Chongolo uwe na amani, uchunguzi utafanyika na utatendewa haki. Chama kitaonesha ukubwa wake

Chongolo uwe na amani, uchunguzi utafanyika na utatendewa haki. Chama kitaonesha ukubwa wake

Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax...uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Chongolo ni mwana JamiiForums? Je hizi nyuzi zako zinamfikia?
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax...uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Wakati unamtetea Komredi Chongolo, naomba nikutaarifu tu kuwa huku chini, yaani mashinani, matawini, katani, wilayani na mikoani ni mwezi wa nne Sasa hawana mgao kutoka Makao Makuu. Na yeye ndio alikuwa Mtendaji Mkuu wa Chama. Nakupa tu taarifa lakini.
 
Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Kwamba anaweza rudishiwa nafasi yake?

Issue ya gekul nami nilihisi ni igizo, KM alikuwa anatafutiwa pa kwenda Kwa lazima!!

Tusubiri.
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax...uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Chongolo humjui wewe Babu!!! Tulia tulii usijeharibu kijiheshima chako!!!

Ugomvi wako binafsi na Makonda baki nao moyoni mwako!
 
Wapinzani msiingie kwenye mtego huu.
Wapuuzeni wote wanaonyemelea kujiunga na ninyi kutokea ccm kuelekea uchaguz 2024 na 2025.
 
CCM ni catel ya majizi, masqueradering as politicians, hiki chama,niliwahi kusema huko nyuma hqkina tofauti na interahamwe, chama cha Juvenal habyarimana, wao wanajari maslahi Yao tu,, ukienda kinyume nao,haijarishi wewe ni nani,watakula kichwa tu! Vile vile CCM, ni wanobezi wa 'art of deception"mbinu moja hatari ya kijasusi, wanafanya jambo moja, kumbe kuna lingine, linapangwa nyuma ya pazia,
Chongolo ana "jiuzuru" Kumbe wanataka wamfsnye waziri mkuu! Just read btn the lines,
CCM wapo tayari kufanya kazi hata na shetsni, ili mradi, maslahi Yao yanalindwa.
 
Ile sio barua ya kujiudhuru ya kumpelekea mwenyekiti. Ni barua ya kuweka public kujielezea kwanini anaachia nafasi with intentions za kuonyesha CCM hakuko sawa. Ndio maana habari zikafika mitandaoni kabla ya hata CCM kutangaza.

Barua ya kujiudhuru ni breaf kwa kumbukumbu tu za chama. Maelezo mengine yote yale yalitakiwa kuwa private talk kati yake na mwenyekiti.

Kama kuna mambo yalikuwa haya mfurahishi au anadhani kuna njama chafu juu yake KM anawezaje kulalamika mitandaoni kabla ya kupeleka kwa mwenyekiti wafanyie uchunguzi, apime reaction yao kama wapo upande wake au la.

Ni bad move if anything kuachia nafasi na kuweka info publicly kuna verify fikra za ‘bi tozo’ kuna kundi linamipango mengine na yake ndani ya CCM. Sasa mwenyekiti wa CCM na raisi wa nchi akiamua kutumia madaraka yake kawaida hakuna wa kumsumbua.

Watazamaji yetu macho to how this infighting drama will evolve leading up to the general election.

Alichobugi Chongolo ni kutaka jamii yote ijue, kabla ya CCM kutoa tamko, kuonyesha kuna mfarakano.
Hakika
 
Ile sio barua ya kujiudhuru ya kumpelekea mwenyekiti. Ni barua ya kuweka public kujielezea kwanini anaachia nafasi with intentions za kuonyesha CCM hakuko sawa. Ndio maana habari zikafika mitandaoni kabla ya hata CCM kutangaza.

Barua ya kujiudhuru ni breaf kwa kumbukumbu tu za chama. Maelezo mengine yote yale yalitakiwa kuwa private talk kati yake na mwenyekiti.

Kama kuna mambo yalikuwa haya mfurahishi au anadhani kuna njama chafu juu yake KM anawezaje kulalamika mitandaoni kabla ya kupeleka kwa mwenyekiti wafanyie uchunguzi, apime reaction yao kama wapo upande wake au la.

Ni bad move if anything kuachia nafasi na kuweka info publicly kuna verify fikra za ‘bi tozo’ kuna kundi linamipango mengine na yake ndani ya CCM. Sasa mwenyekiti wa CCM na raisi wa nchi akiamua kutumia madaraka yake kawaida hakuna wa kumsumbua.

Watazamaji yetu macho to how this infighting drama will evolve leading up to the general election.

Alichobugi Chongolo ni kutaka jamii yote ijue, kabla ya CCM kutoa tamko, kuonyesha kuna mfarakano.
Hiyo barua si yake .. Cde Chongolo, kwa vigezo vyote ..
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax...uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Ungetupa na muhtasari wa tuhuma zake mkuu.Au ukiwa kwenye chombo cha usafiri huwezi kutudokeza?
 
Kina Mwigulu Nchemba ndo walioratibu hili.Ukiona mtu anatukanwa na Kigogo 2014 basi jua hapo kuna mkono wa Mwigulu Nchemba.
Ndio kusema kwamba Mwigulu anamjua kigogo
 
Kila mtu anasema uchunguzi uchunguzi, je uchunguzi juu ya nini? Mambo gani amefanya hadi kupelekea kujiuzuru?
 
Vile vile CCM, ni wanobezi wa 'art of deception"mbinu moja hatari ya kijasusi, wanafanya jambo moja, kumbe kuna lingine, linapangwa nyuma ya pazia,
Chongolo ana "jiuzuru" Kumbe wanataka wamfsnye waziri mkuu! Just read btn the lines,
Edit hapo, "wamfsnye", ni wamfinye au wamfanye?
 
Ile sio barua ya kujiudhuru ya kumpelekea mwenyekiti. Ni barua ya kuweka public kujielezea kwanini anaachia nafasi with intentions za kuonyesha CCM hakuko sawa. Ndio maana habari zikafika mitandaoni kabla ya hata CCM kutangaza.

Barua ya kujiudhuru ni breaf kwa kumbukumbu tu za chama. Maelezo mengine yote yale yalitakiwa kuwa private talk kati yake na mwenyekiti.

Kama kuna mambo yalikuwa haya mfurahishi au anadhani kuna njama chafu juu yake KM anawezaje kulalamika mitandaoni kabla ya kupeleka kwa mwenyekiti wafanyie uchunguzi, apime reaction yao kama wapo upande wake au la.

Ni bad move if anything kuachia nafasi na kuweka info publicly kuna verify fikra za ‘bi tozo’ kuna kundi linamipango mengine na yake ndani ya CCM. Sasa mwenyekiti wa CCM na raisi wa nchi akiamua kutumia madaraka yake kawaida hakuna wa kumsumbua.

Watazamaji yetu macho to how this infighting drama will evolve leading up to the general election.

Alichobugi Chongolo ni kutaka jamii yote ijue, kabla ya CCM kutoa tamko, kuonyesha kuna mfarakano.
Andiko lako ni la kufikilisha,limejaa nyama za kutosha.
 
Back
Top Bottom