Uliza Nape na Membe na hao wanaojiita wenye chama wazalendo ndio walikuza hayo mambo kumhusu magufuliChongolo ndio anakuza mambo,kwani mtu kuwa na ndugu zake Elsewhere ni shida?
Shida nyie mlipokuwa mnaambiwa Mwendazake ni mhutu mnabisha kwa nini?Uliza Nape na Membe na hao wanaojiita wenye chama wazalendo ndio walikuza hayo mambo kumhusu magufuli
What goes around comes around
Wakajisahau kuwa wao nao ni wa kuja
SawaNamsikiliza hapa Katibu wangu redioni anasema suala la Mama Samia kuwa na wajomba sehemu nyingine ya dunia sio kubwa Kama linavyotaka kuaminishwa.
Ameenda mbali na kusema mababu zake Zitto wakati wanahamia Kigoma wakitokea Bukavu DRC baadhi ya ndugu zao walibaki huko na wanatembeleana mara kadhaa.
Kwa Upande wa Mbowe amedai pia ujombani kwake Wana asili ya Nyeri nchini Kenya na hata akiwa Kenya huwa hakai hotelini, huwa anakaa nyumba za familia lakini bado alipata nafasi ya kuombea urais.
Amedai wapinzani wafanye kazi waache kutweet vitu vidogo vidogo.
Kwani mtu mwenye asili ya Msumbiji hawezi kuwa Mtanzania mzalendo wewe kilaza??Mnaosakama Magufuli kuwa ana ndugu zake Burundi na jumuiya mrundi mumesikia? Benard Membe umesikia? Huna nduguzo Msumbiji? Unajitia mtanzania mzalendo wakati na wewe kwenu asili yenu Msumbiji
Na kweli lile bichwa siyo la kitanzania kabisaChongolo si wamesema ndugu zake wengine wapo Mzuzu, nchini Malawi?
Huyo dingi yake ni polofesa MarkoUongo baba yake Nape Nnauye mwanajeshi Mzee Moses Nnauye Alikua mmakua kutokea Msumbiji
Lissu naye ana asili ya Gambia
Chogolo anababayake huko Comoro.Namsikiliza hapa Katibu wangu redioni anasema suala la Mama Samia kuwa na wajomba sehemu nyingine ya dunia sio kubwa Kama linavyotaka kuaminishwa.
Ameenda mbali na kusema mababu zake Zitto wakati wanahamia Kigoma wakitokea Bukavu DRC baadhi ya ndugu zao walibaki huko na wanatembeleana mara kadhaa.
Kwa Upande wa Mbowe amedai pia ujombani kwake Wana asili ya Nyeri nchini Kenya na hata akiwa Kenya huwa hakai hotelini, huwa anakaa nyumba za familia lakini bado alipata nafasi ya kuombea urais.
Amedai wapinzani wafanye kazi waache kutweet vitu vidogo vidogo.
Kama ni vidogo vidogo mbona anajaribu naye kuvitolea ufafanuzi? Si angeachana navyo tuu
Kuna watu wana akili kama za Jiwe kwa kweli.Namsikiliza hapa Katibu wangu redioni anasema suala la Mama Samia kuwa na wajomba sehemu nyingine ya dunia sio kubwa Kama linavyotaka kuaminishwa.
Ameenda mbali na kusema mababu zake Zitto wakati wanahamia Kigoma wakitokea Bukavu DRC baadhi ya ndugu zao walibaki huko na wanatembeleana mara kadhaa.
Kwa Upande wa Mbowe amedai pia ujombani kwake Wana asili ya Nyeri nchini Kenya na hata akiwa Kenya huwa hakai hotelini, huwa anakaa nyumba za familia lakini bado alipata nafasi ya kuombea urais.
Amedai wapinzani wafanye kazi waache kutweet vitu vidogo vidogo.