Chongolo uwe na amani, uchunguzi utafanyika na utatendewa haki. Chama kitaonesha ukubwa wake

Chongolo uwe na amani, uchunguzi utafanyika na utatendewa haki. Chama kitaonesha ukubwa wake

Hata mimi naona busara imetumika sana. Maana kampeni zilishaanza kupigana vikumbo. Hongera mh Rais na mwenyekiti wa chama. Hapa kuna watu wamenuna na leo wameamka na moody... wa mtaani wanasema 'limewashuka'
Suzy Elias . Vipi upepo unaelekea wapi kuhusu mtu wako kuwa KM? Nahisi umenuna leo
Ishajipanga masikini na yuleeee Mzee wa katagobada
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Asikubali kurudi hata kama wakitaka kuepuk dodo
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Chongolo alielekezewa tuhuma gani?
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
CCM YAMEJAA MAJITU YENYE UCHU WA MADARAKA YAPO TAYARI KUMDHALILISHA MTU ILI APOTEZE CHEO CHAKE

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Mkuu, isije kuwa nyani katema bungo, oohooo! Tuzidi kunywa mtori nyama tutazikuta chini.
 
Hii issue ya Makonda kuhusishwa na ukatibu mkuu imenifungua macho kwenye mambo kadhaa...

- Kumbe hili kundi linaloitwa SG lipo, linaishi, na lina nguvu ndani ya Chama Cha Mapinduzi, ndio maana kwa namna fulani linaweza kuwavuruga kila litapoamua kufanya hivyo, nanyi kujibu mapigo inawalazimu kuhitaji muda kujipanga.

- Samia kama mwenyekiti wa CCM ni dhaifu, hajui ashike wapi wala aende na nani, au amsikilize yupi na asimsikilize nani, yupo yupo tu, ndio maana haya makundi yanaendelea kumyumbisha licha ya kuonesha dalili ya kujipanga muda mrefu uliopita kwa kuwaondoa wakina Lukuvi na Kabudi barazani.

- Kuna wastaafu ndani ya CCM wasiochoka kuitafuna kila wapatapo nafasi, hawaaminiki na yeyote, hawa wakiona upepo unavuma upande wao watasimama na mwenyekiti wao, lakini wakiona upepo unavuma upande mwingine, hawakawii kumgeuka mwenyekiti, ni mafisi wasio na aibu na ndio wanaunda kundi lingine na watoto wao.

- Kuelekea 2025, Samia anaweza kujikuta analazimika kutafuta uungwaji mkono toka sehemu nyingine, endapo hataendana na kile wale aliowaamini mwanzo watakachokitaka, atajikuta analazimika kutafuta uungwaji mkono mpya, na hapa ndio atakuwa kwenye hali mbaya zaidi, kwani muda hautakuwa upande wake, hivyo asishangae ikitokea akipigwa chini.

- Kwa hali ya mambo ilivyo, bado naiona panga pangua kwenye chama na serikali kuelekea 2025. Samia lazima aendelee kuwachuja wale atakaokuwa na mashaka nao, na kuwasogeza karibu wapya atakaoamini wataweza kumfikisha kule anapotaka kwenda.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Hii issue ya Makonda kuhusishwa na ukatibu mkuu imenifungua macho kwenye mambo kadhaa...

- Kumbe hili kundi linaloitwa SG lipo, linaishi, na lina nguvu ndani ya Chama Cha Mapinduzi, ndio maana kwa namna fulani linaweza kuwavuruga kila litapoamua kufanya hivyo, nanyi kujibu mapigo inawalazimu kuhitaji muda kujipanga.

- Samia kama mwenyekiti wa CCM ni dhaifu, hajui ashike wapi wala aende na nani, au amsikilize yupi na asimsikilize nani, yupo yupo tu, ndio maana haya makundi yanaendelea kumyumbisha licha ya kuonesha dalili ya kujipanga muda mrefu uliopita kwa kuwaondoa wakina Lukuvi na Kabudi barazani.

- Kuna wastaafu ndani ya CCM wasiochoka kuitafuna kila wapatapo nafasi, hawaaminiki na yeyote, hawa wakiona upepo unavuma upande wao watasimama na mwenyekiti wao, lakini wakiona upepo unavuma upande mwingine, hawakawii kumgeuka mwenyekiti, ni mafisi wasio na aibu na ndio wanaunda kundi lingine na watoto wao.

- Kuelekea 2025, Samia anaweza kujikuta analazimika kutafuta uungwaji mkono toka sehemu nyingine, endapo hataendana na kile wale aliowaamini mwanzo watakachokitaka, atajikuta analazimika kutafuta uungwaji mkono mpya, na hapa ndio atakuwa kwenye hali mbaya zaidi, kwani muda hautakuwa upande wake, hivyo asishangae ikitokea akipigwa chini.

- Kwa hali ya mambo ilivyo, bado naiona panga pangua kwenye chama na serikali kuelekea 2025. Samia lazima aendelee kuwachuja wale atakaokuwa na mashaka nao, na kuwasogeza karibu wapya atakaoamini wataweza kumfikisha kule anapotaka kwenda.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Konda Boy atawavuruga sana na hii ni mwanzo tu
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority looters and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few looters whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except looters themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava boat by which they were sailing!
 
Kwanza, tunamshukuru Mungu kwa kuzuia hujuma zisizo na huruma kwa CCM yetu baada ya kuepusha kupokwa kwa nafasi ya Katibu Mkuu jana. Shukrani zetu, kama makada waandamizi na wazee wa chama, ni kwa Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa Mama Samia S. Hassan kwa kutusikiliza tulipomshauri cha kufanya.

Hatimaye, Katibu Mkuu wa CCM atapatikana kiutaratibu wa kiustaarabu na adabu. Si majungu ambayo hata Mungu anayapiga rungu. Mwenyekiti wetu, kwakuwa aliomba na kupokea ushauri mashuhuri, amefanikiwa kuukwepa mtego wa kupokwa Ukatibu Mkuu wa CCM.

Uchunguzi umeagizwa ufanyike wakati nafasi hiyo ikikaimiwa na Komredi Anamringi Macha. Uchunguzi wa kina utafanyika kwenye tuhuma zilizoelekezwa kwa Katibu Mkuu Mjiuzulu Daniel Chongolo. Uchunguzi pia utazingatia maelezo yake aliyoyatoa na atakayoyatoa chamani.

Komredi Chongolo, just relax uwe na amani. Kwakuwa Kamati Ndogo ya Uchunguzi imeshaundwa na leo inaanza kazi yake, haki itatendeka. Katika sakata hili la Chongolo, CCM itaonesha ukubwa wake. Haitavumilia chama 'kutekwa' na waroho wa madaraka wenye haraka isiyo na baraka.

Walioratibu mpango dhidi ya Chongolo wanapaswa kujua jambo moja. Chongolo ni mwana wa Serikali na chama. Amefanya kazi ya kutukuka na kusifika Serikalini na chamani. Hawezi kuondoka bila kishindo kikubwa chamani. Ripoti itaanika kila kitu. Ukweli na usio ukweli. Heri au shari.

Katibu Mkuu hatapatikana hadi uchunguzi ukamilike. Wa kusafishwa atasafishwa na wakuwajibishwa atawajibishwa. Hakuna upendeleo wala video kwenye jambo hili. Narudi zangu Kilosa nikifurahi kuilinda nafasi ya Katibu Mkuu kwa ajaye au atakaporejeshwa huyu.

Gekul, yalikuwa ndiyo madaraka ya kulevya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kuelekea Kilosa, Morogoro)
Safari njema Mzee wangu. Hakika umetenda kama ulivyoahidi... 👇👇Mwanangu Makonda, hakika, hautapata unachokitaka
 
Back
Top Bottom