaki anaishi kwa kukata Tamaa pasipo matumaini ya kupata ajira au mkopo kupitia halmashauri au mtaji wa kufungua biashara mtaani,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa mtu akienda hospitalini anakosa dawa muhimu na kusumbuliwa au kuzungushwa au kucheleweshwa kupata huduma.

Watu hawawezi wakawa na furaha ikiwa hawasikilizwi Wala kusaidiwa wawapo na changamoto,hawana wa kumlilia au kumtegemea Kama msaada wao au mtetezi wao au sauti Yao dhidi ya uonevu wa aina yoyote Ile au changamoto ya aina yoyote.

Katika kipindi hiki Cha uongozi wa Rais Samia furaha ya watanzania mitaani imekuwa ni kubwa Sana,Mioyo ya watanzania imechanua kwa furaha na amani,imejaa upendo na Tabasamu,Wanafuraha kwa kuwa wanasikilizwa na serikali yao ya mama Samia,Wana furaha kwa kuwa wanapata huduma za kijamii kwa wakati na karibu yao pasipo ubaguzi wa aina yoyote Ile, Hakuna anayelizwa Wala kuumizwa,hakuna anayeonewa au kukandamizwa.

Anayekwenda hospitali anamatumaini ya kupokelewa vizuri,kusikilizwa na kupewa huduma Bora na stahiki,Anayekwenda mahakamani ana matumaini ya kupata haki yake kwa haki bila kuinunua haki yake ,Anayefaulu na kuchaguliwa kidato Cha Tano au chuo kikuu ana uhakika wa kutimiza ndoto zake bila kikwazo kwa kuwa mzigo wa gharama zote umebebwa na serikali ya Rais Samia ili hata watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini waweza kupata Haki ya Elimu.

Anayeingia shambani ana uhakika wa kulima kwa kuwa mbolea zinapatikana vizuri na soko la mazao ni la uhakika na hivyo kumlipa mkulima jasho lake,watanzania Ni vicheko na furaha mioyoni mwao,Hawana tatizo na mama Yao na Rais wao Mama Samia,Hata tupitiapo changamoto wanakuwa wenye Subira na uvumilivu kwa kuwa wanajuwa Ni kipindi Cha mpito na ha Hakiwezi kikadumu Milele Kama kovu la ajali ya Gari.

Furaha hiyo ndio imepelekea nchi kuwa Tulivu,yenye amani na usalama wa kutosha,Hii ndio imepelekea umoja wa kitaifa kuimarika Sana wakati huu,furaha hii ndio imepelekea watanzania kumuunga mkono mh Rais katika juhudi zake za ujenzi wa Taifa letu.

Ni furaha kila eneo Ni furaha kila mahali,Ni furaha kwa watu wote,Ni furaha kwa vyama vyote,ni furaha kwa Dini zote,Ni furaha kwa Rika zote na jinsia zote,Ni furaha katika vijiwe mitaani,Ni furaha masokoni,minadani,michezoni,vilabuni,mashambani,kwenye magari na Hadi vyuoni kwote Ni furaha tu kwa watanzania wote.

Hii ni kutokana na usikivu alionao mh Rais na utayari wa kumsikiliza kila mtu,kukaa na kuzungumza na kila mtu,kumpa nafasi mtu yeyote kuzungumza alilo nalo Moyoni mwake,kutenda haki katika kila maamuzi afanyayo,Kuzungumza lugha inayoeleweka kwa kila mtu,kutia faraja na pole kwa yeyote apataye tatizo au janga,kusimama nawananchi wakati wa shida na kutoa suluhisho kwa kero yoyote Na kuwapigania watanzania wakati wote.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana Mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Mkuu ushauri wangu kwako usiweke namba 1 tu ya simu,zipangilie zote hapo juu uonekane upo serious na jambo lako,wale jamaa wakipiga mara moja hupatikani ndio basi hawarudii tena nakwambia.
 
Kuna wakati huwa nawaza sana juu ya huyu Mungu. Yaani anawaskiliza sana watanzania. Iko hivi: Baada ya JK kumaliza muda wake, niliwasikia wa-tz wengi wanalaumu sana, na kusema "huyu raisi gani anachekacheka tu. Nchi ilipofikia tunahitaji raisi dicteta" naamini Mungu alijibu. Akaja mtu yule. Jamani. Ingawa mzee Makamba alituonya kuwa "mnaenda kubatizwa kwa moto" sijui kama naye alibatizwa kwa moto maana kauli yake ile ya WATU WEMA HAWAFI sikuielewa. Baadaye mateso yalipozidi kwa baadhi ya wa-tz, walianza kuomba tena na walitumia mstari huu wa ZABURI 109:8-9 unaosema "siku zake na ziwe chache, usimamizi wake na atwae mtu mwingine, wanawe na wawe yatima na mkewe na awe mjane". Sijui kama Mungu alijibu ama laa. Ila usimamizi akapewa mtu mwingine. Sasa huyu naona anajitahidi sana kuwaunganisha watanganyika, ingawa kazi kubwa anayo. Ila kweli ni mtu mwema kwa nionavyo mimi. Huenda akaandika historia kwa kuleta katiba mpya.
 
Mke mwema lazima amsifie mumewe kwamba ni bonge la HB hata kama ana kengeza.
 
Ndugu zangu watanzania,

Maisha Ni pamoja na kuwa na furaha Moyoni,Ni pamoja na kufurahia uwepo wako Duniani,Ni pamoja na kufurahia aina ya maisha unayoishi,Ni pamoja na kufurahia aina ya uongozi uliopo madarakani kwa namna unavyogusa maisha yako ya kila siku.

Serikali na uongozi uliopo hasa Rais wa nchi una mchango mkubwa Sana katika furaha za wananchi wake,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa Hali ya umaskini imekithiri nchini,uonevu Ni mkubwa,Udikiteta umeshika hatamu,watu hawana Uhuru wa kuzungumza na kutoa mawazo yao,Watu hawawezi wakawa na amani katika mioyo Yao ikiwa mtu Anamaliza chuo kikuu anabaki anaishi kwa kukata Tamaa pasipo matumaini ya kupata ajira au mkopo kupitia halmashauri au mtaji wa kufungua biashara mtaani,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa mtu akienda hospitalini anakosa dawa muhimu na kusumbuliwa au kuzungushwa au kucheleweshwa kupata huduma.

Watu hawawezi wakawa na furaha ikiwa hawasikilizwi Wala kusaidiwa wawapo na changamoto,hawana wa kumlilia au kumtegemea Kama msaada wao au mtetezi wao au sauti Yao dhidi ya uonevu wa aina yoyote Ile au changamoto ya aina yoyote.

Katika kipindi hiki Cha uongozi wa Rais Samia furaha ya watanzania mitaani imekuwa ni kubwa Sana,Mioyo ya watanzania imechanua kwa furaha na amani,imejaa upendo na Tabasamu,Wanafuraha kwa kuwa wanasikilizwa na serikali yao ya mama Samia,Wana furaha kwa kuwa wanapata huduma za kijamii kwa wakati na karibu yao pasipo ubaguzi wa aina yoyote Ile, Hakuna anayelizwa Wala kuumizwa,hakuna anayeonewa au kukandamizwa.

Anayekwenda hospitali anamatumaini ya kupokelewa vizuri,kusikilizwa na kupewa huduma Bora na stahiki,Anayekwenda mahakamani ana matumaini ya kupata haki yake kwa haki bila kuinunua haki yake ,Anayefaulu na kuchaguliwa kidato Cha Tano au chuo kikuu ana uhakika wa kutimiza ndoto zake bila kikwazo kwa kuwa mzigo wa gharama zote umebebwa na serikali ya Rais Samia ili hata watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini waweza kupata Haki ya Elimu.

Anayeingia shambani ana uhakika wa kulima kwa kuwa mbolea zinapatikana vizuri na soko la mazao ni la uhakika na hivyo kumlipa mkulima jasho lake,watanzania Ni vicheko na furaha mioyoni mwao,Hawana tatizo na mama Yao na Rais wao Mama Samia,Hata tupitiapo changamoto wanakuwa wenye Subira na uvumilivu kwa kuwa wanajuwa Ni kipindi Cha mpito na ha Hakiwezi kikadumu Milele Kama kovu la ajali ya Gari.

Furaha hiyo ndio imepelekea nchi kuwa Tulivu,yenye amani na usalama wa kutosha,Hii ndio imepelekea umoja wa kitaifa kuimarika Sana wakati huu,furaha hii ndio imepelekea watanzania kumuunga mkono mh Rais katika juhudi zake za ujenzi wa Taifa letu.

Ni furaha kila eneo Ni furaha kila mahali,Ni furaha kwa watu wote,Ni furaha kwa vyama vyote,ni furaha kwa Dini zote,Ni furaha kwa Rika zote na jinsia zote,Ni furaha katika vijiwe mitaani,Ni furaha masokoni,minadani,michezoni,vilabuni,mashambani,kwenye magari na Hadi vyuoni kwote Ni furaha tu kwa watanzania wote.

Hii ni kutokana na usikivu alionao mh Rais na utayari wa kumsikiliza kila mtu,kukaa na kuzungumza na kila mtu,kumpa nafasi mtu yeyote kuzungumza alilo nalo Moyoni mwake,kutenda haki katika kila maamuzi afanyayo,Kuzungumza lugha inayoeleweka kwa kila mtu,kutia faraja na pole kwa yeyote apataye tatizo au janga,kusimama nawananchi wakati wa shida na kutoa suluhisho kwa kero yoyote Na kuwapigania watanzania wakati wote.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana Mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Hata redio msoga ilitangaza habari kama hizi wakati wa mkesha wa mwaka mpya
 
Ndugu zangu watanzania,

Maisha Ni pamoja na kuwa na furaha Moyoni,Ni pamoja na kufurahia uwepo wako Duniani,Ni pamoja na kufurahia aina ya maisha unayoishi,Ni pamoja na kufurahia aina ya uongozi uliopo madarakani kwa namna unavyogusa maisha yako ya kila siku.

Serikali na uongozi uliopo hasa Rais wa nchi una mchango mkubwa Sana katika furaha za wananchi wake,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa Hali ya umaskini imekithiri nchini,uonevu Ni mkubwa,Udikiteta umeshika hatamu,watu hawana Uhuru wa kuzungumza na kutoa mawazo yao,Watu hawawezi wakawa na amani katika mioyo Yao ikiwa mtu Anamaliza chuo kikuu anabaki anaishi kwa kukata Tamaa pasipo matumaini ya kupata ajira au mkopo kupitia halmashauri au mtaji wa kufungua biashara mtaani,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa mtu akienda hospitalini anakosa dawa muhimu na kusumbuliwa au kuzungushwa au kucheleweshwa kupata huduma.

Watu hawawezi wakawa na furaha ikiwa hawasikilizwi Wala kusaidiwa wawapo na changamoto,hawana wa kumlilia au kumtegemea Kama msaada wao au mtetezi wao au sauti Yao dhidi ya uonevu wa aina yoyote Ile au changamoto ya aina yoyote.

Katika kipindi hiki Cha uongozi wa Rais Samia furaha ya watanzania mitaani imekuwa ni kubwa Sana,Mioyo ya watanzania imechanua kwa furaha na amani,imejaa upendo na Tabasamu,Wanafuraha kwa kuwa wanasikilizwa na serikali yao ya mama Samia,Wana furaha kwa kuwa wanapata huduma za kijamii kwa wakati na karibu yao pasipo ubaguzi wa aina yoyote Ile, Hakuna anayelizwa Wala kuumizwa,hakuna anayeonewa au kukandamizwa.

Anayekwenda hospitali anamatumaini ya kupokelewa vizuri,kusikilizwa na kupewa huduma Bora na stahiki,Anayekwenda mahakamani ana matumaini ya kupata haki yake kwa haki bila kuinunua haki yake ,Anayefaulu na kuchaguliwa kidato Cha Tano au chuo kikuu ana uhakika wa kutimiza ndoto zake bila kikwazo kwa kuwa mzigo wa gharama zote umebebwa na serikali ya Rais Samia ili hata watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini waweza kupata Haki ya Elimu.

Anayeingia shambani ana uhakika wa kulima kwa kuwa mbolea zinapatikana vizuri na soko la mazao ni la uhakika na hivyo kumlipa mkulima jasho lake,watanzania Ni vicheko na furaha mioyoni mwao,Hawana tatizo na mama Yao na Rais wao Mama Samia,Hata tupitiapo changamoto wanakuwa wenye Subira na uvumilivu kwa kuwa wanajuwa Ni kipindi Cha mpito na ha Hakiwezi kikadumu Milele Kama kovu la ajali ya Gari.

Furaha hiyo ndio imepelekea nchi kuwa Tulivu,yenye amani na usalama wa kutosha,Hii ndio imepelekea umoja wa kitaifa kuimarika Sana wakati huu,furaha hii ndio imepelekea watanzania kumuunga mkono mh Rais katika juhudi zake za ujenzi wa Taifa letu.

Ni furaha kila eneo Ni furaha kila mahali,Ni furaha kwa watu wote,Ni furaha kwa vyama vyote,ni furaha kwa Dini zote,Ni furaha kwa Rika zote na jinsia zote,Ni furaha katika vijiwe mitaani,Ni furaha masokoni,minadani,michezoni,vilabuni,mashambani,kwenye magari na Hadi vyuoni kwote Ni furaha tu kwa watanzania wote.

Hii ni kutokana na usikivu alionao mh Rais na utayari wa kumsikiliza kila mtu,kukaa na kuzungumza na kila mtu,kumpa nafasi mtu yeyote kuzungumza alilo nalo Moyoni mwake,kutenda haki katika kila maamuzi afanyayo,Kuzungumza lugha inayoeleweka kwa kila mtu,kutia faraja na pole kwa yeyote apataye tatizo au janga,kusimama nawananchi wakati wa shida na kutoa suluhisho kwa kero yoyote Na kuwapigania watanzania wakati wote.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana Mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Watanzania siyo kwamba wanafuraha! Ila wamekufa ganzi! Hawajui linalo endelea, hivyo hawawezi kufurahia au kuhoji kitu chochote wamepigwa (wamekufa) ganzi.
Hebu nikuulize
Je unajua SGR imejengwa mpaka wapi na kwa asilimia ngapi?
Je daraja la Busisi limejengwa? Limefikia wapi (%l Na je litamalizika lini? Je! Bandari ya Bagamoyo inatekelezwa? etc. Watanzania hatuna habari na maendeleo yanayo tokea nchini - tumekufa ganzi. Hakuna kitu unacho ambiwa kinacho kuhusu.
Habari iunayoijua ni umbari wa diamita ya kilometer 2 tu - dukani. Hushirikishwi popote.
Awamu iliyopita ngazi yoyote ya miradi ya maendeleo ulikuwa unataarifiwa - kupitia njia nyingi. Sasa hivi ukienda shell unachukia! Ukienda dukani unafura etc. Dr Samia inabidi ajitahidi zaidi.
 
Bei ya mbolea haikupandishwa na Rais Samia na serikali yake, Bali Ni mfumuko wa Bei katika soko la Dunia,Ndio maana mama Yetu Rais Samia akaamua abebe mzigo huo wa kutoa mabillioni ya Ruzuku ili kuwapunguzia maumivu wakulima
Si kweli.Wafanyi biashara hawajadhibitiwa ipasavyo kwa hiyo wanatumia loophole ya upuuzi mwingi uliopo duniani sasa hivi Kama wa Ukraine kupandisha bei kiholela,we know it.Hata kwenye mafuta upuuzi huu unaendelea.TPDC ndio waliokuwa wameomba tender ya kuagiza mafuta lakini wakanyimwa wakanyimwa wakapewa watu binafsi kwa ajili ya rushwa.TPDC waliokuwa wameahidi kuagiza mafuta at cheaper prices.

Mkuu kwa taarifa yako,Urusi wameshusha bei ya mafuta na mbolea, sasa kwa nini bado ni ghali?India na China wanapata mafuta na mbolea at a discount,why not us.
 
Jamaa anajitutumua sana na mazeri wake. Hongera kwa moyo huo. Huenda ukaonekana
 
Jamaa anajitutumua sana na mazeri wake. Hongera kwa moyo huo. Huenda ukaonekana
Huo ndiyo ukweli kuwa Watanzania wana amani sana mioyoni mwao unaochagizwa na uongozi wa Rais samia uliojaa upendo mkubwa kwa watanzania
 
Back
Top Bottom