Chonde chonde wabunge wa CCM msichague Tulia Ackson kuwa Spika, tayari ameshaonesha udhaifu wa kutosimamia katiba ya JMT. Hafai kabisa kuwa spika

Chonde chonde wabunge wa CCM msichague Tulia Ackson kuwa Spika, tayari ameshaonesha udhaifu wa kutosimamia katiba ya JMT. Hafai kabisa kuwa spika

Tulia hawezi kulijenga Bunge kuwa mhimili kamili hata kdg, bado bunge likiwa kwake litakuwa dhaifu kamalilivyokuwa kwa yule mgogo!
 
Na hapo ndipo ngoz nyeus tunapofeli kuamini kuwa eti viongozi wanaletwa na Mungu..mbona mnamsingizia Mungu kwa mambo ya ajabu hata hamuoni aibu...umefanya ngono zembe umepata ukimwi unakufa .."mapenz ya Mungu"..unaendesha gar unachat unapata ajal unakufa " mapenz ya Mungu"..uongoz mbaya watu wanakufa kama rwanda " mapenz ya Mungu....

Mungu alishamaliza kaz yake dunian baada ya Uumbaj na kutupa kiila kitu ..yanayoendelea ni creation zetu sis wanadamu na ndomana kuna free will...

Achen kupotosha watu ....na hii ndio ilifanya mzungu atawale africa kwa maneno kama hayo..et viongoz wanaletwa na Mungu....mkoloni alikua akikosewa anatoa adhabu halaf anasema kaambiwa na Mungu unapewa bible unasoma samehe 7×70 game over...
Umenena sahihi kabisa!!
 
Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.

Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.

Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?

Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Tatizo sio Tulia tatizo ni katiba angalia bunge la South utalewe hapa kwetu bila katiba inayoendana na wakati utalaumu kila mtu lakini ukweli tatizo ni katiba
 
Mungu ndio huweka serikali za mataifa na viongozi wake, hivyo hata JPM aliletwa na Mungu na akaitwa na Mungu, Samia ameletwa na Mungu. Ndugai pia alipangiwa na Mungu, na ni Mungu alimruhusu shetani kumuingia na kumtelezesha ulimi, hivyo akaruhusu aondolewe, hivyo Spika ajaye tayari Mungu ameisha mpangia, na sisi baadhi yenu ni watu wa Mungu, tumeisha ambiwa Spika mpya ni Dr. Tulia!.

Tembelea hapa uangalie hili tuliambiwa lini!
P
🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa vile ulitabiri Jiwe atakuwa rais na akawa,basi acha niamini.
Lakini kumbuka imani hupimwa,itakapopimwa utatafuta pa kutokea.
Yona alitabiri Ninawi itaangamizwa,lakini Mungu aliahirisha baada ya Ninawi kuomboleza.
 
Tulia ni low grade kuwa speaker bora, Zungu, polepole,au Mhagama Jenister
 
We jamaa ni mkubwa kiumri lakin akili zako bado za chekechea....

Kivipi , unamtukana mtu tu. Umesoma ile link aliyoiweka? Jifunze kuacha matatizo yako ya nyumbani. Nyie ndo wenye Wake wanawasaliti kila siku mnawaogopa mnakimbilia kuwaonya wanaume wanaochepuka na mkeo , wakati mkeo uko Naye ndani.
 
Kivipi , unamtukana mtu tu. Umesoma ile link aliyoiweka? Jifunze kuacha matatizo yako ya nyumbani. Nyie ndo wenye Wake wanawasaliti kila siku mnawaogopa mnakimbilia kuwaonya wanaume wanaochepuka na mkeo , wakati mkeo uko Naye ndani.
Oohooo, yaani mkeo akichapwa nje unatakiwa mmalizane ndani?
 
Kwa nani alimleta Tulia bungeni?? Na kwa kuwa wafuasi wa Jiwe mnaamini hakuna mabadiliko ya serikali baada ya kifo Cha Magufuli na tunaamini yupo na anaona yanayoendelea Tanzania,basi Tulia ni Spika.
 
Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.

Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.

Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?

Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Wabunge sio Halali, yaani tangu 2020 kila kitu ni haramu ndo maana hawafanikiwi
 
Mungu ndio huweka serikali za mataifa na viongozi wake, hivyo hata JPM aliletwa na Mungu na akaitwa na Mungu, Samia ameletwa na Mungu. Ndugai pia alipangiwa na Mungu, na ni Mungu alimruhusu shetani kumuingia na kumtelezesha ulimi, hivyo akaruhusu aondolewe, hivyo Spika ajaye tayari Mungu ameisha mpangia, na sisi baadhi yenu ni watu wa Mungu, tumeisha ambiwa Spika mpya ni Dr. Tulia!.

Tembelea hapa uangalie hili tuliambiwa lini!
P
Kaka yangu Paschal Mayalla unataka kusema hata baadhi ya wabunge waliobebwa na kupita bila kupigwa nao wamelettwa na Mungu?

Sidhani kwa hiyo dhana yako, baadhi ya viongozi wetu hasa wa kiafrika wanaletwa na shetani na kudhulumu haki za wenzao.

Asante
 
Submission to executive speech👇😁😁😁
Mambo ya aibu yanatokea katika nchi yangu ya Tanzania😑😑😑
 
Back
Top Bottom