Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Kama tu baadhi waarusha walivyo na kijicho mshenzi/ zongoKuna watu wana husda,, ukiwaambia mambo yako yanagota,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama tu baadhi waarusha walivyo na kijicho mshenzi/ zongoKuna watu wana husda,, ukiwaambia mambo yako yanagota,
Na hata hajijui.sasa unaposema hata akifa hutomzika unaona ni Sawa??Sijawaza kwamba ananiloga. Ila kuna roho ya kutokufanikiwa ipo ndani yake
Shindwa pepo wewe.muache mama yetu.mwanaume mwenzenu yule mfuateni kuleNi kwa sababu Taifa linaongozwa na Mama mwenye laana.
View attachment 2195614
Kwa sasa naona ni sawa hadi nitakapobaini vinginevyoNa hata hajijui.sasa unaposema hata akifa hutomzika unaona ni Sawa??
Yes angalia hata kwenye bible waliokua na uwezo wa kubarik ni wababa mf.Yakob na kaka yake,mama yao alijua kabsa hawez kubarik thats why akamfanyia mchakato Yakobo apate baraka kw babaye.
Mkuu em wekea bold hii post.Kuna ule msemo unasema hakuna kama mama kila nikiutafakari naona kuna watu wana bahati sana,lkn kuna sisi wengine tunapitia machungu sana kwa mama zetu na inakuwa ni siri tu unaitunza moyoni bila kumwambia mtu yeyote!,yaani hadi inafika kipindi unajiuliza huyu ni mama yangu kweli!?
Mama anataka akawaoshee mashosti zake😂kumbe ndipo hapo anakufelisha wewe bila kujuaHuu ndio ugomvi mkubwa na bi mkubwa wangu kila siku, wamama wa kiswahili ni shida sometimes, hawana vifua 😂
Nilishawahi kulala mlimani kwaajili ya swala hili lakini sijapata ufumbuzi
Wanna gundu balaa watu wa hivyoKama tu baadhi waarusha walivyo na kijicho mshenzi/ zongo
nasikia na nyie wameru mpo hivyo pia...Kama tu baadhi waarusha walivyo na kijicho mshenzi/ zongo
unafirwa na wachawiMama yako mchawi, kaa mbali
nakuelewa sana kaka wamama wa hivyo km wako wapo sana,Kuna ule msemo unasema hakuna kama mama kila nikiutafakari naona kuna watu wana bahati sana,lkn kuna sisi wengine tunapitia machungu sana kwa mama zetu na inakuwa ni siri tu unaitunza moyoni bila kumwambia mtu yeyote!,yaani hadi inafika kipindi unajiuliza huyu ni mama yangu kweli!?
🤣🤣🤣🤣 muonenasikia na nyie wameru mpo hivyo pia...
What!!???Mimi pia nina tatizo hili. Ni mwaka wa pili tangu nifahamu kwamba Kila ninachomshirikisha mama kinafeli. Kwa sasa najikusanya nihame mkoa kwa siri na kamwe sirudi hata nikisikia amefariki siji kumzika.
Nimejaribu ku Link dots hata huu umaskini unaotuandama unasababishwa na yeye.
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hapa ndipo wazazi wengi wanapoharibuSomemtimes wazazi ukiwaonyesha mipango yako mizuri hawachelewi kwenda kuyatangaza kwa watu wengne eiza ndugu zak au mashoga zake ndo hapo wakati mwingine vipengele vinavyoanzia