Chochote kizuri nikimhusisha mama kinakufa

Nenda kamuonyeshe mradi wa treni ya umeme mwambie ni ea kwako,au mpeleke bwawa la umeme la nyerere mwambie ni mradi wako
 
Huenda sio mama yako mzazi huyo ,fuatilia vizuri.

Kama hujajenga, nenda ukapange mbali sana ikiwezekana hama mkoa.
 
A
Aisee
 
Kila nikipata pesa nikitaka kununua gari nikimhusisha ndg yangu wa kuzaliwa mpango unakwama.

Siku Moja nilikuwa na 2m jamaa office mate akanambia nimpe anipe balloon yake.

Nikamhusisha bro angu ikayeyuka. Nikapotezea.

Nikafight kujinyima Sana nikaipata 10m nikamhusisha Kwa sababu ana access kupata nice cars Kwa bei nafuu. Ili niachane na mawazo ya vi IST, vtz, sijui nini.

Mm nipenz wa Nissan diesel... Ile 10 ikayeyuka nikawahi kununua plot...japo Kwa mil 5 Tano imetumika

Yaani ninatamani siku aone tu usafiri huo
 


Aweke imani kwa Yesu au Mungu??
 
Mimi nikiwaza jambo Zuri afu ndani yake nikamuimagine wife lazima hilo jambo lifeli yani...ila nikijifanyia tu bila kumuwaza lazima litiki
 
Kwa kuwa haujaomba maoni yetu.
Hebu tueleze mahusiano yako na mama kimsingi yapoje?

Ulipogundua kuwa kila unachomhusisha lazima kiende mrama, kwa nini unaendelea kumhusisha bila kukoma?

Tunaaminije kama huu uzi siyo utunzi?
 


Umeeleza funguo moja ya shida zako kutoka kwa mama yako.

Kumbuka mama ni mama tu licha ya shida na madhila unayopitianaye, anastahili kila kitu kichaacho kitoka kwako kama mtoto kwa mzazi.

Kama mama yako hana "kijicho" kutoka kwa Mungu basi anacho kijicho si kwako bali kwa mkeo na watoto wako na ndio maana kila jambo lako zuri hataki lifanikiwe kwakuwa anaona wafaidika watakuwa mkeo na watoto wako ambao hawapendi.

Kijicho kutoka kwa Mungu ni kipi??---ni hivi; kuna watu wameumbwa kwamba kitu chochote kizuri akikisifia tu muda mfupi kitu hicho kitaharibika au kitapata madhara nk, mfano mtoto mrembo akipita mbele ya mtu wa aina hiyo na mtu huyo akamsifia basi baadaye huyo mto atadhurika au anaweza kupatwa ugonjwa nk, hicho ndicho kijicho kutoka kwa Mungu, kimetoka kwa Mungu kwasababu mtu huyo kazaliwa akiwa na hali hiyo ya"kijicho"wala sio kosa lake, nadhani mama yako hayupo hivyo, kama ni hivyo basi jitahidi kumuepuka kama jinsi ulivyomuepuka ulipojenga nyumba yako.
 
Nisamee mkuu kwa kauli yangu mbaya ntakayoitumia ila mama ako kama sio mshirikina basi kuna namna
 
Kuna watu wakiambiwa mama zao wachawi wanakuja juu,
Sasa mimi huwa najiuliza Kwanini ukatae kuwa mama yako au bibi yako kuwa mchawi?
Kwani wachawi hawazai?

Eti ooh kama mchawi angemuua tangu Mdogo [emoji848]

Inategemea na zamu ya kulipa fidia ndipo utakapokuja kutolewa zamu uliwe nyama na wachawi wenzie.
 
Miongoni wa mitihani mizito ni pamoja na kuoa au kuolewa na Mchawi.

Na usizani hata ukijua utaachana nae kirahisi [emoji108]

Maana vifungo vyao huwa ni vigumu kuliko maelezo.

Ma wachawi wengi kuua mtoto wake au mwenzi wake huwa ni swala la muda tu!

Pia kuoa au kuolewa kwenye familia za kichawi ni mtihani mkubwa.

Na kuishi jirani na mchawi.

Vinginevyo na wewe uwe mshirikina Kweli Kweli na ujizindike na watoto wako vinginevyo usipime!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…