Chonde chonde wabunge wa CCM msichague Tulia Ackson kuwa Spika, tayari ameshaonesha udhaifu wa kutosimamia katiba ya JMT. Hafai kabisa kuwa spika

Tulia hawezi kulijenga Bunge kuwa mhimili kamili hata kdg, bado bunge likiwa kwake litakuwa dhaifu kamalilivyokuwa kwa yule mgogo!
 
Umenena sahihi kabisa!!
 
Tatizo sio Tulia tatizo ni katiba angalia bunge la South utalewe hapa kwetu bila katiba inayoendana na wakati utalaumu kila mtu lakini ukweli tatizo ni katiba
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Kwa vile ulitabiri Jiwe atakuwa rais na akawa,basi acha niamini.
Lakini kumbuka imani hupimwa,itakapopimwa utatafuta pa kutokea.
Yona alitabiri Ninawi itaangamizwa,lakini Mungu aliahirisha baada ya Ninawi kuomboleza.
 
Tulia ni low grade kuwa speaker bora, Zungu, polepole,au Mhagama Jenister
 
We jamaa ni mkubwa kiumri lakin akili zako bado za chekechea....

Kivipi , unamtukana mtu tu. Umesoma ile link aliyoiweka? Jifunze kuacha matatizo yako ya nyumbani. Nyie ndo wenye Wake wanawasaliti kila siku mnawaogopa mnakimbilia kuwaonya wanaume wanaochepuka na mkeo , wakati mkeo uko Naye ndani.
 
Kivipi , unamtukana mtu tu. Umesoma ile link aliyoiweka? Jifunze kuacha matatizo yako ya nyumbani. Nyie ndo wenye Wake wanawasaliti kila siku mnawaogopa mnakimbilia kuwaonya wanaume wanaochepuka na mkeo , wakati mkeo uko Naye ndani.
Oohooo, yaani mkeo akichapwa nje unatakiwa mmalizane ndani?
 
Kwa nani alimleta Tulia bungeni?? Na kwa kuwa wafuasi wa Jiwe mnaamini hakuna mabadiliko ya serikali baada ya kifo Cha Magufuli na tunaamini yupo na anaona yanayoendelea Tanzania,basi Tulia ni Spika.
 
Wabunge sio Halali, yaani tangu 2020 kila kitu ni haramu ndo maana hawafanikiwi
 
Kaka yangu Paschal Mayalla unataka kusema hata baadhi ya wabunge waliobebwa na kupita bila kupigwa nao wamelettwa na Mungu?

Sidhani kwa hiyo dhana yako, baadhi ya viongozi wetu hasa wa kiafrika wanaletwa na shetani na kudhulumu haki za wenzao.

Asante
 
Submission to executive speech๐Ÿ‘‡๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Mambo ya aibu yanatokea katika nchi yangu ya Tanzania๐Ÿ˜‘๐Ÿ˜‘๐Ÿ˜‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ