Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Si kila kitu anacho fanya Myahudi ni kibaya hata baniani na yeye kuna vitu anafanya vizuri 😄Wala si hivyo jibu ni kwasababu muanzilishi ni Myahudi ndo maana.
Chaliifrancisco adriz Adiosamigo THE BIG SHOW 100 others Accumen Mo incharge
Uswahilin hatoboi huyu labda mbez mikocheni kule.. uswahiln biashara uwe mwanga kwelikweliJamaa keshasema anataka akauze USWAHILINI
I know..issue ni reliabilty..hadi wanaimport unaweza kuta wameshajaribu soko la ndani wakashindwa.. Plus kumaintain hiyo uniformity hata kwa restaurant za dsm tu sio mchezo..tuko hapa tunawadiscuss kwa sababu wamefaulu ktk wanalofanya...and we all know viaz vina ladha tofauti tofauti na si vyote ni vizur kwa chips...sasa huyo wa kukusanya huku na huko na kule..SIJUIAnaeuza hotelini sio mkulima, mtu anaepeleka kule ni mtu kati anapeleka hizo viazi vya standard flani so anachgua. Na hapeleki hivyo tu, usishangae anapeleka na broccoli na mazaga mengine huko. Hujawah kuona supplier kwenye mahotel inavyokuwa nn?
Then bold and underline "bora na kwa wakati" ongezea na kwa "quantity mliyokubaliana". cha muhimu vigezo vimekua met.Ndio maana hata jirani walichemsha wakapigwa chini
Ukipata tenda wao wanajua utawapelekea kitu bora na kwa wakati
HaswaThen bold and underline "bora na kwa wakati" ongezea na kwa "quantity mliyokubaliana". cha muhimu vigezo vimekua met.
Atazila mwenyewe akikosa watejaUswahilin hatoboi huyu labda mbez mikocheni kule.. uswahiln biashara uwe mwanga kwelikweli
Shikilia hapa kwenye sijuiI know..issue ni reliabilty..hadi wanaimport unaweza kuta wameshajaribu soko la ndani wakashindwa.. Plus kumaintain hiyo uniformity hata kwa restaurant za dsm tu sio mchezo..tuko hapa tunawadiscuss kwa sababu wamefaulu ktk wanalofanya...and we all know viaz vina ladha tofauti tofauti na si vyote ni vizur kwa chips...sasa huyo wa kukusanya huku na huko na kule..SIJUI
Hivyo vinapatikana mkuu whole year niamin mm.Then bold and underline "bora na kwa wakati" ongezea na kwa "quantity mliyokubaliana". cha muhimu vigezo vimekua met.
Basi perherps they have another valid reason ya ku-source mbali..na pengine wanatumia na vyetu pia labda wanafanya occasionaly tu kuziba gap kama linakuwepoHivyo vinapatikana mkuu whole year niamin mm.
Ushapigwa elf10 chips kavu tu hapo,mishahara ikitoka ni tabu sana,🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wadau naomba kufahamu kama kuna anaejua chips zile zinatengenezwaje sio kwa utamu ule.
Nataka kukaangaa mithili ya KFC ili niuze sana uswahilini
Shukran
Ebhana inaonekana unajua njia zao wanakopitaNikutajie spices? Unaijua vinegar? Unaweka na unga wa njano kwnye ngano.
Kuna mashine ya kukatia viazi saizi moja na vile viazi vinamenywa kwa kujenga shepu ya mstatili so unakata nyama nyingi tu pembeni.
Vipande vile unavitia kwenye maji ya njano yaliyotiwa vinegar..
Lakin kutengenza chips tam mbona easy tu. Unataka kuuzia wap
Olive oil ni gharama sana lita moja ni 16,000Classic na zinaiva...KFC za Nairobi wanatumia Olive Oil kukaangia
Olive oil imekuwa dili sana ingawa ni nzuri kwa kukaangia chipsOlive oil ni gharama sana lita moja ni 16,000
Mama££££ kazi ipoKila ukipanda mbegu unaweka na bendera na picha
Ni mwendo wa kuipenda nchi tu 😄 🤣 na waliomo
Dunia hii hakuna siri kila kitu kinajulikana, ni mtu mwenyewe tuu kutaka kuijua hiyo siri..Moja ya Siri kubwa duniani,..hutokaa ujue, finger licking good..
Basi tuambie formula ya kutengeneza PepsiDunia hii hakuna siri kila kitu kinajulikana, ni mtu mwenyewe tuu kutaka kuijua hiyo siri..
Wanapika huku wanapigana mkuyegeWapikaji wanakuwa hawajavaa Pichu...